Forex imenifilisi, naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji huu

Forex imenifilisi, naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji huu

This time forex going to be easy to me.. Mie nilikuwa nimefundishwa iyo technical tu sielewi hata kidogo naona wanachorachora tu sijui inapanda inashuka.

Je hii ya kungalia information ukipata Info siunafanya Trade tu au nayo utahitaji kuchorachora.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mbali Sana na FX ndugu

Unavyoonekana unataka kurukia FX kwa pupa utapigwa za uso mchana kweupe .

FX haiko Kama unavyodhani boss FX inataka utulivu wa akili na uwe na big mind and fast brain to adapt changes of economic world ,to be versatile,flexible and sharp ,time goer

Ukija kichwa kichwa thread za vilio kuhusu zitakuwa nyiingi Sana humu na wapambe nuksi watapata platform pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Account ya $1600 unaweka lot size ya 1 af unaonekana unatrade bila SL ulitegemea nini kikupate?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa alipata alichokitegemea,kuna demu huyo ni smart sana ana akaunt ya dola 5,000 ila lot size yake haizid 0.50 tena anaifungua kwa 0.10, yey ni sclapper n Kwa day hawezi acha kulaza chini y 500k profit na alianzaga na dolla mia tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatrade gbp pair bila stoploss lazima upate unachokitaka, anyway stop loss ni muhimu wala usisingizie fx imekufilisi sema umejifilisi mwenyewe,huwezi shindana na soko lenye trillions of $ kwa mtaji wako, unapoingia sokoni ingia kwanidhamu make sure umejiprotect make sure hauna hasira au mihemko maana hapo nimekuquoe kwamba ulienda na lot ya moja upo ktk loss bado ukaongeza lot ya moja(shame on you)

Eti unafungua fungua tu trades bruh kwa stahili iyo lazima uilaumu tu fx,unatrade patten za kwenye vitabu ktk soko ni zaidi ya izo patten,fx ni worth while haukatazwi kudream about magari nyumba ila weka nidhamu kubaliana na compound growth,elewa unafanya nini sokoni,elewa kuna events gani,

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran sana mkuu. Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa alipata alichokitegemea,kuna demu huyo ni smart sana ana akaunt ya dola 5,000 ila lot size yake haizid 0.50 tena anaifungua kwa 0.10, yey ni sclapper n Kwa day hawezi acha kulaza chini y 500k profit na alianzaga na dolla mia tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe acc yako inasoma ngapi mkuu, ukiangalia trading history yako.

Forex nizaidi ya unavyo ielewa lolote linaweza kutokea kwenye soko hata kama unajua vip

mwezi wa 3 ile market crash ilipotoea jamaa yangu tulikuwa hostel nakaanae alikuwa amebuy gj position mbili kila moja ina lot ya 0.1 mtaji alikuwanao 1100

Kuamka asubuh tukakuta acc imeungua kila order inazaid ya neg 500

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BE74DC77-3A5E-49A6-A29B-372ED4E907F6.jpeg
1C896A3B-DA98-4978-A493-F286AC18A1A0.jpeg
1CA28F5D-4BC2-4A81-BDF4-B62BE8FAA16B.jpeg
C59109CA-3A86-4EEC-A41F-26B01CBA3868.jpeg



42774277 na wengine wenye ufahamu naombeni mnielezee zaidi maana ya hiyo michoro
 
Wewe acc yako inasoma ngapi mkuu, ukiangalia trading history yako.

Forex nizaidi ya unavyo ielewa lolote linaweza kutokea kwenye soko hata kama unajua vip

mwezi wa 3 ile market crash ilipotoea jamaa yangu tulikuwa hostel nakaanae alikuwa amebuy gj position mbili kila moja ina lot ya 0.1 mtaji alikuwanao 1100

Kuamka asubuh tukakuta acc imeungua kila order inazaid ya neg 500

Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi weka balance yangu ila profit yangu ya day ni akaunti ya mentor, lots yoyote stop loss ni lazima kuna risk reward ratio kuna trading plan,
Execution hivi vinadetermine ufanyaje
Screenshot_20191218-101651.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo crash unayoizungumzia ya mwezi wa 3 mbna sijawahi kuiona? Crash ya GJ ambayo ilikuwepo kwa mwaka huu ni ile ya 3 January 2018 ambapo GJ ilimove pips karibu 600 in less than 10 minutes. Na waliokula za uso ni waliokuwa wanabuy GJ na sijui kwanini walibuy maana hata candlestick ya D1 one day before hiyo crash ilikuwa ni bonge moja la bearish candlestick ... Mwezi wa 3 mwaka 2018 hakujawahi kuwa na crash yoyote.

That day nilibuy EURAUD halafu sikuweka TP usingizi ukanifanya nikakosa hela hivihivi. Nikapata hela kiduchu.
Wewe acc yako inasoma ngapi mkuu, ukiangalia trading history yako.

Forex nizaidi ya unavyo ielewa lolote linaweza kutokea kwenye soko hata kama unajua vip

mwezi wa 3 ile market crash ilipotoea jamaa yangu tulikuwa hostel nakaanae alikuwa amebuy gj position mbili kila moja ina lot ya 0.1 mtaji alikuwanao 1100

Kuamka asubuh tukakuta acc imeungua kila order inazaid ya neg 500

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo crash unayoizungumzia ya mwezi wa 3 mbna sijawahi kuiona? Crash ya GJ ambayo ilikuwepo kwa mwaka huu ni ile ya 3 January 2018 ambapo GJ ilimove pips karibu 600 in less than 10 minutes. Na waliokula za uso ni waliokuwa wanabuy GJ na sijui kwanini walibuy maana hata candlestick ya D1 one day before hiyo crash ilikuwa ni bonge moja la bearish candlestick ... Mwezi wa 3 mwaka 2018 hakujawahi kuwa na crash yoyote.

That day nilibuy EURAUD halafu sikuweka TP usingizi ukanifanya nikakosa hela hivihivi. Nikapata hela kiduchu.

Sent using Jamii Forums mobile app
crash ya january
20191218_101850.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom