Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
hii fursa sisi wa mikoani ndo tushaikosa daaah!! pain

Unaonekana kuwa ni mtu wa kujikataa. Yaani unapenda kujisingizia mabaya tu. Mbaya zaidi una generalize..sisi wa mikoani. Assume Ontario angekuwa anaishi Kiteto.
Achana na meneno haya: yaani sisi...ona sisi...haya sio yetu....sisi wa hivihivi tu.

Kama mpambanaji tafuta njia yyte ili uipate hii elimu. Read books, start Demo, attend seminar za Ontario once started, etc

Thanks
Mkuu viking.
Naomba na mimi nikupinge kama ifuatavyo. Stop inaweza ikafanya kazi mbili,

1. Itatumika kuzuia usipate hasara zaidi endapo price itakwenda against na plan zako. Na hii ndio kazi kubwa ambayo watu wengi wanatumia

2. Itatumika kusecure profits zako in case kama uliiadjust and price imegoma kuhit your take profit. Kwa mfano umeenter a long position and umeshakusanya pips kadhaa, price bado inapanda lkn bado haijafika kwenye TP. Unao uwezo wa kuadjust stop loss yako ili hata kama price haitahit TP then ikareverse, basi usipoteze pips zako ulizokuwa umekusanya. Vipi kama hujuadjust SL yako then price ikareverse kabla ya kuhit TP then ikarudi mpaka ikagusa tena stop loss, si utakuwa umeingia hasara???


STOP LOSS INAWEZA KUHAMISHIKA NA NDIO MAANA KUNA TRAILING STOP LOSS AMBAPO TOFAUTI YAKE NA STOP LOSS YA KAWAIDA NI KWAMBA TU YENYEWE INAHAMA AS THE PRICE MOVE ON YOUR SIDE

I stand to be corrected.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipo hapa kumdhalilisha mtu boss wangu, wala sinaga tabia ya kudisrespect skills za mtu. Mimi I am honest, nawajua SA traders wengi sana, trader uchwara na real traders nawajua. Mimi Thabani nimekaa nae meza 1 tikatrade NFP pamoja. I know him.

Sasa mtu akija kwa nia ya kutapeli watu afu mbele yangu sijui najisikiaje. Nahisi kama hizo pesa watu wanazopigwa mimi ndio nimewaibia, coz I can say mimi ndio nimefungua watu wengi macho kuhusu hii fx. Sasa mtu akipigwa obvious mimi ndio jina langu litakua la kwanza kutajwa. Been building my reputation since I was 19, sio vzr nikapoteza reputation yangu kwa us3nge wa watu kama hawa.

Mimi I am working my ass off kuhakikisha tuwe na traders lounge, ambapo kila NFP tunakuwa na Trader makini from anywhere on planet kutrade nae kwenye launge. Forex knowledge haina mwisho kamwe. Lkn wt kama hawa wanaumiza sana... *****!!
Mkuu huwa upo makini utafikiri umekanyaga nyoka mpaka huwa nashindwa kukuelewa sijui unaongozwa na nini kumjua mbaya na mzuri.
Jamaa anataka kutumia ganda la ndizi hizi harakati ulizozianzisha hakika zinamejaaa upako maana majabari unayopitia siyo ya kitoto.
 
Hiyo Training ambayo inaweza kuanza wakati wowote kuna applications ambazo watu wamefanya tayari? Please naomba anayefahamu anisaidie
 
huuu uzi umekua kama sala yangu kabla ya kulala na baada ya kuamka lazima niupitie nisijepitwa na lolote,
mkuu ontario cjui unaiona hiyo side effect....
😉😛🙄 just kidding....
hahahah huu uzi yaani lazima nipite aisiii maana unaweza shangaa Kamanda Ontario akawaita watu ukajikuta umeachwa na ukichelewa kidogo tu unakuta page ya 400 kama haupiti mara kwa mara
 
A TRADER IN DARK IS A TRADER IN RED

Head and shoulders pattern is pouring blues

6a13e52ce0ff8ffaa53357e854e37984.jpg


66f619464cfdcf6f83dcd93beec6cfc3.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna faida gani ya ku open position ya aina moja mara kumi, badala ya kufungua position 1 na kuweka leverage 1:10? Kwan c ni sawa? Au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo Training ambayo inaweza kuanza wakati wowote kuna applications ambazo watu wamefanya tayari? Please naomba anayefahamu anisaidie
Hapana. Tupo bize na vitabu kwanza kupata idea ya bizz yenyewe. Kuna vitabu kama 4 hv, unatakiwa uvisome na kuelewa, kabla hujawaza kuhusu hyo training... Usijali... Mie hata cha kwanza cjamaliza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasome kitabu cha NAKED FOREX chapter 11 (Existing the trade)
From screenshot:

Briefly,

Namba 1: SL inawekwa mwanzoni kukukinga na losses kama soko likienda hivyo.

Namba 2: stop loss imesogeza ili incase trend ikibadika utoke sokoni ukiwa na faida kiasi.

Namba 3: SL imesogeza chini zaidi baada ya trend kuendelea kushuka, kama utaona hapo chini baada ya trend ku-reverse position imefungwa na SL na kumuacha trader akiwa na faida!!

Ukiweza soma kitabu chote kitakusaidia sana, ukikimaliza utaelewa nilichoandika. Karibu mkuu!
View attachment 568145
Ninatumia instaforex demo... Najarb kuhamisha manually stop loss kuishusha, ninaposell, inagoma,... How do you guys set it.? Mana at the end inabidi nikae kuangalia nkiona naluz nklose postxn

Screenshot_20170816-171413.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
What is the advantage of this strategy over opening a single position with X10 leVerage...

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha lot size sio leverage mkuu. Kufungua same pair mara nyingi inasaidia endapo una equity ndogo ambayo broker hawezi kukuruhusu kutumia lot size kubwa. Faida nyingine ni uwezo wa kufunga partial positions and let others continue running. Huwezi kufanya hilo kama una lot size ya 1, but kama una ten 0.1 lot sizes unaweza kufunga chache

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamaanisha lot size sio leverage mkuu. Kufungua same pair mara nyingi inasaidia endapo una equity ndogo ambayo broker hawezi kukuruhusu kutumia lot size kubwa. Faida nyingine ni uwezo wa kufunga partial positions and let others continue running. Huwezi kufanya hilo kama una lot size ya 1, but kama una ten 0.1 lot sizes unaweza kufunga chache

Sent using Jamii Forums mobile app
Anhaaa.... Nimekunyaka mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What is the advantage of this strategy over opening a single position with X10 leVerage...

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu embu assume zote position zikaenda on the right way, na kila position moja ikapiga atleats $2, .. means $2*10POSITION=..... JIBU UNALO
ambapo ungekua na hiyo hiyo position moja ambapo ungekua na ile ile $2.
upo apo
 
mkuu haifai,MWANA WA NGURUMO yupo sahihi..stop loss ukiiweka hufai kuisumbua tena..bora uende mwendo wa trailing SL..sababu ni kwamba,SL ni kama hand break ya kusimamisha hasara pindi itokeapo..a good trader lazima uwe umeshafanya hesabu yako awali na kujua risk reward ratio yako..hivyo,hata ukipoteza 1$ ukifata 2$ itakuwa sawa...kifupi,stop loss unapoiweka unajua kwamba hata ukipoteza hiyo amount haitaadhiri margin balance yako..

Boss kapitie vitabu tena au muulize Ontario kama anapinga ninachokisema au kapitie comment yangu inayofuatia baada ya hiyo comment yangu
 
OK maana Yake anatumia trailing stop order. If that is a case, nafikiri yuko sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa mtizamo wangu ninaona ni vizuri kutumia Trailing Stop kama upo mbali na screen ila kama unafuatilia trend inavyoenda ni bora uwe unaimove SL kidogo kidogo kama unaelekea kwenye profit maana hiyo Trailing Stop inaweza wakati mwingine kukupunja faida yako
 
Mkuu viking.
Naomba na mimi nikupinge kama ifuatavyo. Stop inaweza ikafanya kazi mbili,

1. Itatumika kuzuia usipate hasara zaidi endapo price itakwenda against na plan zako. Na hii ndio kazi kubwa ambayo watu wengi wanatumia

2. Itatumika kusecure profits zako in case kama uliiadjust and price imegoma kuhit your take profit. Kwa mfano umeenter a long position and umeshakusanya pips kadhaa, price bado inapanda lkn bado haijafika kwenye TP. Unao uwezo wa kuadjust stop loss yako ili hata kama price haitahit TP then ikareverse, basi usipoteze pips zako ulizokuwa umekusanya. Vipi kama hujuadjust SL yako then price ikareverse kabla ya kuhit TP then ikarudi mpaka ikagusa tena stop loss, si utakuwa umeingia hasara???


STOP LOSS INAWEZA KUHAMISHIKA NA NDIO MAANA KUNA TRAILING STOP LOSS AMBAPO TOFAUTI YAKE NA STOP LOSS YA KAWAIDA NI KWAMBA TU YENYEWE INAHAMA AS THE PRICE MOVE ON YOUR SIDE

I stand to be corrected.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba unisaidie simple definition ya trailing stop..tafadhal in swahili language

All men are self made [emoji123]
 
Mkuu naomba unisaidie simple definition ya trailing stop..tafadhal in swahili language

All men are self made [emoji123]
Kwa ninachokijua, trailing stop loss ni stop loss ambayo yenyewe inakuwa inatembea. Tofauti na ile ambayo tumeshaizoea kwamba ukishaweka basi ndo umeweka, hii yenyewe inakuwa inatembea kama soko litakuwa linaenda kama ambavyo ww umepanga. Yaani kwa maana nyingine kama ule mstari wa price utakuwa unapanda kwenda juu, mstari wa stop loss nao utakuwa unapanda kwenda juu kuufuata ule wa price kulingana na points ambazo wewe umeweka, na kama price itaamua kureverse basi stop loss haitarudi chini itatulia palepale. Unaweza ukaingia youtube ukaandia "how trailing stop works?" wameelezea hata usipoelewa maelezo utaona tu kitakachokuwa kinatokea kwenye graph....



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ninachokijua, trailing stop loss ni stop loss ambayo yenyewe inakuwa inatembea. Tofauti na ile ambayo tumeshaizoea kwamba ukishaweka basi ndo umeweka, hii yenyewe inakuwa inatembea kama soko litakuwa linaenda kama ambavyo ww umepanga. Yaani kwa maana nyingine kama ule mstari wa price utakuwa unapanda kwenda juu, mstari wa stop loss nao utakuwa unapanda kwenda juu, na kama price itaamua kureverse basi stop loss haitarudi chini itatulia palepale. Unaweza ukaingia youtube ukaandia "how trailing stop works?" wameelezea hata usipoelewa maelezo utaona tu kitakachokuwa kinatokea kwenye graph....



Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupata mkuu...kwaiyo inakua kama ina monitor price vile

Ngoja nipite youtube umenipa mwanga..thanks

All men are self made [emoji123]
 
CFDs ni fursa nzuri ukiifahamu lakini ni very risk unaweza kupoteza mtaji wako wote ndio maana kama mtoa mada alivyosema inabidi ujifunze kwa kusoma na upate mentor wa kukusaidia mimi nilijifunza tokea mwaka 2014 mpaka sasa naendelea pia nina ndoto ya kuweza kusajili hapa Tanzania ili tufundishe watu bila kuvunja sheria za nchi. Nipo tayari kusaidiana na wenzangu watu wajue, nimeshashiriki mashindano makubwa ya kimataifa na kufanya vyema kwa kuiwakilisha Tanzania.
Mbona hukutupatia Taarifa Kabla ya hii Taarifa ya Habari,we tangu 2004 mpaka Leo ulikaaga tu nayo moyoni,yaan kama ungeanzisha Uzi wako kwa kipindi hicho ili kuhamasisha Fursa hii nadhan ungesaidia Watu,au unapenda kuzungukwa na watu masikini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good afternoon pips hunters
Jamani hii pairs kwa wale tunaopenda kutrade kwa kutumia cross over mara nyingi hii pairs kwangu mimi haijawahi kuniangusha its always on my side ingawaje nafanya demo but I wish nikiwa na real account iwe hivi hivi
Ni EURO/ZAR Ukisell ni tamu ukibuy ni tamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia MT4 au 5??? Una vipi?? Nime jitahd wee nimepata line moja (nyekundu,) mwenzie sijamwona
 
SL hiyo iko kama 30 pips from entry
price. Kuhusu risk reward ratio, hubadilika kutegemea na price action strategy inayogovern .

Every strategy has its unique entry and exit rule. Kwa hiyo discipline na patience inahitajika sana.

Lakini inashauriwa Risk-reward ratio a minimum of 1:1

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu.. hizo trend line unachoraje kwenye app (ya cm?)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom