FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

Mod msitoe wala kuunganisha uzi huu,hii ni taarifa huru.

Kwa wote mnaendelea kuifuatilia Biashara ya Forex Trading kama ilivyotambulishwa na ndugu [HASHTAG]#Ontario[/HASHTAG] humu JF na sasa kuonekana inashika kasi nimeoona si vibaya tukashirikishana hili.

Nimejaribu kutembelea Website ya moja kwa moja ya FXTM na kufanya usajali wa awali, katika hatua hizo nilibahatika kupata number ya simu na kuchart nao ,bad luck majibu waliyonipa yalikua negative. Kwa kifupi niliwauliza kama wanajua kinachoendelea TZ , direct walisema hawajua lolote na hawana taarifa zaidi juu ya biashara yao nchini TZ .

Sina lengo la kurudisha biashara hii nyuma ila pia ni vyema tukawa wachunguzi wa mambo katika hatua za awali.

Kwa muda wako unaweza kutembelea site link hii hapo chini na kama hutotaka kufika huko Number waliyonayo kwenye Site hiyoo ni +447593612469.

Wapo verry active katika kureply lolote utakalowauliza kuhusu Biashara yao.
(Majibu mtakayopata yatatusaidia kukusanya dots na kujua hiki kinachofanyika kwetu kipo katika status ipi ya uhalisia wa biashara husika).





Forex Trading with FXTM
naona umaacha kuvuta bangi na kuhamia kwenye cocaine na heroine...
 
aisee mbona kama mmelazimishwa kujifunza wakati hujashikiwa bunduki
 
Yani we jamaa sijui hata umeandika kitu gani aisee,Mkuu sidhani kama ulilazimishwa kufanya forex...dah aisee bongo bado sanaaa,...

Yani I have friends ambao wako nje ya tz kwao forex ndo kazi mkuu...forex is real.
 
  • Thanks
Reactions: 911
Pole na uache pupa.. Huwezi shindana nao Basi ungana nao... Jitahidi kujifunza ili uungane nasi... Bado tunakukaribisha TMT ...ulipewa taarifa potofu na hao waingereza.

Kila biashara ina risk n kuwa makini tu.

Otherwise nikukaribishe tena kujifunza.

Learn, practice , earn.

Karibu
 
Yaani kuti.wa wati.we wengine halafu bao utoe wewe.....

Acha tutapeliwe... Kiroho safi yaani ...Fanya yako
 
@mods naomba futeni huu Uzi...hauna tena maana sababu alichotaka kujua mleta Uzi keshapatiwa ufafanuzi toka kwa magwiji...na tayari ameshajifunza madhara ya kukurupuka na kutumia hisia badala ya uhalisia.
 
Ni kundi la watu wangapi mmetumwa kuwavunja.moyo vijana wa kitanzania who they have decided to be financially independent.
 
Sawa mkuu ., Nashukuru kwa majibu yako mazuti . Bado tujielekeza kwnye Hoja .
Kama hao niliwataja si Wenye Hati miliki ya Biashara hiyo je nani mwenye hati miliki. ?
Hakuna mmiliki wa forex duniani,hivi unavyoviongea vimetoka Wapi
 
Naona kuna kampeni zimeanza kupigwa humu kwa lengo la kuwatia watu uoga wa kutrade kwenye forex. Kwa wale mlioanza kutrade na mlioanza kujifunza Forex msikatishwe tamaa na maneno ya watu ambao wanapenda kuona vijana wakiteseka na maisha magumu mitaani wakati wanaelimu ya kutosha.

NOTE: Forex ina faida kwa walioielewa.
 
View attachment 604927 View attachment 604924
Kwa swali hili nina imani nitakua sijavunja misingi ya jamii forums

Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara? Nimesoma sana posts za forex humu ndani lakini naona watu wanakula tu🙂🙂, Najiuliza sana maana naona sample za kula tu watu wakivuta tu pesa, je kati ya watu 300 waliokula training na wanatrade hakuna aliyepoteza, Kuna post imeanzishwa ya ushuhuda wa mafanikio ya wiki chache tangu walipoanza kufundishwa forex na nimegundua shuhuda ni za wale waliopiga pesa tu, Je hakuna waliopunwa , kwanini zisiwekwe picha za ushuhuda kula hasara ili tujifunze kwamba forex sio kula tu.

- Kama wapo kwanini tusitumie mifano yao pia kama lessons ili tumfukuze pepo kuliwa katika injili hii ya Forex?☺

KILA KITU UNACHOWEKEZA PESA KINA HASARA IWE BIASHARA, KUBETI HATA FOREX
Kwa swali lako ulianza na jibu lake.
 
Mkuu hawapingi forex wanapinga TMT indirectly...!

Forex is the real thing and forever will be..!

Acha waendelee kuhangaika na mitandao na wakati mamlaka zenye dhamana ya usalama wa wananchi na mali zao zimekaa kimya..!
TMT ni kitu gani?
 
ddb00d5262c78b7d8c0b67f0d56e5503.jpg



Forex scams

The following forex scams list documents the scam type that have been involved in forex frauds in some form in the past.

Signal sellers

The signal seller scam is a scam which works by a person or a company selling information on which trades to make and claiming that this information is based on professional forecasts which are guaranteed to make the inexperienced trader money. They usually charge either a daily/weekly or monthly fee for this service but do not offer any information that helps the trader make money. They will usually have a slew of testimonials from allegedly legitimate sources in order to gain the trader’s confidence yet in reality do nothing to forecast profitable trades.

High yield investment programs

High Yield Investment Programs (HYIP) are (a lot of the time) a form of Ponzi scheme in which a high level of return is promised for a small initial investment into a forex fund. However in reality the initial investors are only being paid back by the money generated by the current investors and once there are no more investors in the scheme the owners usually close it down and take all money remaining.

Manipulation of bid/ask spreads

These types of scams have decreased over the years yet they are still around. This is why it is important to choose a forex broker who is registered with a regulatory agency, for example the CFTC and the NFA if in the USA. These type of scams would normally involve having spreads of around 7-8 pips instead of between 2-3 pips which is the norm.

Scams through software

Forex robot scammers lure novices with the promise of big gains from little effort or knowledge. They may use of fake or misleading figures to convince customers to buy their product. Their promises are flawed as no robot can adapt and thrive in all environments and markets. Software is generally used by professionals only to analyse past performance and to identify trends. All software should be formally and independently tested but caution is required when trusting the reviews themselves as these can be paid for. If their product did exactly what they claimed then they would not be selling it but instead using it exclusively themselves.
FOREX is REAL Hata Presidaa TRUMP Yuko humo miaka mingi sana, we endelea kurusha rusha vithread vya Ki.pumbavu, tuliosoma INTERNATIONAL FINANCE tunaijua vizuri, kama unataka vitabu usome huelimike sana tukupatie.
 
Nguvu ya kupinga na watu wenye hila ni wengi sana.tutawashinda popote mtakapojitokeza.
 
Wangeeka tuzo za wachukiaji bongo kuna watu wana vipaji, Mara chenga Mara no network, mnaropoka vitu havielewek [emoji23]
Gari ishawaka zamaaaaaan mwendo wa pips tu halla
 
The foreign exchange market(Forex, FX, or currency market) is a global decentralized or over-the-counter (OTC) market for the trading of currencies. This includes all aspects of buying, selling and exchanging currencies at current or determined prices.
 
Sio watu wote 300 wameshafanya trading kwa sababu mbalimbali
Kuna ambao hawajakuwa na mitaji ya kuanzia na wengine hawajakamilisha vigezo au taratibu za kufungua akaunti za benki na za broker

Pia kwa waliofanya ni kweli haiwezekani wawe wote ni profitable traders
Wapo losers lakini sio kwa maana unayojaribu kuijenga!
Kuna kupoteza kidogo kutokana na tamaa ama kutozingatia kanuni.na waliokumbwa na hilo wanajua ni kwa nini wamepoteza na wengi walijirekebisha makosa na kuendelea na profitable trades

Hivyo hawana sababu kushuhudia makosa yao na walipewa miongozo wakaivunja
Pia lengo la walioleta hii training ni kuonyesha kuna fursa ya kipato ndani ya Forex ikifanywa kwa kuijua na kufuata kanuni na malengo

Nadhani hata masomo ya kawaida au kozi mbalimbali kuna ambao wanazifuzu vema na wanaofeli
Na katika wanaofuzu au kufanikiwa mara nyingi huwa ndio mifano kuwa hizo kozi ni ideal japo wapo wakoseaji

Ukiamua kutafuta upande wa Negative hutoukosa lakini hautofuta makubwa ya ukweli wa upande wa Positive

Be Positive
 
Back
Top Bottom