Wewe jamaa ni next level [emoji119][emoji119][emoji119]Mkuu unatakiwa kuwa na elimu ya kutosha mimi huwa situmi sl. Na trade zangu kwenda tofauti na mimi ni ngumu. Huwa nafunga manualy kama na risk dollar 4000 basi huwa nakuwa happy kabisa kupotezaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
MIMI NILIUNGUZA USD10000 NDANI YA SIKU ..NIKAJA KUPATA USD 50000 NDANI YA WIKIKama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi ni kijana umri miaka 23 nimehitimu chuo mwaka huu .lakini kutokana na changamoto za ajira vijana wengi tumekuwa tukitafuta njia tofauti tofauti za kutokea ilimradi tupunguze ukali wa njaa iliyoko mtaani.
Kifupi wakati nilikuwa nasoma nilikuwa na hofu sana kuwa nikimaliza masomo yangu nitafanya nini nisipopata Ajira kitu ambacho kilinifanya niwe nachukua muda mwingi hapa jamii forum kusoma mada mbalimbali za baishara kilimo na ujasiliamali.
Mwaka 2017 wakati niko likizo nimemaliza mwaka wa kwanza nilipata kusoma mada inayohusu forex humu jukwaan kwakweli nilihamasika sana japo nilikuwa sina uwezo wa kuhudhuria mafunzo nilisema nitakomaa mwenyewe mpaka nielewe ,nilitumia muda mwingi youtube kudownload vitabu na kusoma mpaka nikapata mwanga kidogo.
Wakati tunaenda Kuanza mwaka wa pili kumbe kunajamaa yangu alihudhuria mafunzo kabisa akaanza kutupa muongozo namna soko linavyofanya kazi ukweli kutokana na tamaa ya kupata pesa tuliunda kikundi kila mmoja akafungua acc baada ya boom kutoka tukadeposite nakuanza kutrade.
Tulitumia muda mwingi kujadili forex mimi na wenzangu kuliko kituchochote kusoma ilikuwa kama part time muda wote unakuta tumekodolea macho kwenye simu nakufanya analysis kuhusiana na currencies tofauti.
Mbali na hapo tulikuwa tukijadili jinsi tutakavyo nunua magari makali siku ya graduation tuendenayo mlimani city .Halafu tukimaliza tukodishe ofisi kwenye lile jengo refu pembeni ya mawasiliano tower tuwe tunafundisha watu kuhusu foreign exchange.
Lakini kadri ya siku zilivyokuwa zinazidi ndio soko lilivyokuwa linazidi kuwa gumu maana Leo umepata faida dola 100 kesho umepigwa dola 150 ,kesho umeingiza 50 kesho kutwa umepigwa 100 maisha yalienda hivyo performance kwenye masomo ikashuka lakini hatukujali kwani tulijua kwa usawa wa magu ajira hakuna ,bora tukomae na forex ipo siku tutatoka.
Kifupi mpaka kufika mwaka wa tatu jamaa zangu walikuwa na madeni makubwa maana walianza kuchukua pesa kwa wanafunzi wengine wanatrade kwa riba na pesa zinaungua tu walianza kuuza vitu vya ndani laptop freezer subwoofer ili waongezee pesa za mtaji na wafidie madeni, wakati huo mimi bado nilikuwa nimebebana na jamaa yangu mabibo hostel wote 3rd year.
Nilikaa nikafikiri maisha ya nyumbani sio mazuri na forex ndio nilijua itanitoa kimaisha japokuwa inachangamoto ndogondogo nikiangalia acc ya benki sina hata shilingi zaidi ya pesa ya kula maboom nimebaki nayo mawili nikasema nijibane hiyopesa niichanganye ifike milioni moja nitrade kwa uangalifu labda itanitoa maana niliamini million 1 inakaribia kwenye dola 500 .
Asee sijui ilikuwa ni bahati maana nilichanganya zote nikatrade nikapata kama dola 2600 ndani ya kama wiki 3 maana nilikuwa nafungua tu order na risk management nilikuwa sifanyi vizuri ,nilitoa dola 1300 kama million 3 hivi nikaenda riverside nikapanga chumba self 100000 per month ndio napoka mpaka sasa ,kwa miezi sita nikanunua kitanda godoro, nikanunua TV 500k, feni, gesi, meza na viti, subwoofer,Friji getto likajaaa .
Kwenye Trading acc nilibaki na dola 1300 nikasema hii siwezi poteza nitakuwa na trade natoa pesa kidogo kidogo hata dola 50 per day ambayo ni zaidi ya 100k nikaona maisha nimeyapatia sisumbuki kutafuta kazi nikutrade full time .nikawa nikiingia humu jamii forum natafuta ule uzi wa magari mazuri naangalia nikijua anytime navuta mkoko.
Daa baada ya kumaliza chuo nikawa mimi na soko ,soko na mimi nilijitahidi nikapandisha acc mpaka dola 1600
Asee siku ya mkosi ilivyofika ilikuwa ni kwenye muda wa saa 1 1 jion kulikuwa na newz ya gbp nimeingia na kama lotsize ya 1 forex trader mnanielewa vizuri soko lilienda agaist na mimi nikajikuta naongeza tena lot ya 1 huwezi amini pesa yote ilichomeka sikubaki hata na Mia kwenye acc
Nilihisi kuchanganyikiwa na ukubwa wote nilionao nililia kama mtoto mdogo siku pata usingizi siku nzima huku lawama zote nikimtupia mungu kwa nini ameruhusu pesa yote zaidi ya 3.7m kupotea ndani ya masaa machache.
Pesa niliokuwa nimebakinayo mpesa ilikuwa laki 4 kwa kile kipigo niliogopa kurudisha hiyo pesa kwenye forex kwani ilikuwa haifika hata dola 200 nikaanza kujiuliza nitaishi vipi hapa town na sina mtu hata wakuomba sh 100 . Nikaanza kuona simu za mama nazikwepa kwani nilikuwa nimezoea kumtumia pesa nashindwa akiniomba nitafanyaje.
Baasi nikatafuta rafiki yangu alikuwa anauza karoti ilala boma kwenye meza najua wenyeji wapale wanaelewa vizuri nikwamwabia anitafutie eneo kweli akaniambia per day meza unalipia 1000 na ushuru sasa mwenye meza anataka 60k ya miezi miwili nikasema poah ,nikampatia jamaa yangu pesa .
Akaniambia mwenye eneo amesema mkataba wa mtu anaetakiwa kuondoka unaisha baada ya siku 3. zikifika nikaanze biashara nikaenda kununua mzani kkoo wa kupimia 80k daa nilisubiria eneo jamaa aliekuwa anatakiwa kunipisha haondoki nikawa nimetapeliwa hivyo. Jamaa yangu kwa kuona hivyo akaniambia twende tukashitaki polisi turudishiwe pesa yetu.
Nikafikiria pesa niliyopoteza 3.7m kwa 60k nikaamua nipotezeee ,yule jamaa yangu akahisi labda anamakosa akaniambia kwenye meza yake niwe nachukua mzigo tunachanganya nikakubali lakini profit perday ilikuwa tunapata kama 15k nikaona namzibia jamaa riziki yake nikamwabia nimepata kazi mahali nikaondoka na mzani nikamuachia.
Nikarudi kukaa geto mpesa nikawa nimebaki na 170000 nikasema nizunguke hata kwenye karakana za furniture labda naweza kupata kazi huku nikijifunza wapi ,viwanda vya matofali unakutana na vibarua tu wanapiga kazi.
Nikahisi kukata tamaa nikatafuta kila njia ikashindikana nikasema nifanyeje nikapata wazo nijaribu kufanya betting kwani kipindi cha nyuma nilikuwa nafanya ndani ya wiki moja nikawa nimepoteza pesa yote hata pesa ya kula nikakosa ikabidi nimfate yule jamaa wa ilala nikamwabia kazi imebuma anipatie 30k nimuachie ule mzani akanipatia nikanunua msosi geto.
Huwa sina tabia ya kuuza vitu hovyo lakini nilitafuta mteja nikauza friji kwa bei ya hasara kama 300k hata miezi mitatu ilikuwa haija maliza, nikaendelea kubet .kila nilipikuwa naendelea kubet ndio pesa ilivyokuwa inazidi kupotea
kila siku kuliwa tu asee asikwambie mtu betting sio kazi ya kutegemea inaweza kukuaibisha muda wowote.
Mwezi uliopita kwenye tarehe 20s nikafuma mikeka mitatu siku moja yote nikala zaidi ya 8m siku hiyo siku lala kwa furaha nikiwithdraw kama 7m nikawa nazo getto nimetunza nilibakiza 1m nikabet tena yote nikala 1.5m .wiki ikiyopita nikabet 500k nikala 2.6m jumla nikawa na kwenye acc na 3.6m .
Juzi na Jana nimebet nikapoteza 1m nimeona nitoe 2.6m nichanganye na ile 7m iwe 9.6m.
Nimeona kwa hiki kiasi cha 9.6m najua humu kunawataalam wa biashara wanaweza kunisaidia kunipatia wazo ama ushauri nifanye biashara ipi maana mimi nilikuwa na wazo nifungue kaduka niwe nauza vinywaji vinywaji vikali nichanganyanye na soft drink. Ama nitafute sehemu niuze hata nafaka ila mtaji ndio sijui unahitajika shilingi ngapi.
Note biashara ambayo nimewahi kufanya tofauti na hizo kamali hapo juu ni ufugaki kuku tena zamani sana huko j4.
Nitashukuru sana kwa mchango wako wowote ule utakao utoa maana umri unasogea na majukumu yanazidi kuongezeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana bossMIMI NILIUNGUZA USD10000 NDANI YA SIKU ..NIKAJA KUPATA USD 50000 NDANI YA WIKI
SASA NINA NYUMBA NA MAGARI NIMETULIA KWANZA
NDUGU ZANGU WAMESHUHUDIA MAENDELEO YANGU .
JANUARY MWAKANI NARUDI K TRADE
Hapo nimekupata mkuu. Na nikiamua physically kununua euro zangu 1000 nikaziweka ndani nyumbani, nikasubiria rate ya dollar ipande nikazichukua euro zangu nikaenda dukani kuziuza kwa faida.
Inautofauti gani na hii forex ya mtandaoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
KUNA VITABU VYINGI TUYesu Yesu Yesu. Mkuu usinifanye nisome vitabu vyote vya forex duniani niifahamu hii kitu. Nilivyokuwa naisikia sikia forex nikajua ni vitu vya ovyo vya kupotezeana muda, mambo ya ujanja ujanja.
Mimi na uchaga wangu nikiunguza dola 10,000 si nitajinyonga wallah. Kwanza nikiifahamu hiyo forex faida ya dola 25 kwa siku inatosha, huko 10,000 kote natafuta nini.
Wacha niisome mpaka niifahamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahhah tuliza morari mkuu gemu ni tofauti sana na kujiapiza apiza sio vizuri.Nimekupata point ni kwamba forex inafaida kubwa kuliko madukani. Nikiifahamu hii fx wallah nikipata faida ya dola 25 kwa siku nafunga hesabu mpaka kesho. Staki TAMAA MBELE MAUTI NYUMA.
Naomba link ya kupata hiyo fx software nione hii inamuonekano gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu kaa kwa kutulia ukiona watu wananeemeka leo ujue nyuma mambo mengi mazito yaliwapita hawana papara tena
Elimu ya forex ina mwisho? Kwamba kuna level ya mwisho kuifahamu kwamba kwa mimi niliyeanza kuisoma leo nikishafahamu jinsi ya kutrade ndio mwisho wa elimu hii au elimu yake haina mwisho mpaka uwe profesa ?[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi ni kijana umri miaka 23 nimehitimu chuo mwaka huu .lakini kutokana na changamoto za ajira vijana wengi tumekuwa tukitafuta njia tofauti tofauti za kutokea ilimradi tupunguze ukali wa njaa iliyoko mtaani.
Kifupi wakati nilikuwa nasoma nilikuwa na hofu sana kuwa nikimaliza masomo yangu nitafanya nini nisipopata Ajira kitu ambacho kilinifanya niwe nachukua muda mwingi hapa jamii forum kusoma mada mbalimbali za baishara kilimo na ujasiliamali.
Mwaka 2017 wakati niko likizo nimemaliza mwaka wa kwanza nilipata kusoma mada inayohusu forex humu jukwaan kwakweli nilihamasika sana japo nilikuwa sina uwezo wa kuhudhuria mafunzo nilisema nitakomaa mwenyewe mpaka nielewe ,nilitumia muda mwingi youtube kudownload vitabu na kusoma mpaka nikapata mwanga kidogo.
Wakati tunaenda Kuanza mwaka wa pili kumbe kunajamaa yangu alihudhuria mafunzo kabisa akaanza kutupa muongozo namna soko linavyofanya kazi ukweli kutokana na tamaa ya kupata pesa tuliunda kikundi kila mmoja akafungua acc baada ya boom kutoka tukadeposite nakuanza kutrade.
Tulitumia muda mwingi kujadili forex mimi na wenzangu kuliko kituchochote kusoma ilikuwa kama part time muda wote unakuta tumekodolea macho kwenye simu nakufanya analysis kuhusiana na currencies tofauti.
Mbali na hapo tulikuwa tukijadili jinsi tutakavyo nunua magari makali siku ya graduation tuendenayo mlimani city .Halafu tukimaliza tukodishe ofisi kwenye lile jengo refu pembeni ya mawasiliano tower tuwe tunafundisha watu kuhusu foreign exchange.
Lakini kadri ya siku zilivyokuwa zinazidi ndio soko lilivyokuwa linazidi kuwa gumu maana Leo umepata faida dola 100 kesho umepigwa dola 150 ,kesho umeingiza 50 kesho kutwa umepigwa 100 maisha yalienda hivyo performance kwenye masomo ikashuka lakini hatukujali kwani tulijua kwa usawa wa magu ajira hakuna ,bora tukomae na forex ipo siku tutatoka.
Kifupi mpaka kufika mwaka wa tatu jamaa zangu walikuwa na madeni makubwa maana walianza kuchukua pesa kwa wanafunzi wengine wanatrade kwa riba na pesa zinaungua tu walianza kuuza vitu vya ndani laptop freezer subwoofer ili waongezee pesa za mtaji na wafidie madeni, wakati huo mimi bado nilikuwa nimebebana na jamaa yangu mabibo hostel wote 3rd year.
Nilikaa nikafikiri maisha ya nyumbani sio mazuri na forex ndio nilijua itanitoa kimaisha japokuwa inachangamoto ndogondogo nikiangalia acc ya benki sina hata shilingi zaidi ya pesa ya kula maboom nimebaki nayo mawili nikasema nijibane hiyopesa niichanganye ifike milioni moja nitrade kwa uangalifu labda itanitoa maana niliamini million 1 inakaribia kwenye dola 500 .
Asee sijui ilikuwa ni bahati maana nilichanganya zote nikatrade nikapata kama dola 2600 ndani ya kama wiki 3 maana nilikuwa nafungua tu order na risk management nilikuwa sifanyi vizuri ,nilitoa dola 1300 kama million 3 hivi nikaenda riverside nikapanga chumba self 100000 per month ndio napoka mpaka sasa ,kwa miezi sita nikanunua kitanda godoro, nikanunua TV 500k, feni, gesi, meza na viti, subwoofer,Friji getto likajaaa .
Kwenye Trading acc nilibaki na dola 1300 nikasema hii siwezi poteza nitakuwa na trade natoa pesa kidogo kidogo hata dola 50 per day ambayo ni zaidi ya 100k nikaona maisha nimeyapatia sisumbuki kutafuta kazi nikutrade full time .nikawa nikiingia humu jamii forum natafuta ule uzi wa magari mazuri naangalia nikijua anytime navuta mkoko.
Daa baada ya kumaliza chuo nikawa mimi na soko ,soko na mimi nilijitahidi nikapandisha acc mpaka dola 1600
Asee siku ya mkosi ilivyofika ilikuwa ni kwenye muda wa saa 1 1 jion kulikuwa na newz ya gbp nimeingia na kama lotsize ya 1 forex trader mnanielewa vizuri soko lilienda agaist na mimi nikajikuta naongeza tena lot ya 1 huwezi amini pesa yote ilichomeka sikubaki hata na Mia kwenye acc
Nilihisi kuchanganyikiwa na ukubwa wote nilionao nililia kama mtoto mdogo siku pata usingizi siku nzima huku lawama zote nikimtupia mungu kwa nini ameruhusu pesa yote zaidi ya 3.7m kupotea ndani ya masaa machache.
Pesa niliokuwa nimebakinayo mpesa ilikuwa laki 4 kwa kile kipigo niliogopa kurudisha hiyo pesa kwenye forex kwani ilikuwa haifika hata dola 200 nikaanza kujiuliza nitaishi vipi hapa town na sina mtu hata wakuomba sh 100 . Nikaanza kuona simu za mama nazikwepa kwani nilikuwa nimezoea kumtumia pesa nashindwa akiniomba nitafanyaje.
Baasi nikatafuta rafiki yangu alikuwa anauza karoti ilala boma kwenye meza najua wenyeji wapale wanaelewa vizuri nikwamwabia anitafutie eneo kweli akaniambia per day meza unalipia 1000 na ushuru sasa mwenye meza anataka 60k ya miezi miwili nikasema poah ,nikampatia jamaa yangu pesa .
Akaniambia mwenye eneo amesema mkataba wa mtu anaetakiwa kuondoka unaisha baada ya siku 3. zikifika nikaanze biashara nikaenda kununua mzani kkoo wa kupimia 80k daa nilisubiria eneo jamaa aliekuwa anatakiwa kunipisha haondoki nikawa nimetapeliwa hivyo. Jamaa yangu kwa kuona hivyo akaniambia twende tukashitaki polisi turudishiwe pesa yetu.
Nikafikiria pesa niliyopoteza 3.7m kwa 60k nikaamua nipotezeee ,yule jamaa yangu akahisi labda anamakosa akaniambia kwenye meza yake niwe nachukua mzigo tunachanganya nikakubali lakini profit perday ilikuwa tunapata kama 15k nikaona namzibia jamaa riziki yake nikamwabia nimepata kazi mahali nikaondoka na mzani nikamuachia.
Nikarudi kukaa geto mpesa nikawa nimebaki na 170000 nikasema nizunguke hata kwenye karakana za furniture labda naweza kupata kazi huku nikijifunza wapi ,viwanda vya matofali unakutana na vibarua tu wanapiga kazi.
Nikahisi kukata tamaa nikatafuta kila njia ikashindikana nikasema nifanyeje nikapata wazo nijaribu kufanya betting kwani kipindi cha nyuma nilikuwa nafanya ndani ya wiki moja nikawa nimepoteza pesa yote hata pesa ya kula nikakosa ikabidi nimfate yule jamaa wa ilala nikamwabia kazi imebuma anipatie 30k nimuachie ule mzani akanipatia nikanunua msosi geto.
Huwa sina tabia ya kuuza vitu hovyo lakini nilitafuta mteja nikauza friji kwa bei ya hasara kama 300k hata miezi mitatu ilikuwa haija maliza, nikaendelea kubet .kila nilipikuwa naendelea kubet ndio pesa ilivyokuwa inazidi kupotea
kila siku kuliwa tu asee asikwambie mtu betting sio kazi ya kutegemea inaweza kukuaibisha muda wowote.
Mwezi uliopita kwenye tarehe 20s nikafuma mikeka mitatu siku moja yote nikala zaidi ya 8m siku hiyo siku lala kwa furaha nikiwithdraw kama 7m nikawa nazo getto nimetunza nilibakiza 1m nikabet tena yote nikala 1.5m .wiki ikiyopita nikabet 500k nikala 2.6m jumla nikawa na kwenye acc na 3.6m .
Juzi na Jana nimebet nikapoteza 1m nimeona nitoe 2.6m nichanganye na ile 7m iwe 9.6m.
Nimeona kwa hiki kiasi cha 9.6m najua humu kunawataalam wa biashara wanaweza kunisaidia kunipatia wazo ama ushauri nifanye biashara ipi maana mimi nilikuwa na wazo nifungue kaduka niwe nauza vinywaji vinywaji vikali nichanganyanye na soft drink. Ama nitafute sehemu niuze hata nafaka ila mtaji ndio sijui unahitajika shilingi ngapi.
Note biashara ambayo nimewahi kufanya tofauti na hizo kamali hapo juu ni ufugaki kuku tena zamani sana huko j4.
Nitashukuru sana kwa mchango wako wowote ule utakao utoa maana umri unasogea na majukumu yanazidi kuongezeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tafuta mtu anayejua akupe a b c zake kauli zako unaonekana ni mweupe kabisa kuhusu hii biashara.Ni kweli unachosema chief. NO PAIN NO GAIN. Nimefurahi leo kufahamu machache kuhusu forex, nilikuwa naisikia sikia tuu lakini sikutilia maanani. Sasa nahitaji kuielewa in and out mbali na kutengeneza kipato bali kuongeza ufahamu katika ubongo wangu kwamba forex ni nini na inafanyaje kazi.
Unaweza sikia kuna tajiri ameamua kugawa mahela yake huko forex, watu wanayachota kwa bei ya kutupwa, ninabaki natoa macho forex yenyewe sijawahi kuiona page yake inafananaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina bahati mkuu kwa risk ambazo nimeshafanya mpaka sasa
Kupunguza kimuhe muhe forex sio rahisi Kama wengi wanaopiga porojo hapa ....Elimu ya forex ina mwisho? Kwamba kuna level ya mwisho kuifahamu kwamba kwa mimi niliyeanza kuisoma leo nikishafahamu jinsi ya kutrade ndio mwisho wa elimu hii au elimu yake haina mwisho mpaka uwe profesa ?[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mpaka unachekesha before uanze hata na demo tafuta a b c zake as theory nzima kwanza then huyo aliyekupa a b c atakusidia uanze demo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mweupe kabisa. Kweli nahitaji kuisoma na kuielewa vizuri before sijajimwaga uwanjani. Naombeni link ya kudownload software ya forex nianze nianze kujifunza kutrade kwenye demo account
Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa umenichekesha sana maana nilikuwa na mshikaji ka bet 20,000 tu sasa ananionyesha atapiga pesa nae kuna kipindi alikuwa kakenua meno nje ila at the end aliondoka kimya bila kuniaga sijui alipitia njia gani baada ya kuliwa,nilicheka siku ile hadi machoziNdio mkuu betting inalipa tena sana
Ila sometimes inaenda na upepo kunakipindi kinafika kila unapogusa nikipigo hata timu yenye odd 1.04 inakuchoma
Jmosi nilikuwa sijafuma mkeka niko getto naangalia gemu ya Barcelona na real sociedad sijakaa sawa barcelona kapigwa goli
Nikaingia betpower nikaona Barcelona amepewa odd 3.2 nikasema liwalo na liwe nikadeposite laki 4 nikampa barca ashinde maana nilijua king messi yuko ndani.
Nimemaliza kubet tu griezmann kafunga goli la kusawazisha nikasema kipindi cha pili tunakuja kuwamalizia kweli ilipofika wakapata goli lingine nikasema nimepata faida ya laki 8 fasta fasta
Kocha wa real sociedad akafanya sub kakaingia kale ka januzaj kanapiga mpira mwingi hadi wakasawazisha gemu ikaisha 2-2 pesa ikawa imeenda hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
tema mate chini acha kukufuru, wewe una bahati sana.Sina bahati mkuu kwa risk ambazo nimeshafanya mpaka sasa
Ningekuwa na bahati ningekuwa na zaidi ya 100m kwenye acc
Sema tu yote mtu huwezi eleza hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa nikisikia mtu amepoteza pesa kwenye forex najiuliza inakuwaje? Kwa mfano umenunua euro zako 1000 unategemea utaziuza baada ya wiki mbili kwenda kwenye dola kwa hope kwamba thamani ya exchange rate itakuwa imepanda. Sasa kama haijapanda si unatulia huuzi mapene yako ubasubiria zaidi na zaidi mpaka rate ipande? Kwanini uuze kwa hasara?
Au kuchoma acc inakuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata umalize vitabu vyote sio guarantee ya kupata faida kila siku,hii ni biashara ya informations na huwezi kuicontrol directly ,ni kamali kama kamali zingine kinachotakiwa ni basics za kamali tuuYesu Yesu Yesu. Mkuu usinifanye nisome vitabu vyote vya forex duniani niifahamu hii kitu. Nilivyokuwa naisikia sikia forex nikajua ni vitu vya ovyo vya kupotezeana muda, mambo ya ujanja ujanja.
Mimi na uchaga wangu nikiunguza dola 10,000 si nitajinyonga wallah. Kwanza nikiifahamu hiyo forex faida ya dola 25 kwa siku inatosha, huko 10,000 kote natafuta nini.
Wacha niisome mpaka niifahamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu nilichojifunza haya maisha hakuna bahatiKwa story zako utatoboa. Una viashiria vyote vya kufanikiwa kimaisha. Komaa komaa.
Sent using Jamii Forums mobile app