Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Down to earth comment.
Sio mtu anakuja hapa anatisha watu, oh sijui jiandae kuteketeza $2000. Hivi mpk mtu anapoteza hiyo na amezungukwa na mentors zaidi ya wa5 si anakua kajitakia.

Boss! FNB wako vizuri sana, hasa ukizingatia ndio wanatafuta kupenya kwenye soko la TZ so huduma zao ziko very loyal to customers ili kuattract new clients.

Soon baada ya phase kama 5 hivi nitafikiria kuexpact operations. Kama tutahitaji msaada wako tutakutafuta kiongozi. We must push hii kitu aisee. Kama utakua Bongo siku tunaanza classes, I'd wish to invite you utupe ushauri kiasi gani tunaweza kuimprove hii kitu kwa manufaa mapana ya hii programme.


Okay mwez wa 8 nitawatafta wadogo zangu mimi naamini na nimejifunza kwa wenzetu hawa kuwa loss huwa ni mwalimu mzuri saana anaekupa uwezo wa kujitafakari wapi ulikosea na wapi unatakiwa kujiimarisha. saafi saana kijana kwa kweeli big up. tutasaidiana tuu unajua kuna wahind hapo bongo hawalimi wala hawana maduka ila wanaish maisha matam tuu baasi wao mchezo wao huwa ndo huuu. Wanaijeria ndo usiseme unajua unaweza sema wanauza ngada kumbe hahahahahaahahaha.
jamani hii kitu narudia teena kusema ni nzuri saana saaana saaana aiseee cha muhimu tafta mentors na brokers wazuri huwez kula hasara ndugu yaangu. katika biashara nzuri Duniani na yenye pesa ya haraka haraka hapa duniani ni hiii. mi naipenda maana ndio taaluma niliyosomea lakini hata wewe sio lazima uwe umesomea mkuu hapo utapiga pesa tuu cha muhimi jitahid uisome uelewe kaa na mentors wakusaidie utaniambi
 
Nashauli wenzangu mlokuta uzi umeanza nivema muanze nao mwanzo ndomtamuelewa kiongozi wetu maana naona kuna maswali mnauuliza umu ambavyo tayar alishayatolea ufafanunuzi .So nivema muanze mwanzo page by page .
 
Wazo la nne
Si hata wazo la msingi sana, hahaa. Sijui niandike nini, lkn nachotaka kumaanisha ni usiwe mchoyo, kama kuna rafiki yako wa faida unahisi inabidi aone huu uzi usisite kumtag.

Ni bora tukaepuka kuQuote huu uzi, ni mrefu sana sana, yani ukiquote unatusumbua sana ambao tunatumia simu na gadgets zingine ndogo ndogo.

Karibuni kwaaliji ya ku discuss.

Updates

Moja ya ombi la msingi ambalo nimeona watu wengi wanaulizia ni - "Ontario ni kitabu gani naweza kuanza nacho?"

Kila mtu ambae yupo interested atafute kitabu kinaitwa Currency trading for Dummies: Kimeandikwa na Brian Dolan 2nd Ed ndio poa zaidi. Cover yake ni kama changano then kuna dunia hivi inaramani za nchi mbali mbali.
Mkuu naomba unisaidie majina ya hivyo vitabu vitano ulivyoanza kusoma ww au kam unayosoft copy si mbaya ukaiweka hapa
 
Asante sana Kiongozi kwa elimu kubwa hii ya ujasiriamali. binafsi ninapenda kuwa mmoja wa watu wanaohitaji kushiriki kwenye semina na kupata mafunzo juu ya hii biashara (Forex Trading). Sijui kama unaweza chukua hii post / request kuwa kama official au nitaomba unipe mwongozo wa namna ya kushiriki kwenye semina yako itakapokuwa tayari. namba yangu 0673544748. [HASHTAG]#Ontario[/HASHTAG]
 
Asante God nimeamua kukesha na kuchelewa kibaruan ili niende Sawa na huu uzi sasa nmemaliza page zote kifuatacho nikutafta ivyo vitabu,Kiongozi ONTARIO nakuomba kwa Mala nyingine na nitaendelea kukusumbua kati ya hao 300 naomba na Mimi unishike mkono niwe miongoni mwao.
 
you will never make it with 200$ deposit because it will be difficult for you to manage risk
Waaaoh am so happy jamani kuona vijana wa Kitanzania now mnaamka aisee saafi saana saaana. Ontario hebu na mimi niweke humo ndani ya hao majamaa japo nitakuwa senior kwenu sio mbaya nitawasaidia vitu vichache vichache kidogoo hasaa upande wa arbitration ili mpunguze ka risk kidogoo. hii makitu kwa kweeeli imenisaidia saaana kupata mtaji wa kilimo changu cha vitunguu saum, kausafirii, vinyumba nk. Mimi niliianza mwaka 2012 maana ilikuwa ni sehem ya kozi yangu niliyoisoma nilipokuwa chuo wenzetu nje hawapati shida hata kidogoo sema sisi huku bongo loooh taabu tupu. pia kwa upande wa bank tumien standard charted wako vizur yaani siku moja tu mpunga waako unaupata.
km
How many store managers earn $4000 a week? Hasa kwa tanzania yetu hii. Nadhani hii ndio dhumuni kubwa la Ontario kushirikisha watu hii fursa sababu kaona vijana wengi wana elimu lkn hawana ajira lakini wanaweza kuanza na $200 kwenye hii fursa na wakafanikiwa.

Uwezekano wa kijana wa sasa aliye maliza chuo kupata kazi ya kuingiza $4000 kwa week ni haupo. Kijana huyu ata akipata $10 a day ni mwanzo mzuri sababu Ina maana atakuwa anatengeneza laki 4 ($10*5*4) kila mwezi bila kutembea na bahasha ya kaki
 
Nimekuwa na utaratibu wa kuweka madolari benko kuliko pesa zaetu za madafu for years now. sasa kama ningefahamu hii biashara mapema nadhani ningekuwa milionea tayari. kaka count me in kwenye montorship programme. nadhani ungetuweka wazi ni lini hasa hii kitu inaanza ili tujipange mkuu ontario
 
Mkuu hongera kwa kazi nzuri....lakini nataka kuuliza kuwa unavyoanza hizo pesa una deposit kwenye hiz hiz local acct zetu au kuna special account? ??
 
Ahsante sana kaka kwa ku share pamoja nasi hii idea nzuri kabisa.. Naomba kujumulishwa kwenye mentorship program
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom