Inawezekana kwa kiasi chochote kile .. Mimi nimewahi kutoa dola 50 mpaka 500 kwa miezi miwili.....Dah inasikitisha kweli forex sio lelemama, unanitisha mkuu. Hiyo kitu sio ya kuimbilia kichwa kichwa unaweza kukumbatia bomu. Sasa naomba kufahamu hiyo biashara ya forex kwani ni lazima kutrade pesa nyingi hivyo mpk kupelekea umauti?
Haiwezekani kutrade dola 20, 50 may be mpaka 100. Hata ukiliwa haiumi?
Sent using Jamii Forums mobile app
ndo hapo sasa thus why umeambiwa trade kile ulichotayari ku loose hiyo ni kamali kama betting ni biashara ya kubashiri japo yenyewe una base kwa tips fulaniDuh basi forex sio jambo jepesi. Sasa hizo information ni very wide. Information zote zinazodeal na uchumi wa dunia sio mchezo. Nadhani Wale jamaa wanaofanya kazi NEW YORK STOCK EXCHANGE hii biashara ya forex inawafaa, wanaimonitor dola kwa ukaribu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miezi miwili mingi sana. Basi mimi najitahidiii sanaInawezekana kwa kiasi chochote kile .. Mimi nimewahi kutoa dola 50 mpaka 500 kwa miezi miwili.....
Mimi nilitaka kukujenga kisaikolojia tu ili usikumbwe na tamaa za Faida TU ... Inakuwa Kama wale eti ukilima tikiti heka moja unapata milion 20 na mtu anaenda beba mkopo ... Matokeo yake Ni bonge la hasara .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya pc inapatikana kwa broker... ila ya simu ipo play store inaitwa meta trader 4Nimekupata point ni kwamba forex inafaida kubwa kuliko madukani. Nikiifahamu hii fx wallah nikipata faida ya dola 25 kwa siku nafunga hesabu mpaka kesho. Staki TAMAA MBELE MAUTI NYUMA.
Naomba link ya kupata hiyo fx software nione hii inamuonekano gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu ya forex ina mwisho? Kwamba kuna level ya mwisho kuifahamu kwamba kwa mimi niliyeanza kuisoma leo nikishafahamu jinsi ya kutrade ndio mwisho wa elimu hii au elimu yake haina mwisho mpaka uwe profesa ?[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Forex mkuu ni biashara ambayo inalipa sana yani mzunguko wake wa pesa ni mkubwa sana.Dah sasa kaka kama ukiweka tamaa mbele unaliwa mtaji unafutika, inakuwaje unarudia kosa hilo hilo. Swali je ukizingatia principle zote za forex na ukatrade bila tamaa kabisa uhakika wa kupata faida kidogo kidogo upo?
Wazo la biashara wakati namaliza chuo mwaka 2012 nilianza biashara ya mkaa, nilikuwa nachukua mzigo mkoani naenda kuuza dar. Ilinipa faida sana na kuepelea kufanya maendeleo na kujitanua kibiashara.
Kwa sasa nimepumzika hiyo biashara, unaweza kuifanya bado inalipa kwa dar. Mkaa bado ni nishati kuu inayotegemewa sana hapo dar.
Mtaji kwa fuso inayobeba gunia 190 za mkaa kuutoa mkoani iringa mpaka dar gharama zote inacost kama 4M.
Kwa Scania kipisi kinachobeba gunia 220 mpaka 280 mtaji ni kama kwenye 6M kasoro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee mkuu barikiwa sana ushauri mzuri sanaWewe ni mpambanaji, kidume hasa.
Achana na biashara ya kilimo wala kufuga kuku.
Hizo biashara mwanzo zinachoma mtaji sababu ya kukosa uzoefu, ukikosea kitu kidogo kuku wamekufa au mazao yamekufa au yatatoa mavuno kidogo.
Hizo biashara zinatakiwa uanze kujifunzia na pesa nyingine sio ya mawzo kama yako.
Mimi nakushauri katafute goli/fremu zuri miataa mizuri iliyo na watu wengi wanao pitapita, au jirani na majengo kama kanisa la KKT au Katoliki anzisha Toy Shop na bidhaa za watoto zingine.
Weka na bicycle za watoto used, pikipiki za plastic used n.k.
Weka toy mpya na used.
AU
Tafuta frame ya kuweka Hardware lakini yako iwe ya kipekee, nenda kanunue vifaa kama wavu za madirishani, bati, nondo, n.k. viwe reject toka kiwandani kwa bei rahisi sana na wewe uuze bei rahisi sana, uweke bango kabisa ni linalosema vitu husika ni reject. Fedha ngumu na wabongo wanapenda vitu rahisi.
Hizo bati au wavu reject ni mpya na nzuri kama sio mtaalamu au fundi haujui kama ni reject. u
Unakuta labda rangi imepauka kidogo au kuna sehemu ndogo imejikunja au migongo ya bati haiko sawa kidogo, au wavu/bati zimekatwa vipimo pungufu kidogo kama sentimeta chache n.k.
NB: Hiyo Toy Shop na used fanya mix na viatu na nguo kali vyote vya mitumba vya watoto utatoboa mwanangu.
Kaweke duka maeneo mojawapo ya haya Tabata, Ubungo Riverside au Mabibo, Sinza, Mbezi Luis, Mezi Beach, Afrikana, Kawe, Mikocheni, Kinondoni, Temboni, Kwa Musuguri, Kunduchi, Goba, Salasala Gongo la Mboto, Makumbusho, Mwenge, Tegeta n.k.
Au katafute sehemu jirani na stendi za BRT kama Gerezani ndani ya BRT, Kimara, Morocco.
Kama upo temeke basi katafute fremu jirani na stendi za daladala.
Thanks mkuu.
Kwa gia hio unayokuja nayo lazima upigwe wahuni washaona fursa kwako[emoji1787]Nimekupata point ni kwamba forex inafaida kubwa kuliko madukani. Nikiifahamu hii fx wallah nikipata faida ya dola 25 kwa siku nafunga hesabu mpaka kesho. Staki TAMAA MBELE MAUTI NYUMA.
Naomba link ya kupata hiyo fx software nione hii inamuonekano gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi kitu elimu yake haina mwishoElimu ya forex ina mwisho? Kwamba kuna level ya mwisho kuifahamu kwamba kwa mimi niliyeanza kuisoma leo nikishafahamu jinsi ya kutrade ndio mwisho wa elimu hii au elimu yake haina mwisho mpaka uwe profesa ?[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umempa ukweli halisiPunguzo mchehcheto hili game ni saikoloji tu na sio bahati kama kubet.......so mawenge yako yanaweza yakakuponza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu shukran sanaThanks mkuu.
kitu cha kukumbuka usikurupeke kukodi fremu sehemu bila kuichunguza sana, sana, sana kuhusu aina ya watu unaotaka wawe wateja wako.
Madalali ni sumu kubwa hata awe rafiki yako, yeye anataka upange apate pesa anaweza kukuchomesha maindi kizembe zembe.
Mitaa usiyo ijua kuwa makini kutembelea kwa kificho mara kadhaa masaa na siku tofauti kuangalia mzunguko wa watu.
Najua ukiona fremu sehemu madalali wanakutia presha fanya haraka hapa fremu hazikai utaikosa.
Jifunze kupitia kisa chako cha Sokoni Ilala.
Sawa chief. Ngoja nianze kuingiza maarifa mapya katika uelewa wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app