stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
😂 😂 😂 unaongea kitu ambacho kilizushwa dogo alitumia miaka 8 kutoka sjui mtaji wa $18M ilikua ni saga ya kusaidia wale wafanya kazi za ndan waruhusiwe kuendelea kutradeMbona unaongea like you know the future. Tell me what about takashi kotegawa, Richard Dennis, Livermore etc.
Yaani unavyoongea like as if you're the creator of that shits.
Ubongo haukubali kushindwa never yaani Kama nimeshindwa kitu nitajaribu kusema kuwa haiwezekani. Brain huwa Ni self serving.
Sio lazima own hizo assets ,unaweza uka trade cfd ama ukafanya real shit through both margin and non margin investment.
Unakumbuka Warren alidisi mno Trading kwa chart alivyoulizwa about Jim Simmons akasema kuwa jamaa Ni genius.
Mana alimeki hela just by charts no need to own the real assets