Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Shukran sana mkuu!

Je hii ni app gan??
goforex - Forex Trading for BEGINNERS
upload_2017-6-9_14-23-10.png

Utaipata Playstore: Forex Trading for BEGINNERS - Android Apps on Google Play
 
Hello guys am new here but would like to know much about forex trading infact nataka kuifanya iwe ndo ajira yangu naomba msaada wenu
>> Kwa sasa tuna assignment mbili zilizojiri kupitia hii thread.
1. Kusoma vitabu neno kwa neno kwa kuelewa (download attachment)
2. Kufanya mazoezi kwa DEMO account
>> Wakati tunasubiri mwongozo na taratibu za mafunzo toka kwa ONTARIO
 

Attachments

Nimeona lazima niwe mkali ktk hili

Dear traders,

Jana jioni nilikua nina appointment na jamaa yangu wa faida, rafiki yangu wa muda mrefu hapa JF na subscriber wa huu uzi. Tukazungumza sana kama masaa mawili hivi, akaona napiga live trade mbele yake, macho yakamtoka kweli kweli, kidogo azimie, hahaaa!! Jokes[emoji23]

Nifupishe habari, baada ya maongezi nikaingia Mary brown kupata msosi then niingie church. Sasa nilivyokuwa pale Mary Brown kuna jambo la ajabu sana nililiona na lilinishangaza mno. Very coincidentally!!

Kulikuwa na jamaa mmoja, amekusanya wadada wa2 na wakaka 6, anazungumza kuhusu forex. Kadri alivyozidi kuzungumzo ndipo alipozidi kuniattract. Kilichonishangaza ni hiki -

kuna mdada mmoja pale akauliza, hii forex unayozungumza ni real kweli ama ni blah blah. Basi huyo jamaa alichokifanya akasema ngoja niwaoneshe kitu, akatoa simu yake akaanza kusema "Unaona huu uzi, niliupost kwenye mtandao mmoja unaitwa JF, nilipost kuhusu hii habari ya forex, na mpk sasa huu uzi umesomwa mara 170,000".

Mimi sikuamini macho yangu, jamaa akaja kwenye post fulani ya jana ambayo nilipost withdraw ya £500, jamaa anawasisitizia hao watu wake kua ile ni faida yake ya siku 1.

I was so shocked, sikutaka kuleta timbwili ama kumdhalilisha mtu, ni mtu anayetokea humu humu. Anafahamu mpk operations zng nje ya forex. Yani nilishangaa mno. Sikatazi mtu kumfundisha mtu mwingine kuhusu forex, that's non of my concern, lkn kwanini mtu atumie jina langu.

Sijajibu PM yoyote ya mtu kuhusu Forex, sijatoa number yoyote ya simu zangu ama mawasiliano yoyote, sijaunda group lolote lile kuhusu forex. Fanya chochote huko nje at your own risk. Usidanganye/usidangamywe kwa mgongo wa jina la Ontario.

Mimi nikimaliza process zote tutataarifiana, kila kitu kitafanyika ofisini, classes zote zitafanyika ofisini, sitoi personal appointment sehemu yoyote nje ya office. Let's take care.

Salute!!

Lakini mkuu wewe umeshakua mkubwa sasa hasa kwenye mambo ya kuinsipire watu kwenye biashara na mungu akisaidia hilo darasa la forex litakaloanza soon before 15,june mungu akijalia kwa muamko huu kinaweza kuja kua chuo kikubwa cha forex tanzania mbeleni mi nashauri utumie tu jina halisi na picha uwe verified kuepusha watu wengine kufanya utapeli kupitia jina lako, MWISHO KABISA NAOMBA USINISAHAU KWENYE HAO 150 KWANZA NAIMANI NTAKUA BALOZI MZURI WA FX.
 
Leo nimekaa nikawa najiuliza! INAKUAJE MTU UNACHOMA ACCOUNT?? yaani unapata hasara?!!

So far nnavyojua huwezi kuuza bila wewe mwenyewe kwa kichwa chako kubonyeza kitufe cha SELL au BUY!

Ivi kama nikiona nachezea negative red which means ni hasara....nikaacha mpaka ije ipande au ishuke irudi kwenye blue then ni excute order kwa faida...inakua kosa??

Sasa kwann mtu uuze au ununue kwa hasara?? Wakati unaweza kuacha ukashuka weee then badae ikapanda thamani ili uuze kwa faida??

Cheki huu mfano...
163746a9eb3e66923adfcc205c610c9a.jpg


Hizi ni positions kama tatu hivi na zote zina loss ...ziko kwenye red!

Kwa hapo sintauza wala kuuza mpaka thamani ipande au ishuke ili niuze kwa faida...ikiwa kwenye blue!!

Embu nielewesheni wakuu...INAKUAJE UNAPATA LOSS AU UNACHOMA ACCOUNT???

Labda nakosea...naomba mnieleweshe wadau!!
Ndo maana tunashauriwa tufanye biashara kama graph utakuwa UPTRADE or Lower trade na si katika considerlation (no difinitive Direction)
na kama utazingingatia higher high na higher low katika uptrade
Lower higher lower low katika downtrade.. Huwezi pata loss kirahisii
 
ANKO ELLY HAMTUMFUATI MTU TUNAIFUATA BIASHARA,JIULIZE HII BIASHARA DUNIANI IPO ? JIBU IPO,WATU WANAPATA PESA ? JIBU NDIYO WANAPIGA KWANINI MIMK NA WEWE TUSIPATE?JIBU WOGA WAKO NDIYO UMASIKINI WAKO JIFUNZE KWA WALIOFANIKIWA,JE IPO TAASISI AU MTY YOYOTE WA KARIBU ANAYETOA MAFUNZO KUHUSU BIASHARA HII ? JIBU HAKUNA ISIPOKUWA KUNA MSAMARIA MWEMA ANAITWA ONTARIO KAJITOLEA KUANZISHA MAFUNZO HAPA DAR NA HIVI SASA KATUFUMBUA MACHO TUENDELEE KUSOMA VITABU ,MITANDAO NA KUJADILIANA BEFORE CLASS TRAINING,SASA NAKUULIZA WEWE SISI NA ONTARIO TUMEKOSEA WAPI? NAKUONYA ACHA KUKURUPUKA SISI SIO WATOTO WADOGO

Kwa coment hii itabidi nikualike futari aisee.
 
Ndo maana tunashauriwa tufanye biashara kama graph utakuwa UPTRADE or Lower trade na si katika considerlation (no difinitive Direction)
na kama utazingingatia higher high na higher low katika uptrade
Lower higher lower low katika downtrade.. Huwezi pata loss kirahisii
Nimekuelewa mkuu!!

Lakini mpaka nimenunua au kuuza ni kwamba nilipitia trend ya graphs kila dakika so niliporidhika nikauza au kununua!
 
Jana pesa ilikuwa njenje aisee. Ni vile tuu sisi bado ni wanafunzi na tunasubiri green light.

Halafu kuna kitu katika candlestick nahisi sijakielewa vizuri, Je wick (utambi) wa candle, nimechunguza nikaona say candle moja ina tambi mbili, Juu na chini. Nilipoangalia zaidi nikagundua mara nyingi urefu wa hizi tambi/Wick hazipo sawa kuna candle zina tambi za juu ndefu kuliko za chini ama vice versa.

Katika kile kitabu hakuna walipoandika kirefu zina maana gani hizi tambi, Ila katika kuzururazurura kwangu mitandaoni nimekutana na hii concept. Kuwa Urefu wa utambi ni kama unatabiri uelekeo wa next candle utakuwaje. Say current candle ikiwa na utambi wa juu mrefu kuliko wa chini, ni kwamba next candle itakuwa bullish candle, na vice versa.

Pia kuna sehemu nikakuta sehemu nyingine wameelezea kwamba Wick ya candle ni kama vile kuonesha how candle closing/open rate resisted/support with time and as time goes on. Maana nimechunguza pia nikaona treend lines zinaanzia kuchorwa katika tip ya utambi na siyo katika end/start ya real body ya candle.

Je hapa which is which.? Je nipo wrong.?

CC Bavaria
Mkuu

Sijui kama naweza kusema kitu kuhusu hili kwa vi- knowledge tunavyoendelea kuviokota huku tukisubiri...

Hapo kwenye urefu wa utambi (The longest between the two) kutumika kama kiashirio cha next candlestick move nadhani umechanganya.

Candlestick itakayofata itakua opposite na the previous longest na sio kama ulivyosema kwamba zitamove on the same direction
Mfano: sellers wanapokua wanaipush price chini (below opening or closing position) lakini mwisho wakashindwa kumaintain ile level ya maximum price fall ( automatically forming a downward tail) hii inaonyesha walishindwa kumaintain kwa sababu bullish waliwazidi nguvu. Kwa hiyo assumption ni kwamba kwa kua bears walizidiwa, probably wataendelea kuzidiwa in the next candlestick (momentum) hivyo itamove against the longest tail ambayo kwa case hii ilikua downwards tail!

Kwa hiyo mara nyingi the candlestick will move opposite the previous longest wick
 
Nimeona lazima niwe mkali ktk hili

Dear traders,

Jana jioni nilikua nina appointment na jamaa yangu wa faida, rafiki yangu wa muda mrefu hapa JF na subscriber wa huu uzi. Tukazungumza sana kama masaa mawili hivi, akaona napiga live trade mbele yake, macho yakamtoka kweli kweli, kidogo azimie, hahaaa!! Jokes[emoji23]

Nifupishe habari, baada ya maongezi nikaingia Mary brown kupata msosi then niingie church. Sasa nilivyokuwa pale Mary Brown kuna jambo la ajabu sana nililiona na lilinishangaza mno. Very coincidentally!!

Kulikuwa na jamaa mmoja, amekusanya wadada wa2 na wakaka 6, anazungumza kuhusu forex. Kadri alivyozidi kuzungumzo ndipo alipozidi kuniattract. Kilichonishangaza ni hiki -

kuna mdada mmoja pale akauliza, hii forex unayozungumza ni real kweli ama ni blah blah. Basi huyo jamaa alichokifanya akasema ngoja niwaoneshe kitu, akatoa simu yake akaanza kusema "Unaona huu uzi, niliupost kwenye mtandao mmoja unaitwa JF, nilipost kuhusu hii habari ya forex, na mpk sasa huu uzi umesomwa mara 170,000".

Mimi sikuamini macho yangu, jamaa akaja kwenye post fulani ya jana ambayo nilipost withdraw ya £500, jamaa anawasisitizia hao watu wake kua ile ni faida yake ya siku 1.

I was so shocked, sikutaka kuleta timbwili ama kumdhalilisha mtu, ni mtu anayetokea humu humu. Anafahamu mpk operations zng nje ya forex. Yani nilishangaa mno. Sikatazi mtu kumfundisha mtu mwingine kuhusu forex, that's non of my concern, lkn kwanini mtu atumie jina langu.

Sijajibu PM yoyote ya mtu kuhusu Forex, sijatoa number yoyote ya simu zangu ama mawasiliano yoyote, sijaunda group lolote lile kuhusu forex. Fanya chochote huko nje at your own risk. Usidanganye/usidangamywe kwa mgongo wa jina la Ontario.

Mimi nikimaliza process zote tutataarifiana, kila kitu kitafanyika ofisini, classes zote zitafanyika ofisini, sitoi personal appointment sehemu yoyote nje ya office. Let's take care.

Salute!!
Nilijua tu!!! lazima watu watapigwa kupitia ID yako!!!
 
Ndo maana tunashauriwa tufanye biashara kama graph utakuwa UPTRADE or Lower trade na si katika considerlation (no difinitive Direction)
na kama utazingingatia higher high na higher low katika uptrade
Lower higher lower low katika downtrade.. Huwezi pata loss kirahisii

Boss embu funguka zaidi hapa kuhusu higher high na higher low

Pamoja na lower higher Lower low
 
Lakini mkuu wewe umeshakua mkubwa sasa hasa kwenye mambo ya kuinsipire watu kwenye biashara na mungu akisaidia hilo darasa la forex litakaloanza soon before 15,june mungu akijalia kwa muamko huu kinaweza kuja kua chuo kikubwa cha forex tanzania mbeleni mi nashauri utumie tu jina halisi na picha uwe verified kuepusha watu wengine kufanya utapeli kupitia jina lako, MWISHO KABISA NAOMBA USINISAHAU KWENYE HAO 150 KWANZA NAIMANI NTAKUA BALOZI MZURI WA FX.

This makes sense kabisa. Hata hivyo tayari watu wengi wana kufahamu tayari kwa sura
 
Lakini mkuu wewe umeshakua mkubwa sasa hasa kwenye mambo ya kuinsipire watu kwenye biashara na mungu akisaidia hilo darasa la forex litakaloanza soon before 15,june mungu akijalia kwa muamko huu kinaweza kuja kua chuo kikubwa cha forex tanzania mbeleni mi nashauri utumie tu jina halisi na picha uwe verified kuepusha watu wengine kufanya utapeli kupitia jina lako, MWISHO KABISA NAOMBA USINISAHAU KWENYE HAO 150 KWANZA NAIMANI NTAKUA BALOZI MZURI WA FX.
Kweli, Ontario sasa ni muda wa kuwa verified user.
 
ANKO ELLY HAMTUMFUATI MTU TUNAIFUATA BIASHARA,JIULIZE HII BIASHARA DUNIANI IPO ? JIBU IPO,WATU WANAPATA PESA ? JIBU NDIYO WANAPIGA KWANINI MIMK NA WEWE TUSIPATE?JIBU WOGA WAKO NDIYO UMASIKINI WAKO JIFUNZE KWA WALIOFANIKIWA,JE IPO TAASISI AU MTY YOYOTE WA KARIBU ANAYETOA MAFUNZO KUHUSU BIASHARA HII ? JIBU HAKUNA ISIPOKUWA KUNA MSAMARIA MWEMA ANAITWA ONTARIO KAJITOLEA KUANZISHA MAFUNZO HAPA DAR NA HIVI SASA KATUFUMBUA MACHO TUENDELEE KUSOMA VITABU ,MITANDAO NA KUJADILIANA BEFORE CLASS TRAINING,SASA NAKUULIZA WEWE SISI NA ONTARIO TUMEKOSEA WAPI? NAKUONYA ACHA KUKURUPUKA SISI SIO WATOTO WADOGO
Na chakuongezea mkuu,hiyo miradi ya kupiga watu so rahisi ukute vitabu vinavyoelekeza jinsi ya kushiriki,tena vitabu zaidi ya 500,course ambayo inafundishwa vyuo vikuu(kwa wanaosoma biashara),na unashiriki kila hatua unapigwaje?DECI,D9 unaambiwa tu weka hela utafuata faida baada ya muda fulani,ni tofauti mno na Forex. Kabla mtu hujabisha tafiti.
 
"It's ain't fun, Am ain't happy until my whole team is winning". Wiki inaisha kwa amani kabisa. Enjoy the weekend big Bosses in Town. # Faith # Hope
mkuu wangu naona mambo yanazidi kunyooka..najuta kwa nini sikufaham kuhusu forex mbeleni kabla sijapoteza hela zangu katika biashara za kawaida...nashukuru sana mkuu...
 
Kuna matapeli watapiga hela kupitia hii kitu
As long as Ontaria ataendelea kuwa Anonymous wajanja watapiga hela na watu watalia

Ombi ni Ontario ajireveal
 
"It's ain't fun, Am ain't happy until my whole team is winning". Wiki inaisha kwa amani kabisa. Enjoy the weekend big Bosses in Town. # Faith # Hope
Mkuu ninavyokufatilia kwa karibu acha tu

Natamani tu kusikia msg yako ya CALL FOR TRAINING

May the Almighty God be with you in all the process and protect you.

Glory to Yhwh
 
Dah, Hii kitu kweli ni addictive. Nimejikuta naacha 50% ya my duties, nakomaa na hiki kitabu tuuu.

Huku DOJI, pale SHOOTING STAR, kulia kuna HAMMER, kushoto kuna FLAG.

Mdogomdogo tunasonga, Mwishoni tutakuja kufika tuu.
 
Mimi nilisema sitaingia sokoni kwa siku ya jana, sikuwa nimefanya analysis afu sikutaka kudandia fundamentals... lakini nikahakikisha leo nacompensate muda wa jana.

Nilikua nasoma kitabu fulani kinaitwa Understanding Bitcoin - Cryptography, engineering, and economics, mida kama ya Saa 7 usiku nikasema nifungue charts. Nikamkuta GBP kadondoka yupo sakafuni, kifo cha mende, nikasema sasa nijilipue na lot size ya tembo nipande nae juu kidogo. Sekunde 5 tu, tayari nipo kwenye blues, nikagonga zangu mshahara wa Bank manager wa mwezi. Nikafunga kitabu, nikazima taa, nikalala.
c9a6e9fb75a0c81da5000d8b8da94c38.jpg
Duh sio mashara!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom