Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mku mbona unajibu kama nimekukwaza , samahani sana boss
Fanya we Fanya practice mpaka ukomae
Screenshot_2018-03-27-15-50-20.jpg
Screenshot_2018-03-27-15-50-12.jpg
 
NO MENTOR
no stress wewe kaa na u trade kwa amani kabisa kwa indicator safi ya 100%, kama i time ya sell it will show kama ni time ya ku buy it will show. KUMBUKA HAUITAJI MENTOR YOYOTE BALI ITAKUONGOZA KUANZIA A-Z . waweza iangalia hapo chini.

indicator 100%.JPG
 
NO MENTOR
no stress wewe kaa na u trade kwa amani kabisa kwa indicator safi ya 100%, kama i time ya sell it will show kama ni time ya ku buy it will show. KUMBUKA HAUITAJI MENTOR YOYOTE BALI ITAKUONGOZA KUANZIA A-Z . waweza iangalia hapo chini.

View attachment 727717
Parabolic SAR [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Awapi swez kuwa kilaza wako nitoe buku tano tano
mimi hutoi buku tano unatoa pesa nzuri nakupa indicator ya 100% kisha nakufundisha mpaka una ielewa baada ya hapo una trade week ukipata hasara nakurudishia mtaji. kama bure tu kuliko mtu kwenda kwa ontario unatoa zaidi ya laki mbili na ushe na unarudi mbulula mashariti kibao wakati vitu viko ni kukaa chini tu
 
mimi hutoi buku tano unatoa pesa nzuri nakupa indicator ya 100% kisha nakufundisha mpaka una ielewa baada ya hapo una trade week ukipata hasara nakurudishia mtaji. kama bure tu kuliko mtu kwenda kwa ontario unatoa zaidi ya laki mbili na ushe na unarudi mbulula mashariti kibao wakati vitu viko ni kukaa chini tu
Punguza njaa wewe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom