Forex imenifilisi, naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji huu

Forex imenifilisi, naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji huu

Mimi nakushauri tu kuwa wakati huu ndio wa kutuliza kichwa haswaa!ukikurupukia tena mishe kizembe utapoteza zote na kurudi kijijini.
Angalia usiwekeze mtaji wote kwenye biashara moja na pia kumbuka usitake faida kubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nilipapasa tu hii
Mimi nakushauri tu kuwa wakati huu ndio wa kutuliza kichwa haswaa!ukikurupukia tena mishe kizembe utapoteza zote na kurudi kijijini.
Angalia usiwekeze mtaji wote kwenye biashara moja na pia kumbuka usitake faida kubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa[emoji3596]
Screenshot_20191217-133611_MetaTrader%205.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni muongo soko lilikuwa bullish trh kuanzia trh 21/10 mpaka 25/11 tena lilikuwa hali move. 25 ndo lika sogea.

Sasa wewe hiyoo bullish ya leo umetoa wapiii labda kama hau trade.

Usidanganye kuwa mkwelii uwe huru.

Sent using Jamii Forums mobile app
ka

umepiga vizuri kumbe paundi leo ilikuwa bullish
Mnachosema kinaweza kuwa na ukweli pia. Lakini mimi naona alikuwa ana swing aliifungua hiyo pair toka kitambo ndio katake profit jana nimawazo yangu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Information unazipata wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hii forex tunayoifanya imegawanyika sehemu kuu tatu. Technical, Fundamental na centimental

Hizo part mbili Fundamental na centimental zinadeal na information tu, usipokuwa mfuatiliaji wa data unaweza kupigwa kipigo cha mbwa koko muda wowote ule

Kuna app mbali mbali mfano forex factory ziko unaweza pakua zinatoa economic data mbali mbali mfano Brexit, employment, inflation rate,non farm payrolls, gdp, hii yote nikujua mwenendo wa currency fulani

Pia kuna channel ile Bloomberg iko dstv channel kwenye 400s inazungumzia forex masaa 24 ni vizuri ukawa unafatilia kama nataka kuifahamu.

Pia centimental ndio kuna platform inakutatanisha matrader karibu kila kona ya dunia unaona kila mtu anavyozungumzia mwenendo wa currency fulani. Unaenda unadesa kisha unafanya maamuzi.

Mwisho ni technical analysis hii ndio unaona wataalam wakuchora mistari kwenye laptop

Japo nimeeleza juujuu nadhan utakuwa umepata mwanga mkuu unaweza jaribu ukaona jinsi inavyofanya kazi si vibaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WITH THE WILL TO SUCCEED ONLY THE SKY IS THE LIMIT
FX.jpg

NEWBIES KEEP ON MOVING NEVER LOSE HOPE
 
1. Mkuu wewe ni miongoni mwa watu wa kupigwa mfano, i commend your hustling , vyeti uliweka kando.
2. Chukua boda boda hardly 2.7 M - 3 M endesha mwenyewe nina uhakika itakupa zaidi ya 30K per day, fedha nyingine iweke WADU account Tanzania Postal Bank ina features za fixed account achana na betting na forex kwa sasa. Fanya kwa afya and proffessionally . Kazi hii itakupa hela ya kula mjini na kutuliza akili, baada ya mwaka mmoja au chini ya hapo naamini hiyo pikipiki itaweza kuzalisha pikipiki nyingine moja. Faida ya kazi hii itakupa utulivu wa moyo utapata interaction na watu wa mitaani wengi wana mawazo ya simple and fast paying business . Hivyo, naamini hii itakufungulia njia ya mambo makubwa mbeleni.
Unapopata faida usiache fungu la kumi kanisani.
 
1. Mkuu wewe ni miongoni mwa watu wa kupigwa mfano, i commend your hustling , vyeti uliweka kando.
2. Chukua boda boda hardly 2.7 M - 3 M endesha mwenyewe nina uhakika itakupa zaidi ya 30K per day, fedha nyingine iweke WADU account Tanzania Postal Bank ina features za fixed account achana na betting na forex kwa sasa. Fanya kwa afya and proffessionally . Kazi hii itakupa hela ya kula mjini na kutuliza akili, baada ya mwaka mmoja au chini ya hapo naamini hiyo pikipiki itaweza kuzalisha pikipiki nyingine moja. Faida ya kazi hii itakupa utulivu wa moyo utapata interaction na watu wa mitaani wengi wana mawazo ya simple and fast paying business . Hivyo, naamini hii itakufungulia njia ya mambo makubwa mbeleni.
Unapopata faida usiache fungu la kumi kanisani.
Swala la kuweka fixed account ni uongo. Ni kuulize swalii wewe una account ya fixed account?

Maana najua kabisa malipo yake ni chini sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye hii forex tunayoifanya imegawanyika sehemu kuu tatu. Technical, Fundamental na centimental

Hizo part mbili Fundamental na centimental zinadeal na information tu, usipokuwa mfuatiliaji wa data unaweza kupigwa kipigo cha mbwa koko muda wowote ule

Kuna app mbali mbali mfano forex factory ziko unaweza pakua zinatoa economic data mbali mbali mfano Brexit, employment, inflation rate,non farm payrolls, gdp, hii yote nikujua mwenendo wa currency fulani

Pia kuna channel ile Bloomberg iko dstv channel kwenye 400s inazungumzia forex masaa 24 ni vizuri ukawa unafatilia kama nataka kuifahamu.

Pia centimental ndio kuna platform inakutatanisha matrader karibu kila kona ya dunia unaona kila mtu anavyozungumzia mwenendo wa currency fulani. Unaenda unadesa kisha unafanya maamuzi.

Mwisho ni technical analysis hii ndio unaona wataalam wakuchora mistari kwenye laptop

Japo nimeeleza juujuu nadhan utakuwa umepata mwanga mkuu unaweza jaribu ukaona jinsi inavyofanya kazi si vibaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
This time forex going to be easy to me.. Mie nilikuwa nimefundishwa iyo technical tu sielewi hata kidogo naona wanachorachora tu sijui inapanda inashuka.

Je hii ya kungalia information ukipata Info siunafanya Trade tu au nayo utahitaji kuchorachora.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This time forex going to be easy to me.. Mie nilikuwa nimefundishwa iyo technical tu sielewi hata kidogo naona wanachorachora tu sijui inapanda inashuka.

Je hii ya kungalia information ukipata Info siunafanya Trade tu au nayo utahitaji kuchorachora.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hauchoriiii

Hii una trade short time na kutoka. Ila unatakiwa uwe na uwelewa kiasiii maana unaweza ukawa loser kwa makosa madogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nimesoma soma introduction ya forex. Nimepata majibu ya swali langu "Kwanini utrade pesa kubwa dola 1000 na kuendelea halafu pesa inachomeka kwanini usitrade dola 20 au 50?"

Kumbe kwenye forex ukubwa wa faida unaendana na kiwango ulichotrade kama ni dola 100 faida unaweza pata 10% ya dola 100 therefore ukiweka dola 20 ina maana 10% ni faida ndogo utakuwa unacheza sikinde.

Ni wachache sana wanastake dola 100 direct wapate faida ya 100% ni kujitoa muhanga ni kama bahati.

Swali unatrade dola 1000 upate faina ya 10%, je kama mtu anataka kupunguza risk kabisa kwamba atrade dola 1000 apate faida ya 5% inawezekana? Au risk iko pale pale hata uchague kupata faida ya buku 10 kwa dola 1000?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu forex niwewe jinsi utakavyo incontrol niwewe na pesa zako.

Unaweza kuwa na mtaji wa dola laki moja lakini ukawa umejiwekea kuchukua faida dola 1 niwewe tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatrade gbp pair bila stoploss lazima upate unachokitaka, anyway stop loss ni muhimu wala usisingizie fx imekufilisi sema umejifilisi mwenyewe,huwezi shindana na soko lenye trillions of $ kwa mtaji wako, unapoingia sokoni ingia kwanidhamu make sure umejiprotect make sure hauna hasira au mihemko maana hapo nimekuquoe kwamba ulienda na lot ya moja upo ktk loss bado ukaongeza lot ya moja(shame on you)

Eti unafungua fungua tu trades bruh kwa stahili iyo lazima uilaumu tu fx,unatrade patten za kwenye vitabu ktk soko ni zaidi ya izo patten,fx ni worth while haukatazwi kudream about magari nyumba ila weka nidhamu kubaliana na compound growth,elewa unafanya nini sokoni,elewa kuna events gani,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom