Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Inaendeshwaje kivipi Mpwa? Unaweza kuanza na machine moja nzuri, dust cleaner na vifaa kidogo! Tafuta eneo zuri kwa biashara, maji na umeme viwe vya uhakika! Jitahidi kupata vijana waaminifu na wewe jitahidi uwepo! Then Customer Care iwe nzuri
Tafuta eneo zuri karibu na Barbara au Pub fungus Carwash ya kawaida tu! Utakua unalala na kama laki kwa siku kwa kiwango cha chini! Huku ukiendelea kubet
Ukijiunga ubber na bolt inakuwa vyema. Anaweza tenga muda anapiga mishe asubuhi hadi saa 3 asubuhi anamuachia mtu then anakamatia tena jioni hadi usiku. Hapo kati anaweza fanya mambo yake.Ofisi unayotembea siiaminigi hata kidogo Tigopesa iliyoanzishwa kwa 3M utaona ina survive miaka 5..10..+ ila boda, bajaji nk hutojua imeenda wapi...then jamaa ni Online businesman hiyo haimfai haitompa muda na kwa mantiki ya kufanya yeye mwenyewe Je atapofikia wakati anataka a-base online zaidi atamwachia mtu ndio mwisho wa biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji251][emoji251][emoji251]Ukijiunga ubber na bolt inakuwa vyema. Anaweza tenga muda anapiga mishe asubuhi hadi saa 3 asubuhi anamuachia mtu then anakamatia tena jioni hadi usiku. Hapo kati anaweza fanya mambo yake.
Fx kama inaenda poa anapaki tu chombo chake, hali ikiwa tete anaamsha.
Ni ishauri tu atapima mwenyewe urahisi ulipo. Ila ana mtaji mzuri yaani nimemtamani[emoji3]
Ahsante mpwa, ngoja nifanye savei kwenye carwash yoyote nijifunze zaidiInaendeshwaje kivipi Mpwa? Unaweza kuanza na machine moja nzuri, dust cleaner na vifaa kidogo! Tafuta eneo zuri kwa biashara, maji na umeme viwe vya uhakika! Jitahidi kupata vijana waaminifu na wewe jitahidi uwepo! Then Customer Care iwe nzuri
Nawazoo kila biashara ni ngumu mkuu.Tatigha, Shukran sana boss nataka nitumie huu mtaji kufanya biashara inyoonekana hata kama ni ndogo fx nitarudi nikiwa na pesa ambayo sio ya mawzo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku nili poteza 9000 per minute.Tatigha, Shukran sana boss nataka nitumie huu mtaji kufanya biashara inyoonekana hata kama ni ndogo fx nitarudi nikiwa na pesa ambayo sio ya mawzo
Sent using Jamii Forums mobile app
***** mimi nilikosea wapi [emoji22][emoji22][emoji22]Siwezi kuku laumu ila ushauri usiache forex. Mimi saizi fresh. Kwa siku laki 3 au 5 au 1M ni ndogo sana. Tena bila presha kuna news zina lipa 98% kama AUD,NZD,CAD, hizo ni huakika sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha zina tokea sema ukisha shtuka,kuwa uko wrong direction unachukua action faster.Mkuu unaongelea $1600 siku moja niliunguza $8000 nikiwa natrade news nililia kama mtoto mdogo
Mm mmojawapoKuna watu wanaenda PM kupata trick za betting na Forex kwa huyu jamaa muda huu huu.....Natumaini hata kuwa mchoyo wa maarifa ila wasisahau kwamba kwenye FOREX your loss is another persons GAIN and vice versa
Mkuu unatakiwa kuwa na elimu ya kutosha mimi huwa situmi sl. Na trade zangu kwenda tofauti na mimi ni ngumu. Huwa nafunga manualy kama na risk dollar 4000 basi huwa nakuwa happy kabisa kupotezaaa.Account ya $1600 unaweka lot size ya 1 af unaonekana unatrade bila SL ulitegemea nini kikupate?
Sent using Jamii Forums mobile app