FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

Safi kabisa, maana ukitoa maoni tofauti ni matusi mpaka ya nguoni! Kisa mmetofautiana mawazo! Sasa mleta thread hakutaka haya, inasikitisha kabisa..
 
Asante mama, ila ila ukisema hivi kuna wale washabiki wao ni balaa, wamesahau hata hii thread ilianzishwa kwa mantiki gani!
 
Kula LIKE mkuu, safi sana, absolutely brilliant...
 
Exactly...
Sasa ukiona kwenye discussions/debate n.k. yameanza matusi ujuwe kuna mmoja kashindwa jadili, anataka kuvuruga thread, akili yake labda imefikia hapo maskini, au anapenda kutumia nguvu watu wakubali hoja zake kwa kila hali na mali!
Sasa haiwezekani...
 
Exactly
 
Ukweli ni kuwa wale watu 300 waliopatiwa training wamewekwa kwa Makundi ya watsup hivyo hawafanyi biashara peke yao.

Hawapati hasara kwa sababu kati ya biashara 10 wanazofanya wanapoteza 1/10 au wakat mwingi hawapotezi kabisa ndio maana hakuna anaesema kapata hasara.

Binafsi nilianza na dola 200 zikapungua mpaka 132 kwa kutokujua principle vizuri kwani nilikua niliona tu red color inongezeka nafnga kwa kuamin nimepoteza tayari.

Nilipanic kwani kila trade nilikua napata loss. Baada ya muda kumbe patient inahitajika, pia psychology ni muhimu kwa sku zilizofuata baada ya kuonana na mentors at TMT nimefanikiwa kurudisha mtaji wangu na naendelea vizuri.

Kwa sasa hata trade iwe 110 zifungi biashara siweki stop loss namwamini mentor pia naweka risk management.
Situmii indicator yeyote kuona opportunity kwenye soko.

Wapo walioburn account zao hawasemi kwa kuwa wanajua ni makosa yao na sio mentor. Mfano mtu ana mtaji wa dola 200 then anaweka lotsize ya 1 badala ya 0.01 mpaka 0.07 akiburn account wakati darasani amefundishwa hawezi sema.

Kingine ni tamaa mtu anaweka trade nyingi ikienda against na yeye anaenda against.

Simsemei mtu lakini under Ontario training mtu ukipata hasara in a long run ni maamuzi yako.
Nmefanya trade zaidi ya 50 sijapata hasara ata moja. Nilizopata hasara ni ambazo nilikua nafanya mwenyewe pia sio zote. Mtu ukitaka kuamini hili tafuta watu 5 tu wa TMT kisha kagua biashara zao, mtu asilazimishe kuwa watu wanapata hasara.

Mim ni free mind person siwezi mtetea mtu for no reason. TMT teams are not even my cousins am stand to be proved wrong by any member who will come here and mention that he got training + trade calls + mentorship under TMT then got loss.
 
Endeleeeni kutoa thread za utapeli utapeli hata mjiorganize mfike hata kumi watu wanaendelea kujisajili
 
Maelezo mazuri sana ila ngoja Waje wenyewe hakuna rangi utaacha kuona
Maelezo gani mazuri hapo...huyo.kama aliamua kua mjinga kuweka nyumba anayoishi yeye na familia basi ni mjinga wa mwisho..ujinga wa watu wachache hauwez kusema kwamba ni utapeli...
unafikiri hata hao wanaobet kwenye mpira una milioni 10 unaziweka zote kwenye betting,kwamba timu flani itashinda ...hio ni utapeli au ignorance
 
Hii stori kama ya kutunga vile
 
Point iliyo nifikirisha hapo ni ya serikali kuruhusu wafanyakazi wake kukopeshwa mtaji na kukatwa kidogo kidogo kwenye mishahara yao, je serikali ya bondeni nayo ni ya vilaza kama tunavyo aminishwa hapa?
Je hawajui kwamba hii ni upatu kama mnavyo elewa nyinyi wabongo?
 
Wakikupa jibu ni tag kiongozi...
 
Oyaaa! Mbona mboshi wewe? Ni utapeli na ignorance ya kuto jua how this scam operates. Kauze kibanda chako na wewe ushinde mapesa ya forex alafu njoo hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…