Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Nataka nijifunze hii kitu. ONTARIO Mwl.RCT
1. Pata ABCs za forex hapa: Learn Forex Trading at School of Pipsology - BabyPips.com

2. Ukisha maliza nijulishe twende hatua inayofuata.

3. Je yameeleweka haya maelezo pichani??
1534959394408.png
 
Dah nasikitika huu Uzi ndo nauona Leo natamani ningekuwa kwenye list ya watu 300 wa mwanzo waliokwenda kujifunza,vipi hakuna kozi nyingine tena walau yenye gharama nafuu?
Mwl.RCT
ONTARIO
 
Ngoja nisome maana ningekuwa interested sana ila pamoja na kusoma kuna uhitaji wa mtaalam wa kuelekeza maana practical huwa ni rahisi zaidi kuliko theory mkuu Mwl.RCT
Uko sahihi.
1. Soma
2. Fungua demo account
3. Trade kwa muda
4. Kabla ya kuanza real account - hapo ndipo inatakiwa tuwekane sawa.
 
Nkitaka Ku trade kiwango cha chini kabisa ni kiasi gani
Fx kama biashara nyingine, waweza anza na mtaji kiasi utakacho penda kuanza nacho.

Mafanikio hayategemei ukubwa au udogo wa mtaji, bali ni SKILL sahihi katika kwa biahsara husika.

Wapo broker wanaotaka uanze na USD 25 kama Tickmill au wengine uanze na USD 100 kama FXTM au dola USD 1 kwa micro account kama TEMPLER, ni wewe tu uamuzi wako uanze na kiasi gani.
 
Fx kama biashara nyingine, waweza anza na mtaji kiasi utakacho penda kuanza nacho.

Mafanikio hayategemei ukubwa au udogo wa mtaji, bali ni SKILL sahihi katika kwa biahsara husika.

Wapo broker wanaotaka uanze na USD 25 kama Tickmill au wengine uanze na USD 100 kama FXTM au dola USD 1 kwa micro account kama TEMPLER, ni wewe tu uamuzi wako uanze na kiasi gani.
Shukrani sana nadhani nahitaji kupata elimu kwanza nikimaliza kusoma nitaanza na mtaji kidogo ili nijue inafanyaje kazi,,,
 
Wakubwa naomba mnisaidie.,niliwithdrawal hela kutoka kwa broker (pepperstone) kuja kwa account yangu ya Crdb lakini ni almost mwezi umepita sasa haijasoma kwenye account.,nimewasiliana na broker kanitumia receipt na anasema hela ikishatoka kwake jukumu linabaki kwa benki yangu kuifatilia kwa kutumia RRN .,nimewasiliana na crdb mizungusho mingi ambayo haina msingi mpaka nimechoka.,Je ina maana kama broker ametuma lazima nipeleke receipt bank kwa ajili ya kufatilia au naweza kutulia tu baadaye itasoma kwenye account?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vipi nikitaka darasa la uso kwa uso kwa hapo dar kwa hizo wiki tatu inawezekana?
Wiki tatu - Ni video course ambazo utatazama kwa wiki tatu mfulurizo.

Kila wiki inakuwa na somo tofauti

Baada ya kumaliza ndipo tunakaa pamoja via ZOOM kwa ajiri ya final touch kwenye + Live trade kwa london/ New york session,
- Analysing market

- Daily market cycle timing - Intraday Trading

- Kwekewa setup kwenye PC yako Via TEAMVIEWER:- Setup itakupa taarifa kwenye simu yako, PUSH NOTIFICATION, kila trading opportunity inapojitokeza - Hadi hapo utakuwa ni smart trader, unafanya trading huku unaendelea na shughuli zako zingine

- Kesho nitaweka Full course outline ya video kitu hasa ambacho utajifunza from A to Z kuhusu forex ila ni kwa njia ya video na mifano hai.

Reference
- ZOOM: Video Conferencing, Web Conferencing, Webinars, Screen Sharing
- TEAMVIWER: TeamViewer – Remote Support, Remote Access, Service Desk, Online Collaboration and Meetings
 
iliwithdrawal hela kutoka kwa broker (pepperstone) kuja kwa account yangu ya Crdb lakini ni almost mwezi umepita sasa haijasoma kwenye account.,
Hukutakiwa usubirimuda wote huo upite.
Kimsingi inatakiwa usubirie kwa siku 3 hadi 5
Iwapo fedha yako haijasoma, unawasilina na account manager wako wa pepperstone ili akupe ducument za uthitisho kuwa ametuma fedha, then unaenda bank physicall kudai chako
broker kanitumia receipt na anasema hela ikishatoka kwake jukumu linabaki kwa benki yangu kuifatilia kwa kutumia RRN
Sahihi, Nijukumu lako kufuatilia, Rejea maelezo hayo ya awali
,nimewasiliana na crdb mizungusho mingi ambayo haina msingi mpaka nimechoka.,
Ungeomba kuonana na branch manager, hakika swala lako lingepewa kipaumbele, Maranyingi watu wa customer care wakati mwingine huwa hawajui nini wafanye kuhusu request zetu, Yaani unakuwa unamweleza maswala ambayo yako nje ya ufahamu wake, Hapo lazima uzungushwe.
Je ina maana kama broker ametuma lazima nipeleke receipt bank kwa ajili ya kufatilia au naweza kutulia tu baadaye itasoma kwenye account?
Kwa bank zingine hakuna huo usumbufu.
Fedha yako direct inasoma kwenye account yako ndani ya siku 3 hadi 5 bila ya wewe kuhangaika na chochote

JE NINI CHA KUFANYA
- Fungua account kwenye moja ya hizi bank: BANCABC au EQUITYBANK au bank nyingine yeyote ambayo ni international kama Barclays au standard C.

- Pili fungua account SKRILL ambapo utaratibu utakuwa ni huu BANK to SKRILL then to BROKER, wakati wa kutoa itakuwa BROKER >> SKRILL >> BANK : Fedha yako unaipata ndani ya saa 48 bila usumbufu wowote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom