Forex imenifilisi, naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji huu

Kutokana na kile kilichokupata kwenye forex mimi binafsi sikushauri kuacha forex lakini pia sikushauri kurudi kwenye forex kichwakichwa. Kama ukirudi kichwakichwa basi lazima utakuwa na fear kutokana na kile kilichotokea kwa kupoteza hiyo $1600 yako hivyo hutoweza kupata pesa.


Nilishawahi poteza $573 in less than 10 seconds wakati nipo mwaka wa mwisho chuo. Kama sikupata stroke ile siku basi mimi stroke haitawahi nipata. Pia kilichonisaidia sana, mimi nilikuwa nainvest hela iliyobaki baada ya kufanya mambo yangu yoteee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni risk taker. Tafuta biashara yenye usimamizi mdogo na isiyo na risk kubwa fungua iwe inakupa pesa za kula na kodi. Pesa inayobaki keep on taking risk lakini kwa awamu si yote kwa mkupuo. Ukipiga mshiko mrefu vuta plot au nyumba kabisa itakupunguzia gharama za kodi. Kwa ushauri Usinunue gari kwanza, liwe la mwisho.
 
Aiseee kwa kuanzia nakushauri uanzie hapa...



Hapa Course kama 11 hivi. Ila ukishamaliza course 3 unaweza ukaanza kugusagusa platforms za mt4 au mt5 ambazo ndo tunatumia kutrade huku ukiendelea kusoma. Pia unaweza kuanza kupractice demo.
Mzee mwenzangu wa Chelsea sijui ABC za forex wala sijawahi kuona page yake ikoje. Nahitaji kufahamu hiyo kitu, naomba muongozo nichukue hatua gani za kujifunza, elimu inapatikana wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unarisk $4000 na account yako ina $4000 hizohizo then its okay. Ila kama unarisk $4000 halafu account ina $10000 then kuna siku utakuja kupatikana tu. Week iliyopita tu Pound ilipiga gap la pips 300. Kuna watu wamekuwa millionaires na kuna watu wamelia kilio cha mbwa koko.
Mkuu unatakiwa kuwa na elimu ya kutosha mimi huwa situmi sl. Na trade zangu kwenda tofauti na mimi ni ngumu. Huwa nafunga manualy kama na risk dollar 4000 basi huwa nakuwa happy kabisa kupotezaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
badilisha kichwa habari aseee cc watu tunao trade tukisoma maelezo yako afu na kichwa cha habari ni tofaut kbxa we ulifnya mistake ku trade bila kujua taarifa za newz.. cjaona forex ilipo kufiris sema mistake zako ndo zlifnya uchome account
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba nikushauri kitu kimoja, Mpigie simu mama yako mwambie hyo hela yako ya mwisho so unamtumia kias cha shiling milion 8, mwambie kwa namna yoyote ile hyo hela isitumike kwa sasa mpe laki tano bakiza milion moja kaa nayo then taratbu anza kuwaza kipi kizur cha kufanya ukiwa huna hela mkononi
 
Shukran sana mkuu ,ngoja nitulize akili nikirejea huko nitakutafuta unielekeze hiyo njia ya helging inaweza kunifaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unaongelea $1600 siku moja niliunguza $8000 nikiwa natrade news nililia kama mtoto mdogo
Maumivu ya kuchoma mtaji yasikie tu kwa mwenzio.

Kuna siku nilikuwa napita maeneo fulan kulikuwa na mahubiri nikasikia pastor anasema biblia imeendika hapa dunian roho ya mtu iko kwenye hazina yake.

Usione mtu anajitia kitanzi kisa kufirisika ukamuona fala

Just imagine mm nilikuwa na hiyo usd 1600 ikaungua yote nilichanganyikiwa na hapo sina familia inayonitegemea ni mimi kama mimi.
jee wengine wanaopoteza zaid kama iyo yako ,kwenye kilimo wengine biashara na wanafamilia kibao madeni bank na watoto mashulen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…