Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Unapendekeza stop loss iwe kama ngapi mkuu? na maximum positions pia ita change kama stop loss itabadilika. Hivyo naomba mapendekezo ya positions kulingana na stop loss! Nimeamua kutrade kwenye 4hrs time frame kwa kuwa huwa sina muda wa kufuatalia trades zangu mara kwa mara! Pia signals kwenye higher time frame ni za kuaminika kulinganisha na lower time frames!
Mi najua stop loss inawekwa katika previous swing low au swing high, so kama ni stop loss ni nzuri ikiwa flexible mana hzo swing high na low, zinaweza zisiwe 20pips from entry
 
Tickmill wa wapi? Na anaregulatory mbili tofauti... Ya UK, na ya Seychelles... Na TZ inapatikana TU kwa regulatory ya Seychelles... Umewahi jiuliza kwanini? Au na Tickmill ya Seychelles utasema co Tickmill original ni Copy?View attachment 728914
Mkuu hujajibu swali langu tickmill naifahamu ndo maana.sijauliza kuhusu tickmill
 
Nina roho ngumu kivipi mkuu?
Unazungumzia vitu ambavyo theoretically ni possible wakati practically ni impossible...FOREX sio kama unavyoichukulia...
Nakushauri ufanye ishu nyingine ili ikusaidie kupata mtaji wa kutosha ili uweze kuingia kwenye FOREX....
Hata $200 sikushauri pia....Weka $500 kwa ajili ya practise
 
Unazungumzia vitu ambavyo theoretically ni possible wakati practically ni impossible...FOREX sio kama unavyoichukulia...
Nakushauri ufanye ishu nyingine ili ikusaidie kupata mtaji wa kutosha ili uweze kuingia kwenye FOREX....
Hata $200 sikushauri pia....Weka $500 kwa ajili ya practise
Ndugu katika forex what matters first ni skills zako za kutrade + money management + trading psychology. Capital siyo determinant ya mafanikio katika forex. Na kama ingekuwa capita ndio number one determinant ya mafanikio katika forex trading tusingekuwa tunaunguza hizo a/c zenye USD 200, 500 au hata zaidi ya hizo. Naamini naweza kuanza na hata 3 USD ndani ya siku mbili au tatu kama trade itakwenda vizuri nikafikisha hata dollar 10+. Hivyo kwangu capita ya 10 USD japo kiuhalisia ni ndogo lakini hainizuii kufikisha 1000. Kitakachohitaji ni uvumilivu maana inaweza kunichua muda kidogo kuliko kama ningekuwa na capital KUBWA. That's is the only difference kati ya capital ndogo na capital kubwa kwamba inakuchukua muda mfupi kutegeneza profit kubwa ukiwa na mtaji mkubwa na ukiwa mtaji mdogo itakuchukua muda mrefu.

Hivyo kuliko kukaa tu na kuisubiria hiyo USD 100, 200, 500 au zaidi ambayo sijui nitaipata lini ndio nianze kutrade ni kupoteza muda tu. Nakuwa kama mangi naanza na kigenge baada ya mwaka nakuwa na duka kubwa. INAWEZEKANA KABISA UKIWA UNAJUA UNACHOKIFANYA!
 
Mi najua stop loss inawekwa katika previous swing low au swing high, so kama ni stop loss ni nzuri ikiwa flexible mana hzo swing high na low, zinaweza zisiwe 20pips from entry
Inawezekana unachokisema ni kweli kabisa. Lakini suala la kuweka stop loss pia linategemea na strategy unayoitumia kutrade na wakati mwingine ni preference ya trader mwenyewe!
 
Kuna jamaa hapa kazungumzia pure action trader, indicator au mixed trader.

Strategy ni ule mfumo ambao wewe umeamua kuutumia ku trade. Ikumbukwe pia kuwa strategy sio AINA YA TRADER. Trader anaweza kuwa swinger, intraday au scalper, lakini wote wakatumia strategy ya aina moja, mfano: the use of dominant candle. Au wakatumia mchanganyiko wa dominant candle na stochastic. Manake trades zote wataingia ni BAADA YA KUONA DOMINANT CANDLE SETUP, na kuiconfirm na stochastic tu, hakuna setup nyngne watatrade.

Mf. Mwngne, unaweza kuamua strategy yako ni Gap trading, manake muda wote wewe utatafuta gaps katika market na kuitrade. Kawaida ukiona gap, market lazima iifill hyo gap kabla haijaendelea na safari, so wewe utatrade gap filling tu, hutojisumbua na analysis nyngne.

Backtesting ni pale unapotumia akaunt tofauti na real account kutrade strategy uliyoichagua ili kuizoea. Wengi tunatumia demo, lakini demo account sio backtesting account kiuhalisia... Hii ni kama zile weekly test unafanya kabla ya kukutana na Monthly test, au zile pre NECTA kabla ya kukutana na NECTA yenyewe, manake inakupa chance ya kuzoea MAZINGIRA, na kujua timing za trade, bila kurisk money.

Kuna program kabisa za backtesting ambazo unakuwa na total control ya spidi na movement ya candles, yani unaweza kuplay na kupause... Na uzuri wa hz backtesting programs ni kwamba unaweza zitumia hata weekends sabb hazitegemei soko.

Mfano mzuri ni forex tester. Unaweza icheck hapa: Forex Tester - professional forex training software, simulator and backtester kwa bahati mbaya nimeshindwa kuipata direct link kuidownload forex tester 2 ambayo ni free. Pia kuna soft4FX: Forex Simulator - Installation | Soft4FX ambayo binafsi nimeiona ni rahs zaidi kuitumia.

Kama bado cjaeleweka, pls keep asking.
Mkuu namna ya ku pakua Hii Forex simulator-installation ..apo ni kama wametoa maellzo namna ya kuinstall
 
Ndugu katika forex what matters first ni skills zako za kutrade + money management + trading psychology. Capital siyo determinant ya mafanikio katika forex. Na kama ingekuwa capita ndio number one determinant ya mafanikio katika forex trading tusingekuwa tunaunguza hizo a/c zenye USD 200, 500 au hata zaidi ya hizo. Naamini naweza kuanza na hata 3 USD ndani ya siku mbili au tatu kama trade itakwenda vizuri nikafikisha hata dollar 10+. Hivyo kwangu capita ya 10 USD japo kiuhalisia ni ndogo lakini hainizuii kufikisha 1000. Kitakachohitaji ni uvumilivu maana inaweza kunichua muda kidogo kuliko kama ningekuwa na capital KUBWA. That's is the only difference kati ya capital ndogo na capital kubwa kwamba inakuchukua muda mfupi kutegeneza profit kubwa ukiwa na mtaji mkubwa na ukiwa mtaji mdogo itakuchukua muda mrefu.

Hivyo kuliko kukaa tu na kuisubiria hiyo USD 100, 200, 500 au zaidi ambayo sijui nitaipata lini ndio nianze kutrade ni kupoteza muda tu. Nakuwa kama mangi naanza na kigenge baada ya mwaka nakuwa na duka kubwa. INAWEZEKANA KABISA UKIWA UNAJUA UNACHOKIFANYA!

Just because you can do something doesn’t always mean you should.
So if a Forex broker offers a way to start for $100, should you take it?

That depends on several factors, but if it were up to most of the people who are seriously want to do FOREX the answer would always be NO.
 

Just because you can do something doesn’t always mean you should.
So if a Forex broker offers a way to start for $100, should you take it?

That depends on several factors, but if it were up to most of the people who are seriously want to do FOREX the answer would always be NO.
Kumbe majibu yako ni kucopy na kupaste,
 

Just because you can do something doesn’t always mean you should.
So if a Forex broker offers a way to start for $100, should you take it?

That depends on several factors, but if it were up to most of the people who are seriously want to do FOREX the answer would always be NO.
Mkuu, jamaa pale juu kaeleza vizuri sana, ukishajipika ukaiva, dola 3,4,5 sijui ngan zinatosha , haufanikiwi kwasababu umeanza na mtaji mkubwa au mdogo, jipike, iva... kias chochote cha mtaji unatembea
 
Mkuu, jamaa pale juu kaeleza vizuri sana, ukishajipika ukaiva, dola 3,4,5 sijui ngan zinatosha , haufanikiwi kwasababu umeanza na mtaji mkubwa au mdogo, jipike, iva... kias chochote cha mtaji unatembea
Mkuu mimi wala sikatai kwenye swala hilo...Point ni kwamba unafanya FOREX kwa sababu zipi???
 
Kakojoe ukalale huko, hafu huu Uzi tuachie traders Wa forex , nyie endeleeni kufungua nyuz za kulima matikitimaji, na kilimo cha mboga mboga.
hahaha hahaha dah! Jibu murua ..kila binadamu na afanye anachokipenda.
 
MENTOR:JINSI YA KUMPATA ATAKAYEKUFAA.
Umeshawahi kuwaza kama ungepata mtu akufundishe Forex? ushawahi kuwaza ingekuwaje mtu anayefahamu kuliko wewe angekuwa anakupa msaada na maelekezo ya jinsi ya kutrade? ushawahi mfuata mtu inbox kumwomba mtu akupe personal classes? ushawahi hisi hauwezi kufikiria vizuri kuhusu strategy gani utumie ili uwe profitable trader, na hivyo unahitaji mtu akupe mwongozo?

kama ndio, basi mtu huyo anaitwa Mentor.
View attachment 713036
bahati mbaya wengi wetu twadhani kila mtu anayejua kuliko sisi anafaa kuwa mentor. hapo ndipo tunapokosea na kupotea. inakuwa kama kumwona mtu ana joho basi twamkamata na kumkabidhi madhabahu aendeshe ibada, kumbe sio wote wenye majoho ni mapadre, wengine masheikh!
Kuna sifa kadhaa za mentor ambazo unapaswa kuzijua kabla hujamuomba mtu awe mentor wako.

1. huo mfano wa mchungaji na sheikh umeuelewa? mentor wako anapaswa kutrade kwa staili unayotrade, la sivyo utajikuta unabadili staili ya kutrade kila ukibadili mentor. kama wewe ni naked trader, tafuta mentor naked trader, kama wewe watumia indicator, tafuta mentor anatumia same indicators... naked hawezi kummentor anayetumia indicator, the same mentor anayetumia indicator katu hawezi kumfunza naked trader... Birds of same feathers........ utamalizia hapo...

2. kama ambavyo fundi makenika wa treni hawezi mwelekeza fundi makenika wa IST jinsi ya kuziba pancha, mentor scalper hawezi kummentor swinger, and vice versa, so kama wewe ni swinger tafuta mentor swinger kama wewe ni scalper, tafuta mentor scalper.

3. ni nzuri pia kama mentor na mentee wakatrade same market, and same pairs.. sio wewe unatrade EURUSD na mentor wako muda wote anatrade Coffee au Orange Juice!

4. kama watumia indicators, ni nzuri mentor atumie same indicators kama umeamua kutumia OG Forex strategy, then mmiliki wa hiyo startegy atakuwa mentor mzuri zaidi... kama unatumia MCV, na ,mentor pia atumie hiyo, hali kadhalika kama watumia moving averages, then mentor wako awe anazitumia hizohizo....
View attachment 713035

5. mentor anapaswa awe na muda wa kukuelekeza, full time trader ni mzuri zaidi, maana anakuwa na uwezo wa kukusaidia wakati wote unapohitaji msaada.View attachment 713034

6. kitu kikubwa zaidi.... AFFORDABILITY ya mafunzo/mentorship.. kama mtaji wako ni $50, ni hasara sana kutafuta mentor wa $2000.

Kwa maelekezo hayo machache, hope itakuwa rahisi zaidi kumpata mentor, and please note, i dont give mentorship services, mi mwenyewe nahitaji kuwa na mentor!

cheers!
Blazaa kwa hatua ulofikia bado unaitaji mentor tena hahaha (joke) ila Fanya namna mkuu utu coach sisi banaa ..bado tuna safari ndefu kinomaa
 
So kwa kuionyesha MCV, ambayo ni strategy yako, nakulipa wewe?
Mkuu ningeomba uniweke wazi kuhusu strategy ..maana bado nachangaya.. kama vip ungenisaidia na ambazo unazijua wewe ..mf ukisema kangaroo tail, big shadow.. Nazo Ni strategy? pia umeongelea MCV nin kirefu chakechake?/maana yake?

Shukrani mkuu
 
Amlight,kumbe Nlishapitwa,huu Uzi Mrefu Sana Sitoumaliza Kuupitia,kama Utanipa Summary,na Je Otario Kafanikiwa Kufungua Ofisi?He He Nimentor Basi,bado Nanyonyesha
 
Nimemaliza Kusoma,ntasoma Tena Na Vitabu,dummies Nshadownload,nimesoma Finance Na Bado Npo Kwenye Process Ya Kusoma Finance Zaidi,ila Kabla Sijasoma Zaidi Forex Ntakuwa Nshaingia,itachukua Mda Ila Ntakuwa Fit Kukuzidi Ontario,
Ahsante Ontario
 
Mkuu hujajibu swali langu tickmill naifahamu ndo maana.sijauliza kuhusu tickmill
Kuongelea tickmill manake ujaze kwenye blanks, kwa mfanano huo co jambo la ajabu kwamba templer hawapo US, kwa sbb hata Tickmill hawana regulation ya US, huenda nao hawafanyi huko...
 
Kuongelea tickmill manake ujaze kwenye blanks, kwa mfanano huo co jambo la ajabu kwamba templer hawapo US, kwa sbb hata Tickmill hawana regulation ya US, huenda nao hawafanyi huko...
unataka nieleze historia ya tickmill mpaka kuwa na regulatory nchi mbili tofauti? huo sio msingi wa swali langu na bado sijauliza kuhusu kufanya kazi US au nchi nyingine yoyote sababu najua kwa nn brokers wengi hawafanyi kazi US sio templer tu,. Ninachotaka kujua kwa nini regulator asiwe FCA(FSA UK) mpaka iwe nchi nyingine tofauti na makao makuu ya broker ikizingatiwa FCA ni body ya nchi ya uingereza ambapo broker anatokea?
 
unataka nieleze historia ya tickmill mpaka kuwa na regulatory nchi mbili tofauti? huo sio msingi wa swali langu na bado sijauliza kuhusu kufanya kazi US au nchi nyingine yoyote sababu najua kwa nn brokers wengi hawafanyi kazi US sio templer tu,. Ninachotaka kujua kwa nini regulator asiwe FCA(FSA UK) mpaka iwe nchi nyingine tofauti na makao makuu ya broker ikizingatiwa FCA ni body ya nchi ya uingereza ambapo broker anatokea?
Sorry, ntakuwa nimechanganya, nlikuwa namjibu mtu aliuliza kwanini Templer haifanyi kazi US na Israel... Na hvyo akawa anadhani ni Scam
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom