covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Maneno yako na hiyo avat vinaendana kabisa hahahah...Account ya $1600 unaweka lot size ya 1 af unaonekana unatrade bila SL ulitegemea nini kikupate?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno yako na hiyo avat vinaendana kabisa hahahah...Account ya $1600 unaweka lot size ya 1 af unaonekana unatrade bila SL ulitegemea nini kikupate?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu nitaku pm unipe muongozoAje Pwani nimpe dili
Jr[emoji769]
Hahahahahahaa mimi ilikuwa upande wangu maana niliweka pebding order [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naenda nje kurudiii naona mishahara ya miaka 2 na zaidiKama unarisk $4000 na account yako ina $4000 hizohizo then its okay. Ila kama unarisk $4000 halafu account ina $10000 then kuna siku utakuja kupatikana tu. Week iliyopita tu Pound ilipiga gap la pips 300. Kuna watu wamekuwa millionaires na kuna watu wamelia kilio cha mbwa koko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivyo mkuu tamaa ya moyo ilishinda ubongoAccount ya $1600 unaweka lot size ya 1 af unaonekana unatrade bila SL ulitegemea nini kikupate?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hatari bro lot ya 15[emoji16][emoji16][emoji16]Hahahaha zina tokea sema ukisha shtuka,kuwa uko wrong direction unachukua action faster. View attachment 1294753
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio tatizo linapo anzia yaani unaweza kujiwekea principles za kufuata lakini ukiingia ulingoni n another case
Shukran sana mkuuWewe ni risk taker. Tafuta biashara yenye usimamizi mdogo na isiyo na risk kubwa fungua iwe inakupa pesa za kula na kodi. Pesa inayobaki keep on taking risk lakini kwa awamu si yote kwa mkupuo. Ukipiga mshiko mrefu vuta plot au nyumba kabisa itakupunguzia gharama za kodi. Kwa ushauri Usinunue gari kwanza, liwe la mwisho.
Shukran mkuu kwa ushauriNaomba nikushauri kitu kimoja, Mpigie simu mama yako mwambie hyo hela yako ya mwisho so unamtumia kias cha shiling milion 8, mwambie kwa namna yoyote ile hyo hela isitumike kwa sasa mpe laki tano bakiza milion moja kaa nayo then taratbu anza kuwaza kipi kizur cha kufanya ukiwa huna hela mkononi
Kuna jamaa yeye napeleka hadii zaid ya hiyooo. Mimi ilikuwa news na nilifungaa baada ya ku panic sasa. Ila baadaee iluenda upande wanguuu
Ndio mkuu betting inalipa tena sanaMkuu usiache betting pia labda kama hauna ujuzi nayo kuliko FX. Betting ina strategies nyingi nzuri tu watu huwa huwa wanakosea kitu kimoja tu mtu anaweka Tsh 500 anachagua timu 20 ashinde Millioni 40. Ukiangalia kwenye somo la probability hadi huo mkeka utiki kwa kweli ni bahati nasibu hapo wanaishia kumtajirisha kanjibahi. Ila ukitulia betting inalipa vizuri tu.
Wewe ndio wakukupotezea unataka aache FX afe maskini ishu iliyopo hapa ni ku-balance FX na physical investment in general ushauri wako mbaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii tunayotrade sisi inaitwa margin trading. Yaani hiyo ambayo sisi tunaita Capital is actually not a capital ila ni hela ambayo broker atamega kiasi fulani then atakishikilia kulingana na trades ambazo umeweka. Hela ambayo huwa tunatumia kutrade huwa ni kubwa kuliko capital zetu.Nimekuwa nikisikia mtu amepoteza pesa kwenye forex najiuliza inakuwaje? Kwa mfano umenunua euro zako 1000 unategemea utaziuza baada ya wiki mbili kwenda kwenye dola kwa hope kwamba thamani ya exchange rate itakuwa imepanda. Sasa kama haijapanda si unatulia huuzi mapene yako ubasubiria zaidi na zaidi mpaka rate ipande? Kwanini uuze kwa hasara?
Au kuchoma acc inakuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapoo sasa ndo una takiwa kujuaaa ukiwa na pc au simu yakoooNimekuwa nikisikia mtu amepoteza pesa kwenye forex najiuliza inakuwaje? Kwa mfano umenunua euro zako 1000 unategemea utaziuza baada ya wiki mbili kwenda kwenye dola kwa hope kwamba thamani ya exchange rate itakuwa imepanda. Sasa kama haijapanda si unatulia huuzi mapene yako ubasubiria zaidi na zaidi mpaka rate ipande? Kwanini uuze kwa hasara?
Au kuchoma acc inakuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu unaongelea $1600 siku moja niliunguza $8000 nikiwa natrade news nililia kama mtoto mdogo