FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

Pia, wewe na wenzako wana forex mnatumia nguvu nyingi kutushawishi na kutetea kuwa forex siyo utapeli. Wewe ndiye unatakiwa ukae pembeni, thread hii ni kwa ajili ya kukosoa utapeli wa forex, wala hukuitwa hapa. Nenda kaongelee faida ya forex kwenye thread zinazo wadanganya. Hapa hatuko kutetea ushuzi wako...soma hoja inasemaje! Toa shuhuda ya hasara katika forex.
Safi kabisa, maana ukitoa maoni tofauti ni matusi mpaka ya nguoni! Kisa mmetofautiana mawazo! Sasa mleta thread hakutaka haya, inasikitisha kabisa..
 
Mmmm hasara zipo kwa kweli, ..mm nilikuwa south Africa nilishuhudia Mbaba na familia yke mzungu, aliuza nyumba akawekeza katika forex trade, alikuja kulia kama mtoto na presha alipata, haikurudi hata nusu yake ... Tena kule south Africa wameendelea, huwa wanakopesha Capital ya forex trade kwa wafanyakazi Wa serikali... Unakuwa unakatwa kila mwezi katika salary yko direct, it doesn't mater umekula au kuliwa...aisee watu walikuwa wakiliwa... Na walioclaim kula weng walisema pesa yao huwa inacheza apo apo , hakuna faida kubwa..sikubahatika kukutana na waliowin japo naamin huenda wapo
Asante mama, ila ila ukisema hivi kuna wale washabiki wao ni balaa, wamesahau hata hii thread ilianzishwa kwa mantiki gani!
 
Sio watu wote 300 wameshafanya trading kwa sababu mbalimbali
Kuna ambao hawajakuwa na mitaji ya kuanzia na wengine hawajakamilisha vigezo au taratibu za kufungua akaunti za benki na za broker

Pia kwa waliofanya ni kweli haiwezekani wawe wote ni profitable traders
Wapo losers lakini sio kwa maana unayojaribu kuijenga!
Kuna kupoteza kidogo kutokana na tamaa ama kutozingatia kanuni.na waliokumbwa na hilo wanajua ni kwa nini wamepoteza na wengi walijirekebisha makosa na kuendelea na profitable trades

Hivyo hawana sababu kushuhudia makosa yao na walipewa miongozo wakaivunja
Pia lengo la walioleta hii training ni kuonyesha kuna fursa ya kipato ndani ya Forex ikifanywa kwa kuijua na kufuata kanuni na malengo

Nadhani hata masomo ya kawaida au kozi mbalimbali kuna ambao wanazifuzu vema na wanaofeli
Na katika wanaofuzu au kufanikiwa mara nyingi huwa ndio mifano kuwa hizo kozi ni ideal japo wapo wakoseaji

Ukiamua kutafuta upande wa Negative hutoukosa lakini hautofuta makubwa ya ukweli wa upande wa Positive

Be Positive
Kula LIKE mkuu, safi sana, absolutely brilliant...
 
Sasa watu kama yeye mimi ndo huwa naweza kujadili nao mambo yakinifu.
Ukijadili jambo hawa watanzania wanatengeneza sababu zao binafsi.Mimi naamini moja kati ya njia za kujifunza ni kuuliza,kujadili,kubisha.mana hapo utapata watu watakaofunguka wengi
Exactly...
Sasa ukiona kwenye discussions/debate n.k. yameanza matusi ujuwe kuna mmoja kashindwa jadili, anataka kuvuruga thread, akili yake labda imefikia hapo maskini, au anapenda kutumia nguvu watu wakubali hoja zake kwa kila hali na mali!
Sasa haiwezekani...
 
Exactly...
Sasa ukiona kwenye discussions/debate n.k. yameanza matusi ujuwe kuna mmoja kashindwa jadili, anataka kuvuruga thread, akili yake labda imefikia hapo maskini, au anapenda kutumia nguvu watu wakubali hoja zake kwa kila hali na mali!
Sasa haiwezekani...
Exactly
 
Ukweli ni kuwa wale watu 300 waliopatiwa training wamewekwa kwa Makundi ya watsup hivyo hawafanyi biashara peke yao.

Hawapati hasara kwa sababu kati ya biashara 10 wanazofanya wanapoteza 1/10 au wakat mwingi hawapotezi kabisa ndio maana hakuna anaesema kapata hasara.

Binafsi nilianza na dola 200 zikapungua mpaka 132 kwa kutokujua principle vizuri kwani nilikua niliona tu red color inongezeka nafnga kwa kuamin nimepoteza tayari.

Nilipanic kwani kila trade nilikua napata loss. Baada ya muda kumbe patient inahitajika, pia psychology ni muhimu kwa sku zilizofuata baada ya kuonana na mentors at TMT nimefanikiwa kurudisha mtaji wangu na naendelea vizuri.

Kwa sasa hata trade iwe 110 zifungi biashara siweki stop loss namwamini mentor pia naweka risk management.
Situmii indicator yeyote kuona opportunity kwenye soko.

Wapo walioburn account zao hawasemi kwa kuwa wanajua ni makosa yao na sio mentor. Mfano mtu ana mtaji wa dola 200 then anaweka lotsize ya 1 badala ya 0.01 mpaka 0.07 akiburn account wakati darasani amefundishwa hawezi sema.

Kingine ni tamaa mtu anaweka trade nyingi ikienda against na yeye anaenda against.

Simsemei mtu lakini under Ontario training mtu ukipata hasara in a long run ni maamuzi yako.
Nmefanya trade zaidi ya 50 sijapata hasara ata moja. Nilizopata hasara ni ambazo nilikua nafanya mwenyewe pia sio zote. Mtu ukitaka kuamini hili tafuta watu 5 tu wa TMT kisha kagua biashara zao, mtu asilazimishe kuwa watu wanapata hasara.

Mim ni free mind person siwezi mtetea mtu for no reason. TMT teams are not even my cousins am stand to be proved wrong by any member who will come here and mention that he got training + trade calls + mentorship under TMT then got loss.
 
Endeleeeni kutoa thread za utapeli utapeli hata mjiorganize mfike hata kumi watu wanaendelea kujisajili
 
Maelezo mazuri sana ila ngoja Waje wenyewe hakuna rangi utaacha kuona
Maelezo gani mazuri hapo...huyo.kama aliamua kua mjinga kuweka nyumba anayoishi yeye na familia basi ni mjinga wa mwisho..ujinga wa watu wachache hauwez kusema kwamba ni utapeli...
unafikiri hata hao wanaobet kwenye mpira una milioni 10 unaziweka zote kwenye betting,kwamba timu flani itashinda ...hio ni utapeli au ignorance
 
Mmmm hasara zipo kwa kweli, ..mm nilikuwa south Africa nilishuhudia Mbaba na familia yke mzungu, aliuza nyumba akawekeza katika forex trade, alikuja kulia kama mtoto na presha alipata, haikurudi hata nusu yake ... Tena kule south Africa wameendelea, huwa wanakopesha Capital ya forex trade kwa wafanyakazi Wa serikali... Unakuwa unakatwa kila mwezi katika salary yko direct, it doesn't mater umekula au kuliwa...aisee watu walikuwa wakiliwa... Na walioclaim kula weng walisema pesa yao huwa inacheza apo apo , hakuna faida kubwa..sikubahatika kukutana na waliowin japo naamin huenda wapo
Hii stori kama ya kutunga vile
 
Mmmm hasara zipo kwa kweli, ..mm nilikuwa south Africa nilishuhudia Mbaba na familia yke mzungu, aliuza nyumba akawekeza katika forex trade, alikuja kulia kama mtoto na presha alipata, haikurudi hata nusu yake ... Tena kule south Africa wameendelea, huwa wanakopesha Capital ya forex trade kwa wafanyakazi Wa serikali... Unakuwa unakatwa kila mwezi katika salary yko direct, it doesn't mater umekula au kuliwa...aisee watu walikuwa wakiliwa... Na walioclaim kula weng walisema pesa yao huwa inacheza apo apo , hakuna faida kubwa..sikubahatika kukutana na waliowin japo naamin huenda wapo
Point iliyo nifikirisha hapo ni ya serikali kuruhusu wafanyakazi wake kukopeshwa mtaji na kukatwa kidogo kidogo kwenye mishahara yao, je serikali ya bondeni nayo ni ya vilaza kama tunavyo aminishwa hapa?
Je hawajui kwamba hii ni upatu kama mnavyo elewa nyinyi wabongo?
 
Point iliyo nifikirisha hapo ni ya serikali kuruhusu wafanyakazi wake kukopeshwa mtaji na kukatwa kidogo kidogo kwenye mishahara yao, je serikali ya bondeni nayo ni ya vilaza kama tunavyo aminishwa hapa?
Je hawajui kwamba hii ni upatu kama mnavyo elewa nyinyi wabongo?
Wakikupa jibu ni tag kiongozi...
 
Maelezo gani mazuri hapo...huyo.kama aliamua kua mjinga kuweka nyumba anayoishi yeye na familia basi ni mjinga wa mwisho..ujinga wa watu wachache hauwez kusema kwamba ni utapeli...
unafikiri hata hao wanaobet kwenye mpira una milioni 10 unaziweka zote kwenye betting,kwamba timu flani itashinda ...hio ni utapeli au ignorance
Oyaaa! Mbona mboshi wewe? Ni utapeli na ignorance ya kuto jua how this scam operates. Kauze kibanda chako na wewe ushinde mapesa ya forex alafu njoo hapa!
 
Back
Top Bottom