Bm_boy
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 547
- 347
Pamoja mkuu ngoja tuendelee kujifunza.. Usisichoke viswali vyetu..!Aisee kwa hili nikwambje tuu hakuna muda maalumu wa kusubria. Bei inaweza panda ama kushuka muda wowote ule toka ufanye biashara.
So kujua ni muda gani utakaa long ama short inategemea na strategy yako kama wewe ni short term ama long term trader