Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
[emoji23][emoji23][emoji23] hatari sanaHahaha a hahhhaaaa. Kweli bhn kila mtu ni pro ckuiz haha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] hatari sanaHahaha a hahhhaaaa. Kweli bhn kila mtu ni pro ckuiz haha
Sasa ndug me niko mwanza ndo maana ninesema kwa aliyeoko mwanza.
Abarikiwe hakika.. now mfuko wangu haukauki na wala sitegemei mshahara ila hii dec soko sio zuriAshukuriwe Ontario kwa kutuonesha fursa
Haujaelewa.. anafanya trade zake kimya kimya..Anapiga kimya kimya wapi wakati ametafuta wasauzi wengine wanafanya mentorship sema bongo sasa hivi mtu akishajua kuchora trendline tayari keshakuwa mentor kwa hiyo kafunikwa
duu hatar sana kuna Dada anataka nmfundishe wakati mi najua kuchora tu hiyo mitendaline hajui nipo sharooAnapiga kimya kimya wapi wakati ametafuta wasauzi wengine wanafanya mentorship sema bongo sasa hivi mtu akishajua kuchora trendline tayari keshakuwa mentor kwa hiyo kafunikwa
Haujaelewa.. anafanya trade zake kimya kimya..
Nani kakuambia ukijua kuchora trendlines ndio unajua kutrade.. hawa ndio hushinda kwenye screen all day [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
Mkuu kwa kumsaidia unaweza kumfundisha, ila huu mtindo mtu amejua tu kuset moving average anaanza kichukua vidola vya watu unatakiwa kupigwa vita ndio maana forex inaonekana ni utapeliduu hatar sana kuna Dada anataka nmfundishe wakati mi najua kuchora tu hiyo mitendaline hajui nipo sharoo
inatwaje kampuni yakeNa wewe hujaelewa comment yangu, mimi nimesema kuchora trendline ndio kujua kutrade? Na unasemaje anafanya kimyakimya wakati ana watu wanaokuwa mentored chini ya hii kampuni yake mpya(sijui kampuni kweli ) ya uptrend na trainings bado zinafanyika?
Uptrendinatwaje kampuni yake
HahahahaMkuu kwa kumsaidia unaweza kumfundisha, ila huu mtindo mtu amejua tu kuset moving average anaanza kichukua vidola vya watu unatakiwa kupigwa vita ndio maana forex inaonekana ni utapeli
Haya njoo pm sasaUptrend
Kufanyaje mimi nipo likizoHaya njoo pm sasa
Mkuu si utugawie hicho unachojua sasaFx ni zaidi ya trendline,support and resistance, channels na upuuzi mwingine unaotumika kuhadaaa watu.
Sadly ni wachache ndio wanajua hili. Na kwasababu utamaduni ni huo ambao tumefundishwa si rahisi kupokea haya mapokeo.
NB: Simaanishi ukijua hiyo njia you'll always be making money easily. No free lunch in this f%&@ world
we njoo tu nataka tuende kwenye uptrend hukoKufanyaje mimi nipo likizo
Sijui hata ni wapi, kulikiwa na WhatsApp group watu wakahamia premium wapenda vya bure tukabaki tunang'aa sharubu baadae nikaleftwe njoo tu nataka tuende kwenye uptrend huko
we njoo tu nataka tuende kwenye uptrend huko
Mkuu si utugawie hicho unachojua sasa
Kufanyaje mimi nipo likizo
Haya njoo pm sasa
Wekeni hapa hayo makitu na sisi tujifunze ingawa ,hatuamua bado kuingia hukoUptrend
Mimi hata sijui iko wapiWekeni hapa hayo makitu na sisi tujifunze ingawa ,hatuamua bado kuingia huko
Hy uptrend iko wapi?
Sijui hata ni wapi, kulikiwa na WhatsApp group watu wakahamia premium wapenda vya bure tukabaki tunang'aa sharubu baadae nikaleft