FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

May 2017 ndiyo mwezi ambao Ontario aliweka uzi wake hapa JF kwa mara ya kwanza, kakini kabla yake uzi unaohusu Forex ulikuwepo na uliwekwa jukwaani na Mr Delmonte.

Hawa watu wawili walioweka uzi kuhusu Forex wanatofauti kubwa mno, kimsingi Delmonte yeye aliweka uzi wa Forex na kuuacha bila juhudi fungamanishi na biashara hiyo.

Ontario yeye amekwenda mbali zaidi kwa kufanya vitu sahihi kwa kuitoa biashara hii mafichoni na kuileta mbele ya macho ya watu wengi.

Matokeo ya juhudi zake yamepokelewa kwa mtizamo tofauti sana, wapo watu walitaka na wanaendelea kutaka huyu ndugu ashindwe ili wao wapate pa kusemea, mimi nawashukuru wote wanaomuunga mkono kijana Ontario haiyumkini hata kwenye familia ya watoto 10 matatizo kama haya hayakosekani.

Tuliojiunga kusoma na kuhudhuria kozi wala hatuna neno na kwa taarifa tu leo tarehe 09/10/2017 wako Mwanza wakimaliza wanaenda Arusha wakitoka huko wanaenda Mbeya.

Mleta mada hii nafikiri kwenu ni Sengerema kwa hiyo wewe ni Msengerema
Kwao ni sengerama na analeta usengerama daaah!!!!![emoji2]
 
Thank you for Being honest.Tunapenda sana mambo ya GET RICH QUICK I have always believed it takes time to build wealth
Kudos bro, even though some claim "Honest Doesn't Pay"!
All and all ni kuweka vitu wazi, kama sigara, ukivuta waweza pata madhara, ukinywa pombe n.k. n.k.
Ila kama biashara yatangazwa bila kusema "Risk" basi ujuwe hapo kuna walakini, utashambuliwa na wanaohusika kwa kusema ukweli, wengi wetu tutaliwa sana na hii kitu, wachache wataiweza, ila nina uhakika, "Agents" watakuwa mamilionea...
 
Kudos bro, even though some claim "Honest Doesn't Pay"!
All and all ni kuweka vitu wazi, kama sigara, ukivuta waweza pata madhara, ukinywa pombe n.k. n.k.
Ila kama biashara yatangazwa bila kusema "Risk" basi ujuwe hapo kuna walakini, utashambuliwa na wanaohusika kwa kusema ukweli, wengi wetu tutaliwa sana na hii kitu, wachache wataiweza, ila nina uhakika, "Agents" watakuwa mamilionea...
Hii kitu ina tatizo tusubiri wakati ndo utakuwa shahidi...
 
Kudos bro, even though some claim "Honest Doesn't Pay"!
All and all ni kuweka vitu wazi, kama sigara, ukivuta waweza pata madhara, ukinywa pombe n.k. n.k.
Ila kama biashara yatangazwa bila kusema "Risk" basi ujuwe hapo kuna walakini, utashambuliwa na wanaohusika kwa kusema ukweli, wengi wetu tutaliwa sana na hii kitu, wachache wataiweza, ila nina uhakika, "Agents" watakuwa mamilionea...
Well said,Asante sana. Wanajipa false hopes kuwa any business has a risk,ebu calculate risk yake.
Few will understand us,acha Muda utaongea.wanafikiri tunaona wivu,no we're trying to be REALISTIC
 
Majibu mazuri . Kama hao watu ni Brokers Ontario yeye yupo chini ya nani , maana nyepesi Ontario anafanya haya kutoka source ipi ?
Kama hakuna na biashara hii kwa tafsiri imekaa bila kua na source maalamu basi sawa, coz ni hapo tutaongelea issue ya imani tu ya mtu mmoja mmoja ..either kujoin or not .


Wana JF kuna hili suala la mtu kuwa JF-Expert Member kabla ya kulielewa vizuri hapo mwanzo nilidhani ukiwa JF-Expert Member ni kuwa una busara zilizopitiliza na ni mchangiaji hapa jukwaani wa kiwango cha Dhahabu.

Lakini nilipokuja kulielewa hili jambo napata shida sasa kusoma mawazo na maandiko ya JF-Expert Member kama huyu, hivi anawaza nini? Kusoma jambo ni suala moja lakini kusoma na kuelewa ni suala lingine, watu kama hawa huwa wanatuchanganyia habari kweli kweli, mtu ana "stress" za maisha anajificha nyuma ya simu yake ama PC anatuandikia utumbo!

Very disgusting!!!
 
Soviet Union umejiunga JF Sept 2, 2017 masuala ya Forex na "Threads" zake zilikuwepo kabla haujajoin wewe hapa JF je umejisumbua hata kufukua makaburi kidogo?

Very unfortunate!!
 
Juzi nilipoteza $225 nilitaman ata kulia ata screen capture sikukumbuka ila kesho yake nikajipa moyo nilipga $300 na ushenzii nakumbuka kama ilikua kasoro $14 ivi kutimia $400 nikaona aaah kumbe.......Ninachotaka kuwaambia kuwa loss ipo na gain ni kabisa sema tu hautoweza kukumbuka kushot pind umeliwa maana unavulugika kwa kweli ila ukila hahaha utakumbuka kila kitu na pia kupata taarifa zisizo sahihi ndizo zinaweza kukufanya ukalose kirahis zaid

Ayo tu Don Mtoto
 
Wana JF kuna hili suala la mtu kuwa JF-Expert Member kabla ya kulielewa vizuri hapo mwanzo nilidhani ukiwa JF-Expert Member ni kuwa una busara zilizopitiliza na ni mchangiaji hapa jukwaani wa kiwango cha Dhahabu.

Lakini nilipokuja kulielewa hili jambo napata shida sasa kusoma mawazo na maandiko ya JF-Expert Member kama huyu, hivi anawaza nini? Kusoma jambo ni suala moja lakini kusoma na kuelewa ni suala lingine, watu kama hawa huwa wanatuchanganyia habari kweli kweli, mtu ana "stress" za maisha anajificha nyuma ya simu yake ama PC anatuandikia utumbo!

Very disgusting!!!
Sawa mkuu ., Nashukuru kwa majibu yako mazuti . Bado tujielekeza kwnye Hoja .
Kama hao niliwataja si Wenye Hati miliki ya Biashara hiyo je nani mwenye hati miliki. ?
 
Kudos bro, even though some claim "Honest Doesn't Pay"!
All and all ni kuweka vitu wazi, kama sigara, ukivuta waweza pata madhara, ukinywa pombe n.k. n.k.
Ila kama biashara yatangazwa bila kusema "Risk" basi ujuwe hapo kuna walakini, utashambuliwa na wanaohusika kwa kusema ukweli, wengi wetu tutaliwa sana na hii kitu, wachache wataiweza, ila nina uhakika, "Agents" watakuwa mamilionea...


JF umejiunga May 1, 2017 najua wakati Ontario ana post uzi wa Forex kwa mara ya kwanza ulikuwepo, maana kapost mwezi May kwenye tarehe za katikati ya mwezi.

Fanya home work kidogo nenda usome ule uzi kwenye sehemu ya introduction iliyofanywa na Mr Ontario hayo yote unayoyazungumza yako pale, ni uvivu wako tu wa kusoma.

Hakukosea aliesema ukitaka kuwaficha kitu cha thamani Watanzania kiweke kwenye maandishi ni wachache watakao kiona!!
 
What is a Forex Trading?
Forex
, also known as foreign exchange, FX or currency trading, is a decentralized global market where all the world's currencies trade.

Is Forex Trading for real?
Forex
is not a scam, but there are plenty of scams associated with forex. ... Forex trading is a real business that can be profitable, but it must be treated as such. It is not a get rich overnight business, no matter what you may read elsewhere. However, it is possible to have a profitable legitimate forex business.

Is day trading the same as gambling?
Gambling
has a fixed odds system for all major games, while trading in the markets is truly unpredictable. The “house” or market does not have any unfair advantage as with casino style games. If you are able to exercise extreme discipline and laser focus on your trading strategy, you can profit in the market.

Is Forex like Gambling?
Forex, the foreign currency exchange market, is available for online trading 24 hours a day, 5 and a half days a week. Using a broker service, you can perform your own trade almost any time of day and even from mobile platforms. The pace is fast and there appears to be little governing the boundaries of behavior, so does this make Forex more similar to casinos than like other investment opportunities? Yes and no. Trading is what you make it. It can be a risk filled hobby as dangerous and luck driven as a casino game, or it can be a complex and highly orchestrated investment business with a minimum risk element and a high potential for profit.

Is investing in stocks a gamble?
Investing in Stocks
Is Just Like Gambling. This reasoning causes many people to shy away from the stock market. To understand why investing in stocks is inherently different from gambling, we need to review what it means to buy stocks. A share of common stock is ownership in a company

Speculation and gambling are two different actions used to increase wealth. ...Gambling refers to wagering money in an event that has an uncertain outcome in hopes of winning more money, whereas speculation involves taking calculated risk in an uncertain outcome.

Is stock market halal?
It is also Haram, that is, against the Islamic law, to invest in companies that derive their profits mainly from interest or interest (lending money for profit), Casinos and gambling, pork, hedging in silver and gold, ordinary insurance and financial services that generate their income from interest.

Remember, stock ownership is an ownership in the underlying company, if it receives or pays interest income, you're practicing riba. ... Shorting stocks is also sin, since shorting involves borrowing stock and paying interest on its value. Therefore, I say trading stocks is not halal, and you should avoid it

Riba is a concept in Islamic banking that refers to charged interest. ... Depending on the interpretation, riba may only refer to excessive interest; however to others, the whole concept of interest is riba, and thus is unlawful. Also known as "usury".

is forex betting or not? - Google Search
Kwahiyo waislamu waache kufanya biashara itakuwa haram kutengeneza faida. Kwa kweli sheri za dini nyingine ni vichekesho kabisa!
 
Kama hujaona post ya Loss maana yake watu wanapata profit...wewe kama hujazinduka pole sana maana watu wanatusua tu kwa profits
 
Sawa mkuu ., Nashukuru kwa majibu yako mazuti . Bado tujielekeza kwnye Hoja .
Kama hao niliwataja si Wenye Hati miliki ya Biashara hiyo je nani mwenye hati miliki. ?

Nakuwekea kitabu usome Mkuu utamfahamu nani ana hatimiliki na hii biashara kwa mujibu wa maelezo yako
 

Attachments

Majibu mazuri . Kama hao watu ni Brokers Ontario yeye yupo chini ya nani , maana nyepesi Ontario anafanya haya kutoka source ipi ?
Kama hakuna na biashara hii kwa tafsiri imekaa bila kua na source maalamu basi sawa, coz ni hapo tutaongelea issue ya imani tu ya mtu mmoja mmoja ..either kujoin or not .
Umenisikitisha mnoo!!

Yaani FXTM ni mmiliki wa forex?? Una akili timamu??
 
Wazee wq humu hawataki vijana wafanikiwe ni wa kupuuza tu .
Hawa wazee wa humu inaonekana kabisa ni masikini sana kwanzia mfukoni mpaka vichwani mwao na wanaumia sana kuona mtu ambae anaweza akawa mtoto wao wa pili anafanya mambo makubwa yenye impact kubwa kwa jamii yake huku wenyewe wakiendelea kuzeeka tu bila kufanya lolote la maana litakalo fanya wakumbukwe.

Ukitaka kuona hawa critics wengi walivyo mandezi eti anaenda Google kuchukua mawazo ya mtu mwenye negative views kama yeye ndio anatuwekea hapa hili kusapoti upumbavu wake kuwa forex ni betting tena hata hawajui wengi wa hao walioandika matakataka yao ni losers wa forex waliostaafu.

Hawa ni wa kupuuza tu na frustration zao
 
Sawa mkuu ., Nashukuru kwa majibu yako mazuti . Bado tujielekeza kwnye Hoja .
Kama hao niliwataja si Wenye Hati miliki ya Biashara hiyo je nani mwenye hati miliki. ?
Wewe ni mjinga. Na hujui lolote kuhusu forex. Yaani hujui fxtm ni broker kama broker wengine alafu Unasema ni mmiliki wa forex??

Siku nyingine acha kukurupuka.
 
Duuhh wewe jamaa unatia huruma, ni sawa niulize kampuni ya simu ya Uingereza kuhusiana na JAZA UJAZWE ya Tigo, sijui unaona ulivyo chaka??

FXTM ni brocker kama walivyo broker wengine sasa unawauliza nini kuhusu broker aliepo hapa

k.i.laza
Waafrika hasa wa tanzania hatupendi kusoma yaani tupo kimajungu majungu tu!! Yaani dume zima limeamka asubuhi na kuanzisha uzi wa kipuuzi kama huu daaah
 
Well said,Asante sana. Wanajipa false hopes kuwa any business has a risk,ebu calculate risk yake.
Few will understand us,acha Muda utaongea.wanafikiri tunaona wivu,no we're trying to be REALISTIC
KAKA KAMA ULIKUWA HUJUI KWENYE FOREX TRAINING LAZIMA USOMEE KITU KINAITWA RISK MANAGEMENT NA USIPOIJUA VIZURI HII TOPIC BASI HUWEZI TRADE..... NI WASIWASI WAKO TU LAKINI FOREX NI BIASHARA KAMA ZILIVYO NYINGINE TU.....
 
1. Hawa waelimishaji wanapata faida gani je ni ada tu ya wanafunzi wanaohudharia semina?

2. Je! wanamahusiano na wamiliki wa hii forex ili jinsi wanavyoshawishi watu kujiunga ndivto wapate gawio?

3.Je! hao waalimu na wao ni wachezaji? na kama ni wachezaji na wanavyijinadi kuwa ni fedha za bure za " ku download" wamenufaika vipi wao?

4. Hao wanaoitwa ma " mentor" kutoka afrika ya kusini wana nafasi gani katika hii biashara? je! ni watu ambao walianza long sasa wameshafaidika na wanataka kusaidia watu kupata fedha ama ni maafisa masoko wa kampuni?

5. Kama hii biashara ni sawa sawa na bureau de change ambayo huwezi kupoteza fedha yako yote mbona nawasikia wajamaa kuwa " wameunguza akaunti" hi si zaidi ya kamari?

6. CAVEAT EMPTUR
jifunze kufanya research mkuu coz sometimes unaeza ukadhan umeongea point kumbe mashudu tuu tena concrete ones,,. ingia google fanya research then uje na majibu halaf by hapo tunaweza tukaanza kujadili coz u look like u know nothing about forex,,sio u look like,,, u know nothing so fanya utafiti,,,. avatar yako pia nimeipenda
 
Kwahiyo waislamu waache kufanya biashara itakuwa haram kutengeneza faida. Kwa kweli sheri za dini nyingine ni vichekesho kabisa!
Duh, mbele ya pesa hakuna dini mkuu! Kumbuka, dini biashara, kuanzia sadaka, utakatishaji pesa mpaka zile frame zilizopo nje ya misikiti! (Kinondoni Muslim hasa)..
 
Back
Top Bottom