Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer FX Trader
Hehehe!!nilijua tu huta kosa humu
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer FX Trader
Mmh!
 
Forex ni real lakini wanaoizunguka wengi ni matapeli.....kuna jamaa wa South Africa (Andile)nilimpa ai manage akaunti yangu ya USD 1000....kwanza akaipandisha hadi USD 1500 , then USD 1700, nikawa naona mambo si ndiyo haya,nikaingiwa na tamaa...nikasema (nitatoa (USD 1000) ikifika USD 2000....baada ya muda kidogo kuchungulia naona imefika USD 1200,900,700,400....nikamuuliza vipi mbona hivyo,akasema nisiwe na wasiwasi ..baadaye USD 150....ikagonga zero...jamaa akapotea kimya....lakini nikimwangalia kwenye Instagram anajisifu kutenegeneza mahela sana through Forex.....na kila siku anaendesha semina/madarasa kwa malipo si ya kitoto na anasema utajiri wake ni kutokana na kufanya forex...bado najiiuliza bila majibu....
Pia kuna mwingine mkenya naye nikampa akaunti yangu ya kuimanage....nikadeposit USD 2000 tukakubaliana tunagawana 50% each na kwamba ni mkataba endelevu.....in four days akatengeza faida ya USD 4000 (ofcourse mara ya kwanza ilikuwa faida USD 1500 na mara ya pili USD 2500) kila niki withdraw namtumia 50% yake.....nikasema haya ndiyo mambo ya Forex si mchezo.....hapo ikawa imebaki ile USD 2000 ya mtaji .....duh wiki ya pili ikaporomoka yote ikabaki USD 8....macho yakanitoka...na akapotea pia....ofcourse huyu alirudisha hela yangu lakini yeye atakuwa amepata zaidi yangu nahisi ule mtaji ameelewana na broker au kitu kama hicho.....kwa hiyo hawa wote wanatabia zinazofanana kiaina fulani...na mimi niliwatumia wao sababu nilikuwa nimesoma Forex lakini nilikuwa bado kabisa kutrade live account na kuna vijihela vilinitembelea....

Pole sana, jifunze kitu ukimpa mtu kumanage acc fungua kwa broker wako uumpe passward tuu
 
View attachment 928205
Sorry kwa image mbaya ..ila huna tofauti na betting
Wewe endelea tu na kuhangaika na vi-definition vyako vya neno bet huku wanaume tunaendelea kupiga mpunga. Kwa akili yako unadhani kwamba unaweza kuwa-convince watu waache kutrade forex eti kisa ni betting? Very shallow minded indeed! Kama serikali tu zenyewe zimeruhusu haya mambo wewe ni nani hadi uhangaike usiku na mchana kusema kwamba forex ni betting, so what? Kama unataka kuhubiri nenda makanisani au misikitini huko ndiko watakuelewa! Hapa unapoteza muda wako afadhali hata utumie huo muda wako adhimu kuangalia tamthilia ya SIRI YA MTUNGI!
 
Wewe endelea tu na kuhangaika na vi-definition vyako vya neno bet huku wanaume tunaendelea kupiga mpunga. Kwa akili yako unadhani kwamba unaweza kuwa-convince watu waache kutrade forex eti kisa ni betting? Very shallow minded indeed! Kama serikali tu zenyewe zimeruhusu haya mambo wewe ni nani hadi uhangaike usiku na mchana kusema kwamba forex ni betting, so what? Kama unataka kuhubiri nenda makanisani au misikitini huko ndiko watakuelewa! Hapa unapoteza muda wako afadhali hata utumie huo muda wako adhimu kuangalia tamthilia ya SIRI YA MTUNGI!

Basi unaona nawe umeongea vitu vya maana ..sinaga muda wa ku make argument na mpuuzi kama wewe .. kwani nimekufata nikakwambia usifanye forex inaonesha bado ujajua maisha yanataka nini
Afu sina shida ya kuhubiri maana unapayuka payuka tuliza maarifa yako hifadhi upuuzi na ujinga wako
 
Basi unaona nawe umeongea vitu vya maana ..sinaga muda wa ku make argument na mpuuzi kama wewe .. kwani nimekufata nikakwambia usifanye forex inaonesha bado ujajua maisha yanataka nini
Afu sina shida ya kuhubiri maana unapayuka payuka tuliza maarifa yako hifadhi upuuzi na ujinga wako


ndo hivyo bro!! HATUACHI Forex ng'oooooo!!!
we jitahidi kukatisha watu tamaa lakini hatuachi.
 
The AutoTrading at work...
33859757.jpeg
 
Kwa wote wanaoanza na wanaohangaika na Forex.

1. Fanya registration kupitia broker ninaemtumia ambae ni FXTM na kwa link yangu (ambayo inapatikana katika post hii hapo chini)
...
.....
2. Deposit kiwango cha chini kabisa $100( USD 100)
....
...
3. Kisha utatuma message telegram kwenye namba +255763337645, Jina lako na ID number yako uliopewa na broker.
....
.....
4. Utakuwa added kwenye group la FREE MENTORSHIP telegram.
....
.....
5. Huu mchongo unaanza tarehe 18/11/2018 ambapo itafanyika webnar ya pamoja about market. Kisha jumatatu ya tarehe 19/11/2018 ndipo tunaanza safari ya kutrade kwa pamoja kuanzia $100 mpaka $10000.
...
.....
6. Kutakua kuna nafasi ya kuuliza maswali , kuchangia mawazo mpaka tutakavofikisha $10000.
...
....
7. Muongozo juu ya trading plan pamoja na risking ratio kwa kadri ya mitaji yetu itakavokua inakua.
NB: Mentorship itaisha baada ya kufikisha $10000

Link:
ForexTime (FXTM) Online Forex Broker

Make sure you use this link to qualify to be in people who will have mentorship. Kama link haitotumika, hautopokelewa.



-Francisco, Founder, Forex Money Industry Tanzania.
1998932038.jpeg




Trading account types naomba tuchague FXTM-ECN! #TwenzetuTelegram #$100to10000
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Affiliate Marketing in Forex Business
Kwa wote wanaoanza na wanaohangaika na Forex.

1. Fanya registration kupitia broker ninaemtumia ambae ni FXTM na kwa link yangu (ambayo inapatikana katika post hii hapo chini)
...
.....
2. Deposit kiwango cha chini kabisa $100( USD 100)
....
...
3. Kisha utatuma message telegram kwenye namba +255763337645, Jina lako na ID number yako uliopewa na broker.
....
.....
4. Utakuwa added kwenye group la FREE MENTORSHIP telegram.
....
.....
5. Huu mchongo unaanza tarehe 18/11/2018 ambapo itafanyika webnar ya pamoja about market. Kisha jumatatu ya tarehe 19/11/2018 ndipo tunaanza safari ya kutrade kwa pamoja kuanzia $100 mpaka $10000.
...
.....
6. Kutakua kuna nafasi ya kuuliza maswali , kuchangia mawazo mpaka tutakavofikisha $10000.
...
....
7. Muongozo juu ya trading plan pamoja na risking ratio kwa kadri ya mitaji yetu itakavokua inakua.
NB: Mentorship itaisha baada ya kufikisha $10000

Link:
ForexTime (FXTM) Online Forex Broker

Make sure you use this link to qualify to be in people who will have mentorship. Kama link haitotumika, hautopokelewa.



-Francisco, Founder, Forex Money Industry Tanzania. View attachment 931747



Trading account types naomba tuchague FXTM-ECN! #TwenzetuTelegram #$100to10000
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer FX Trader
 
Naomba kujua nikichora trend line katika pair eg EUR/USD kwenye PC nikihamia pair nyingine nikachora pia but nikirud kwenye pair ya kwanza zile trend line zinafutika zote tatizo Nini hapa
 
Naomba kujua nikichora trend line katika pair eg EUR/USD kwenye PC nikihamia pair nyingine nikachora pia but nikirud kwenye pair ya kwanza zile trend line zinafutika zote tatizo Nini hapa
Unatumia PC au simu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom