Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kawaida inatakiwa ufanye demo, then ufanye na cent/micro account, unapotrade na cent account ukideposit $1 inaenda kusoma 100 katika trading platform ($1=100c), now, kwa rate za huyo broker namtumia (bado namalizia kutumia cent account, baada ya kuunguza standard account 3), $1 = 2239TZS, so unaweza kuanza kutrade na cent, ambayo ni real, na ukipata faida unawithdraw, kwa 2239 TZS tu.

Uzuri wa cent ni kwamb utajifunza kucontrol emotions, unlike demo ambayo co real money at all.

Ushauri, tumia demo, then nenda cent, then nenda standard.

Uzuri wake broker huyu http://bit.ly/2hrv3Yo anazo zote tatu.

I hope I've been of help. Ukiamua kuregister ukapata shida ucsite kuntafuta.

All the best!
Shukrani mkuu

Nikikwama nitakutafuta
 
Mpka sasa sijajua unaanzaje yani wakuu Najua nawasumbua ila nisaidieni
 
Kawaida inatakiwa ufanye demo, then ufanye na cent/micro account, unapotrade na cent account ukideposit $1 inaenda kusoma 100 katika trading platform ($1=100c), now, kwa rate za huyo broker namtumia (bado namalizia kutumia cent account, baada ya kuunguza standard account 3), $1 = 2239TZS, so unaweza kuanza kutrade na cent, ambayo ni real, na ukipata faida unawithdraw, kwa 2239 TZS tu.

Uzuri wa cent ni kwamb utajifunza kucontrol emotions, unlike demo ambayo co real money at all.

Ushauri, tumia demo, then nenda cent, then nenda standard.

Uzuri wake broker huyu http://bit.ly/2hrv3Yo anazo zote tatu.

I hope I've been of help. Ukiamua kuregister ukapata shida ucsite kuntafuta.

All the best!
Mkuu ngoja nisomesome ntakutafuta
 
Nianze na Mimi, tangia June 2017 nimepigwa 280,000 hivi. Nyingi kati ya hizo ni kwa kudhulumiwa tu na si kukosea na evidence zipo

Hao jamaa ni wezi
Mkuu acha upotoshaji hapa! Hii ni biashara halali na siyo tatu mzuka hadi uibiwe

Kama pesa imeliwa basi ni kutofuata proper risk management na siyo unavyosema

Hii ni elimu kabisa tena kubwa na ingefaa watu wa NBAA waiongeze kwenye course yao ya CPA(T)
 
Habari Wanajamvi:
Baada Ya Kumsoma Sana My Bro ONTARIO. Kupitia Uzi Wake Wa Fursa Za Forex Na Kauli Zake Za Kutia Moyo Kiukweli Nilihamasil Sana Na Kufikiria Vitu Vingi Sana!
Mwisho Nikaiona Hii Fursa Ya Kujaribu.
Kwa Muda Mrefu Nimemsoma ONTARIO Na Wafuasi Wake Wa Forex! Nikagundua Wote Wana Kauli Moja
FOREX FAIDA= KUSOMA SANAVITABU VYAO + KUWA UPDATED JUU YA TAARIFA MBAMBALI ZA ULIMWENGU.

Nikafikiria Na Kuamua Kurudisha Hizi Kauli Na Biashara Ya Kubeti!
Nikagundua Kote Kunaweza Kuea Sawa.

WHY?

1.Kwenye Forex Watu Wanasoma Sana. The Same Kwenye KuBeti Watu Wanasoma Na Kufuatilia Sana Mienendo Ya Mechi Zilizopita. Misimamo Ya Ligi Etc

2. Kwenye Forex Watu Wanategemea Profit Kubwa Kwa Kuwa Mjanja Na Kuwa Updated! Na Kwenye Kubeti Pia Ukiwa Mjanja Na Updated Unakula Everyday.

FURSA YANGU

Naanza Leo Usiku Kwa Mtaji Wa 50,000/= Nitaleta Mrejesho Kwa Picha After 7 Days.

Ipo Hivi:
Utaanza Na Mtaji Wowote Ila Ukiwa Mkubwa Utapata Faida Zaidi.

Tufanye Kila Siku Ukawa Una Beti Tshs 10,000/= Kwa Kutengeneza Mikeka Miwili Kwa Kufuata Timu Za Aina Hii:

1. Utaweka Timu 2 Tu.
2.ODD Zsizidi 1.7
3. Timu Lazima Iwe Ya Nyumbani

MAHESABU

ODD Ni 1.7
Timu Mbili
Stake Ni 5,000/=
Total ODDS = 2.89

So Hela Utayopata Kwa Mkeka Mmoja Ni Sawa Na
2.89*5000 = 14450/=
Kwa Mikeka Miwili
1445*2 = 28,900/=

Kwa Mwezi = 28,900 * 31 Days Ambayo Ni Sawa Na

895,900/=

Assume Hapa Kati Ukaliwa Kama 300k Faida Itapungua Na Kuwa 500k.

MY TAKE:

Mimi Nimeamua Badala Ya Forex Nitawekeza Huku! Then Nitaleta Mrejesho Kama Anavyofanya Bwana ONTARIO! Wa Forex Baada Ya 1 Month.

Nipeni 1 Month Ya Mrejesho
Naanza Na 50,000/=

MODERATOR

Tafadharini Msifute Wala Kuunga Au Kuhamisha Huu Uzi! Nataka Kujaribu Fursa Niliyoiona Mimi.

MAWAZO, USHAURI, KEJERI, MATUSI VINAKARIBISHWA

MREJESHO
11/11/2017
Mkuu....mrejesho vp Leo ni tar 19nov
 
wakuu naomba msaada njia nzuri ya kudeposit pesa na kudraw kwa brokers,namaanisha broker wa forex/binary and stock trading..je ni lazima uwe na account ya dollar au unafanyaje.?kuna comments nliiona umu hadi kwa M-pesa eti unaweza kudraw..mwenye uelewa na hivi vitu naomba msaada wenu jamani.
 
wakuu naomba msaada njia nzuri ya kudeposit pesa na kudraw kwa brokers,namaanisha broker wa forex/binary and stock trading..je ni lazima uwe na account ya dollar au unafanyaje.?kuna comments nliiona umu hadi kwa M-pesa eti unaweza kudraw..mwenye uelewa na hivi vitu naomba msaada wenu jamani.
Inategemeana na broker unayetumia, wengi wanatumia e wallet kama skrill ( Online payments & Money transfer ) au neteller ( https://www.neteller.com/en/ ), au bank wire transfer, lakini broker huyu ( http://bit.ly/2hrv3Yo ) unaweza kudeposit direct kutoka bank, au kwa M Pesa uliyoisema.

Mabroker wengine bado cjajua kama wana Mpesa.
 
Inategemeana na broker unayetumia, wengi wanatumia e wallet kama skrill ( Online payments & Money transfer ) au neteller ( https://www.neteller.com/en/ ), au bank wire transfer, lakini broker huyu ( http://bit.ly/2hrv3Yo ) unaweza kudeposit direct kutoka bank, au kwa M Pesa uliyoisema.

Mabroker wengine bado cjajua kama wana Mpesa.
Ahsante mkuu Ila shida yang ni kwamba mfano skrill hawaitaji uwe umefungua account ya dollar ili kufanya transfer au account ya tshs unawezaje ukatuma kwao.?
 
Mi natumia Skrill kwa transaction nyengine zisizohusu Forex ushuhuda wangu tu ni wapo fasta hawana longolongo hata charges zao zipi chini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom