Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

Mbona unaongea like you know the future. Tell me what about takashi kotegawa, Richard Dennis, Livermore etc.

Yaani unavyoongea like as if you're the creator of that shits.
Ubongo haukubali kushindwa never yaani Kama nimeshindwa kitu nitajaribu kusema kuwa haiwezekani. Brain huwa Ni self serving.
Sio lazima own hizo assets ,unaweza uka trade cfd ama ukafanya real shit through both margin and non margin investment.
Unakumbuka Warren alidisi mno Trading kwa chart alivyoulizwa about Jim Simmons akasema kuwa jamaa Ni genius.
Mana alimeki hela just by charts no need to own the real assets
😂 😂 😂 unaongea kitu ambacho kilizushwa dogo alitumia miaka 8 kutoka sjui mtaji wa $18M ilikua ni saga ya kusaidia wale wafanya kazi za ndan waruhusiwe kuendelea kutrade
 
😂 😂 😂 unaongea kitu ambacho kilizushwa dogo alitumia miaka 8 kutoka sjui mtaji wa $18M ilikua ni saga ya kusaidia wale wafanya kazi za ndan waruhusiwe kuendelea kutrade
Okay. How about others traders too so ilikuwa no story ili wanawake wafanye kazi watoke ndani pia.
Do you mean that cfd brokerage industry isn't real thing according to your own beliefs, thoughts etc
 
Tuliza matako wewe, nasoma kelele zako toka juu na hivyo viscreenshot vyako vya investopedia,inaonekana wazi hujui kitu chochote, zaidi zaidi unaongea kwa hasira tu baada ya kufakamia forex kwa pupa za pesa ya haraka na kuambulia za uso,.....Ni software ipi wewe umetengeneza?...kuna uhusiano gani kati software developer na forex trader?.....kama hujui kitu ni bora ukakaa kimya tu, naona umegeuka muongeaji mkuu wa huu uzi, ilihari huna unachojua...

just beba ukwel and move on ukitukana haisaidii chochote, tuseme wewe una akili kushinda google na investopedia umefurahi sasa
 
Tuliza matako wewe, nasoma kelele zako toka juu na hivyo viscreenshot vyako vya investopedia,inaonekana wazi hujui kitu chochote, zaidi zaidi unaongea kwa hasira tu baada ya kufakamia forex kwa pupa za pesa ya haraka na kuambulia za uso,.....Ni software ipi wewe umetengeneza?...kuna uhusiano gani kati software developer na forex trader?.....kama hujui kitu ni bora ukakaa kimya tu, naona umegeuka muongeaji mkuu wa huu uzi, ilihari huna unachojua...
Kuna watu wameikimbilia na wakaliwa hela wakaja kuitukana kuwa sio real shit. Skills za Trading aren't usual skills ambazo human beings wamezoea kujifunza na ndio Mana wapotezao Ni wengi mno. Yaani hata mie naweza nikaifungua najua in long run nitameki hela Mana naijua saikolojia ya binadamu iko against kabisa na Trading yaani iko against na sio rafiki kwake
 
just beba ukwel and move on ukitukana haisaidii chochote, tuseme wewe una akili kushinda google na investopedia umefurahi sasa
Nani aliyekwambia Google wanatoa majibu ya maswali yako, zaidi ya kuwa search engine tu?....huko investopedia huyo alieandika una uhakika ni trader?...au ni mlevi tu wa ulanzi kama ulivyo wewe.....yani mtu ni software developer na hujui kazi ya GOOGLE,...alafu ndo ukatengeneze brokage software?🤔🤔😅😅.. nyinyi vijana mnaojificha nyuma ya keyboard baada ya kushiba kande kwa shemeji zenu mujitafakari, JF sio TikTok ,huku kuna wenye akili...
 
Kuna watu wameikimbilia na wakaliwa hela wakaja kuitukana kuwa sio real shit. Skills za Trading aren't usual skills ambazo human beings wamezoea kujifunza na ndio Mana wapotezao Ni wengi mno. Yaani hata mie naweza nikaifungua najua in long run nitameki hela Mana naijua saikolojia ya binadamu iko against kabisa na Trading yaani iko against na sio rafiki kwake
Haka kajamaa kanajifanya kasoftware developer, kanakuja karirisha ujinga wake hapa baada ya kulizwa.....
 
Nani aliyekwambia Google wanatoa majibu ya maswali yako, zaidi ya kuwa search engine tu?....huko investopedia huyo alieandika una uhakika ni trader?...au ni mlevi tu wa ulanzi kama ulivyo wewe.....yani mtu ni software developer na hujui kazi ya GOOGLE,...alafu ndo ukatengeneze brokage software?🤔🤔😅😅.. nyinyi vijana mnaojificha nyuma ya keyboard baada ya kushiba kande kwa shemeji zenu mujitafakari, JF sio TikTok ,huku kuna wenye akili...

ndo maaana nkakwambia tufanye wewe ndo unajua kuliko wote umefurahi eeh
 
Msaada kuna tofauti yeyote ya Forex na cryptocurrency hizi sijui Bitcoin, Solana, nk? Naomba majibu tafadhari Kwa wanaofahamu
 
Naijua forex vizuri sana ndo maaaana nkiwaangaliaga nacheka tu alafu naangalia jinsi mnalipana kufundishana upuuzi 😂 😂
Nani analipa kufundishwa?.....mtu hujui hata maana liquidity provider, unakuja kufundisha kuhusu forex.....hujui kazi ya GOOGLE na unajiita software developer......

ok, software developer,unatumia programming language ipi au ni kinyakyusa?😂😂😂
 
Back
Top Bottom