Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Ukikwama chat nao live kama alivyosuggest mkuu hapo.. Kuna mtu nae alisumbuliwa kama wewe alikusanya bills, bank statement lakn zaid ya mara tano wakawa bado wanamwambia wanataka proof of residence alivyochat nao siku hiohio waka approve

Sent using Jamii Forums mobile app
Wako slow sana,fxtm wako vizuri sana kwny customer service,wako whatsapp na telgrm,hawa tickmill wanataka utume msg ujibiwe later wkt ttzo linaweza kurekebishwa haraka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma kuanzia page ya kwanza... Nikaja huku mwisho, lakin yapata miez mitatu sasa tangu hii thread ianze, je updates mpaka sasa ni ipi!?

Ofisi zimefunguliwa..? Nataka nijue hilo ili na mm nianze kusoma vitabu kwa uhakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma kuanzia page ya kwanza... Nikaja huku mwisho, lakin yapata miez mitatu sasa tangu hii thread ianze, je updates mpaka sasa ni ipi!?

Ofisi zimefunguliwa..? Nataka nijue hilo ili na mm nianze kusoma vitabu kwa uhakika

Sent using Jamii Forums mobile app
Fungua kama page tatu nyuma utapata updates

love thé love or hâte thé love.....
 

Attachments

Aisee hiyo video ya kwanza jamaa kamwaga booonge la pindi. Tena kwa live trade alikuwa anarekodi hilo indi. Bahati mbaya wakati naendelea kufurahia pindi Dakika ya 33 audio ikakatika. Ila so far, nimeongeza kitu kichwani.


Ngoja nianze kuangalia second video. Nimesubscribe kabisa na hiyo channel ya urbanfx.
Dah! Aisee baada ya kuhifadhi cku nyingi page iliokua na hizo video leo nikapata chance bwana ya kuzdowload na kuziangalia ndomaana nimeamua kuquote hii comment yako leo hii baada ya kuiangalia hiyo video ya kwanza hapo..
Hilo pindi lilikua la ukweli sana jamaa anatiririka utam kinoma kweli too bad audio imekata ila it's one of the best webinar nlizowahi kuziona!! Jamaa anaelekeza vizuri sana!!

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
MREJESHO

Siku ya ijumaa nilioanza rasmi kutrade, nilipiga kama usd 10 ndani ya dk tuuu... kiwewe kikanipata nikaona mchezo si ndo huu nikafungua position nyingi nikapigwa faida yote na kuloose ka usd 3.4 hivi.

N.B. Mchezo huu Hauhitaji hasira

Capture lllllll.PNG


Hii trade ukiwa siriazi unaweza ukawa milionea ndani ya saa kadhaa tu.

Thanks mkuu [HASHTAG]#ONTARIO[/HASHTAG] [HASHTAG]#BAVARIA[/HASHTAG] [HASHTAG]#LODRICK[/HASHTAG]



 
MREJESHO

Siku ya ijumaa nilioanza rasmi kutrade, nilipiga kama usd 10 ndani ya dk tuuu... kiwewe kikanipata nikaona mchezo si ndo huu nikafungua position nyingi nikapigwa faida yote na kuloose ka usd 3.4 hivi.

N.B. Mchezo huu Hauhitaji hasira

View attachment 560106

Hii trade ukiwa siriazi unaweza ukawa milionea ndani ya saa kadhaa tu.

Thanks mkuu [HASHTAG]#ONTARIO[/HASHTAG] [HASHTAG]#BAVARIA[/HASHTAG] [HASHTAG]#LODRICK[/HASHTAG]



Ijumaa ni siku nzuri ukiweza kuielewa news vizuri,
Ila ukikosea na kufuata hisia utajikuta unalia tu.
Waliofanya analysis nzuri ijumaa leo wanashangilia tu.

love thé love or hâte thé love.....
 
MREJESHO

Siku ya ijumaa nilioanza rasmi kutrade, nilipiga kama usd 10 ndani ya dk tuuu... kiwewe kikanipata nikaona mchezo si ndo huu nikafungua position nyingi nikapigwa faida yote na kuloose ka usd 3.4 hivi.

N.B. Mchezo huu Hauhitaji hasira

View attachment 560106

Hii trade ukiwa siriazi unaweza ukawa milionea ndani ya saa kadhaa tu.

Thanks mkuu [HASHTAG]#ONTARIO[/HASHTAG] [HASHTAG]#BAVARIA[/HASHTAG] [HASHTAG]#LODRICK[/HASHTAG]



hongera mkuu,hata hivyo ni hatua pia,mpk desemba,mchezo utakua umeeleweka
 
Ijumaa ni siku nzuri ukiweza kuielewa news vizuri,
Ila ukikosea na kufuata hisia utajikuta unalia tu.
Waliofanya analysis nzuri ijumaa leo wanashangilia tu.

love thé love or hâte thé love.....



Mkuu ebu naomba link ya major economic news calender kama unayo na kama hutojalia mkuu.. .kuanzia US...UK....JP...Eurozone...na kwingineko mkuu..
 
Dah! Aisee baada ya kuhifadhi cku nyingi page iliokua na hizo video leo nikapata chance bwana ya kuzdowload na kuziangalia ndomaana nimeamua kuquote hii comment yako leo hii baada ya kuiangalia hiyo video ya kwanza hapo..
Hilo pindi lilikua la ukweli sana jamaa anatiririka utam kinoma kweli too bad audio imekata ila it's one of the best webinar nlizowahi kuziona!! Jamaa anaelekeza vizuri sana!!

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app

Mkuu ni video gani hiyo unazungumzia? Hebu share link hapa watu tupate hayo madini.
 
samahani wakuu hivi hakuna sehemu unayoweza kudeposit kupitia mitandao yetu kama vile
m-pesa
tigo.-pesa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom