Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

hatukatai forex ina hela lakini ni kamali kama kamali nyingine..tumeshuhudia ma pro wakiliwa pesa mpaka wanakuja kutukopa buku..wewe ulieanza juzi kelele nyingi binafsi nimeijua forex 1998 wewe umeanza kuijua lini?
Kuijuwa na haijakusaidia kitu u unashangaa loss
 
Kuna Jamaa yangu wa Karibu alikuja kuniomba ushauri nikwambia "Kaa mbaali sana na hao Jamaa utapigwa" akaniona Hasidi.

Miezi kadhaa ikapita simuoni kumbe Jamaa kaukimbia Mji baada ya kutapeliwa Dola 6500 za Mwajiri wake na yeye kaogopa hata kunipigia simu anaona aibu kwasababu nilishamueleza.
 
Na hao ndio wanaochafua industry hawana maarifa ya kutrade wanaishia kulaghai traders lengo kujipatia pesa kwa training. Kwa real trader huwezi ukawa unapoteza muda kushawishi MTU umfundishe. Na ukishakua real trader ni nadra sana kumshawish MTU kuingia ktk trading ni lazima kwanza yeye awe na hiyo passion kwan the journey is real tough. Ukiona MTU anajinasibu anfundisha trading jua anatajipatia kipato kwa training na sio kwa kutrade
It is TRUE and FACT
 
Hutosema nafanya matangazo mkuu?
amna mzee we unadhan hawa vijana hatuwajui, ngoja nkupe mfano
1712001110761.png


1712001166025.png


ukiziangalia si unaweza sema zmetoboa maisha
 
KWANGU MIMI HAIJALISHI FOREX NI BETTING AU LAH.
KITU PEKEE NINAJUA NI KWAMBA TANGU KILA MTU ALIPO TOKA KWENYE TUMBO LA MAMA YAKE KUJA HAPA DUNIANI BASI RASMI UME AMUA KUBET.
KILA KITU KWENYE MAISHA NI KUBET, UNA LALA LEO UNASEMA KESHO ASUBUHI NITA AMKA MAPEMA, NANI KASEMA KESHO UTA AMKA ?!
UKISHA JUA MAISHA YAKO YOKE IS ALL ABOUT BETTING BASI KWAKUWA PIA ULIAMUA KUBET KUMUAMINI MUNGU BASI UTA AMKA NA KUSALI KWAKUWA KESHO YAKO HAUIJUI.
KITU PEKEE NINAJUA MIMI NI KWAMBA PATA MAARIFA JUU YA KILA KITU KWENYE MAISHA YAKO HATA HAYO MAISHA YENYEWE UNAYOISHI ALAFU ANZA KUBET RESPONSBLIY. Yaani bet kwa akili, KUMBUKA KILA UNACHOFANYA KWENYE MAISHA NI KUBET.
JUA NINI UNA FANYA ALAFU BET KWA AKILI.
UNASOMESHA DEMU UKIAMINI UTAMUOA NA HATA KAA AKUSALITI, SAWA MSOMESHE ILA USIJITOE KUPITILIZA NA USIWEKE IMANI YAKO ZAIDI YA ASILIMIA 100, SAWA UTAMUOA ATAKUSALITI KWENYE NDOA, AU HUTAWEZA MUOA SABABU ATASEMA AMEPATA MCHUMBA MWINGINE, INA AMINI KUNA SIR GOD SABABU HUJUI 💯 KAMA YUPO AMA LAH ILA UMA AMINI ILI SIKU UKIMUONA USEME NILIKUAMIMO SIR GOD, SO VIPI KAMA HUTAMUONA, VIPI KAMA HAKUNA MBINGU WALA MOTONI, SO HATA KWENYE FOREX KAMA NI KU BET AU LAH! WEWE IJUE FOREX PATA KNOWLEDGE AU MAARIFA ALAFU IFANYE FOREX KAMA SEHEMU TUU YA MAISHA KUKUONGEZEA UCHUMI NA IFANYE FOREX KWA AKILI NA SIYO TAMAA.

UKISHA JUA LIFE IS ALL ABOUT BETTING UTA TUMIA AKILI KWENYE KILA UNALOFANYA NA HAUTAJITOA OVER 💯 AU NJE YA UWEZO WAKO.

FORMULA NI ILE ILE GET THE KNOWLEDGE AND BET RESPONSIBLY.

HAPA NINA MAANISHA LILA KITU KWENYE MAISHA SIYO FOREX TUU.

MWISHO WA MJADALA.
 
unapewa sehem ndogo ya huo mkeka, however chances za wewe kuendeleza ushindi wa mkeka ni mdogo mno so ni kama unawashikia kwa mda
Duh, we jamaa unaongea sana na kwa namna unavyojibu hoja ni wazi pasina shaka yoyote na wewe unasimuliwa tu. Kwanza huwez kudeal na fx bila bloker sababu yeye ndio kiunganishi kati ya market ya wewe, kwa hiyo blocker hausiki na faida au hasara unazopata ni kama vile mshahara wa mtumishi unapopitia bank, bank inakuwa ni njia tu ya kupitishia mshahara haihusiki na kupungua au kuongezeka kwa mshahara.
Hakuna blocker ambaye ukideposit usd labda 100 akakuwekea 10000 au usd 1000 ukawekewa 100000 unawekewa kiwango kilekile ulichodeposit.
Unasema fx ni kubet, basi sawa ni kubet mfano nime buy usdgpy wakati huo kunamwingine kasell pair hiyohiyo kwa lotsize sawa, maanake kuna mtu atagain na mwingine atachezea kichapo kwa maana hiyo blocker hawez kuamua upate au ukose.
Mablocker wako wengi na wote chart zina move sawa kama wao ndo wangekua wanaamua ingebidi kwanza wakubaliane mfano eurousd leo iwe bearish tu siku nzima na wawe na uhakika hakuna aliye sell.
Ni kweli fx inafanyika kwa cash, haimaanishi kwamba hakuna njia nyingine ya kufanyika kwa fx hapo unakuwa unajiwekea wigo we mwenyewe kwenye ufahamu wako. Ile ya cash inafanyika kuwezesha biashara nyingi duniani kufanyika. Huko utakuta usd 1 sawa tsh 2680, hiyo itakaa hivyo kwa muda kidogo kabla haijabadilika inaweza kuwa siku tatu hadi tano ili watu/taasisi/serikali ziweze kufanya biashara.
Lakini huku kwenye digital utakuta saa moja asubuhi usd 1 sawa na 2680 kufika saa nne inawaza kuwa 2711, saa tisa inaweza kuwa 2590 kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo sababu za kisiasa.
Watu wengi wanawaelezea watu sijui fulan kafanyaje, sijui huyu katajirika huyu kafirisika, mimi naongelea upande wangu.
Mwaka 2017 nilianza kutrade fx hasa currency kwa templerfx kiukweli nilikuwa na matumaini makubwa sana na kuona nimewin maisha. Kiukweli mambo hayakua kama nilivyotarajia hadi kufikia mwaka 2019 niliacha kutrade currency zilinishinda zinamambo mengi sana.
Mwaka huo huo nika change blocker nikahamia kwa binary huko nikakuta kuna pair nyingi ambazo kwa templerfx hazipo nikaanza kutrade boom 1000 na 500 na na crash 1000 na 500.
Hizo pair nikazielewa, nikarejesha matumaini tena ya kuwa tajiri, ishu ikawa kucontrol emotion na tamaa huo ndio ukawa mtihani mkubwa sana kwangu.
Market ina move 24hrs lakini huwez kutrade 24hrs na ukawa una make profit kila ukitrade. Mwaka 2022 nikaamua kujiwekea mkakati wangu wa kutrade, nikadeposit usd 1000 natafuta usd 40 tu kwa siku tena kwa lotsize ndogo tu.
Hadi leo nasimamia msimamo huo ninakomake kibongobongo kananitosha nitaongeza malengo nikiongeza capital, lakini kwa sasa naishi humo.
Sijawahi kumshawishi mtu wala sitarajii kufanya hivyo ila akija mtu mwenye idea hizi tunaelekezana. Sasa wewe umekuwa na kelele nyingi hata hujawahi kutrade unasema blocker hawezi kukubali afilisike, kwa mfano umeenda bank na tsh 250,000 unataka kuzibadilisha wakupe usd, bank wakakupa usd 100 kulingana na thamani ya usd kwa wakati huo. Baada ya miezi mitatu ukarudi tena bank na usd 100 ubadilishe wakupe tsh, bank wakakupa tsh 285,000 kulingana na thamani ya usd kwa wakati huo je bank watakua na hasara ya tsh 35,000? Kwanini hawana hasara wakati awali wewe uliwapa tsh 250,000? Basi kama ni hivyo na blocker's hawana hasara.
Punguza ujuaji tafuta taarifa sahihi ondoa negativity uliyojijengea kichwani mwako kuhusu fx.
 
Duh, we jamaa unaongea sana na kwa namna unavyojibu hoja ni wazi pasina shaka yoyote na wewe unasimuliwa tu. Kwanza huwez kudeal na fx bila bloker sababu yeye ndio kiunganishi kati ya market ya wewe, kwa hiyo blocker hausiki na faida au hasara unazopata ni kama vile mshahara wa mtumishi unapopitia bank, bank inakuwa ni njia tu ya kupitishia mshahara haihusiki na kupungua au kuongezeka kwa mshahara.
Hakuna blocker ambaye ukideposit usd labda 100 akakuwekea 10000 au usd 1000 ukawekewa 100000 unawekewa kiwango kilekile ulichodeposit.
Unasema fx ni kubet, basi sawa ni kubet mfano nime buy usdgpy wakati huo kunamwingine kasell pair hiyohiyo kwa lotsize sawa, maanake kuna mtu atagain na mwingine atachezea kichapo kwa maana hiyo blocker hawez kuamua upate au ukose.
Mablocker wako wengi na wote chart zina move sawa kama wao ndo wangekua wanaamua ingebidi kwanza wakubaliane mfano eurousd leo iwe bearish tu siku nzima na wawe na uhakika hakuna aliye sell.
Ni kweli fx inafanyika kwa cash, haimaanishi kwamba hakuna njia nyingine ya kufanyika kwa fx hapo unakuwa unajiwekea wigo we mwenyewe kwenye ufahamu wako. Ile ya cash inafanyika kuwezesha biashara nyingi duniani kufanyika. Huko utakuta usd 1 sawa tsh 2680, hiyo itakaa hivyo kwa muda kidogo kabla haijabadilika inaweza kuwa siku tatu hadi tano ili watu/taasisi/serikali ziweze kufanya biashara.
Lakini huku kwenye digital utakuta saa moja asubuhi usd 1 sawa na 2680 kufika saa nne inawaza kuwa 2711, saa tisa inaweza kuwa 2590 kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo sababu za kisiasa.
Watu wengi wanawaelezea watu sijui fulan kafanyaje, sijui huyu katajirika huyu kafirisika, mimi naongelea upande wangu.
Mwaka 2017 nilianza kutrade fx hasa currency kwa templerfx kiukweli nilikuwa na matumaini makubwa sana na kuona nimewin maisha. Kiukweli mambo hayakua kama nilivyotarajia hadi kufikia mwaka 2019 niliacha kutrade currency zilinishinda zinamambo mengi sana.
Mwaka huo huo nika change blocker nikahamia kwa binary huko nikakuta kuna pair nyingi ambazo kwa templerfx hazipo nikaanza kutrade boom 1000 na 500 na na crash 1000 na 500.
Hizo pair nikazielewa, nikarejesha matumaini tena ya kuwa tajiri, ishu ikawa kucontrol emotion na tamaa huo ndio ukawa mtihani mkubwa sana kwangu.
Market ina move 24hrs lakini huwez kutrade 24hrs na ukawa una make profit kila ukitrade. Mwaka 2022 nikaamua kujiwekea mkakati wangu wa kutrade, nikadeposit usd 1000 natafuta usd 40 tu kwa siku tena kwa lotsize ndogo tu.
Hadi leo nasimamia msimamo huo ninakomake kibongobongo kananitosha nitaongeza malengo nikiongeza capital, lakini kwa sasa naishi humo.
Sijawahi kumshawishi mtu wala sitarajii kufanya hivyo ila akija mtu mwenye idea hizi tunaelekezana. Sasa wewe umekuwa na kelele nyingi hata hujawahi kutrade unasema blocker hawezi kukubali afilisike, kwa mfano umeenda bank na tsh 250,000 unataka kuzibadilisha wakupe usd, bank wakakupa usd 100 kulingana na thamani ya usd kwa wakati huo. Baada ya miezi mitatu ukarudi tena bank na usd 100 ubadilishe wakupe tsh, bank wakakupa tsh 285,000 kulingana na thamani ya usd kwa wakati huo je bank watakua na hasara ya tsh 35,000? Kwanini hawana hasara wakati awali wewe uliwapa tsh 250,000? Basi kama ni hivyo na blocker's hawana hasara.
Punguza ujuaji tafuta taarifa sahihi ondoa negativity uliyojijengea kichwani mwako kuhusu fx.

i think nshaelezea sana hii concept na nshabishana na mwenzako uko juu mpaka tumefika mwafaka ameshaelewa, i jukumu lako kupitia chats za mwanzo tumeweka mpaka evidence apart from that hamna namna naweza nkakusaidia zaidi ya kukuacha uelewe unavoelewa! ni Hulka ya kawaidaya wabongo kutokufanya research

- cha muhimuzaidi ulitakiwa kuelewa hakuna kitu kinaitwa FX market haipo na haitakaa itokee from there ungepata mwanga ila kwa sababu wote fx akili zenu zpo sawa basi endeleeni kujua ivo ivo
 
Ukinipa laki itazaa utapata milioni 3.
Ukileta watu10 utapata milioni10.
Na wao watapata milioni3.

Sasa hapo wewe unakuwa meneja. Kampuni yetu tunaimiliki Manchester city, hivyo nawe unakuwa mmiliki naukuwa mfanya maamuzi ya timu.

Siyo upatu kweli hii. Wasije wakawa kama akina desi walitokeaga Dar kama miaka 15 iliyopita.
 
Duh, we jamaa unaongea sana na kwa namna unavyojibu hoja ni wazi pasina shaka yoyote na wewe unasimuliwa tu. Kwanza huwez kudeal na fx bila bloker sababu yeye ndio kiunganishi kati ya market ya wewe, kwa hiyo blocker hausiki na faida au hasara unazopata ni kama vile mshahara wa mtumishi unapopitia bank, bank inakuwa ni njia tu ya kupitishia mshahara haihusiki na kupungua au kuongezeka kwa mshahara.
Hakuna blocker ambaye ukideposit usd labda 100 akakuwekea 10000 au usd 1000 ukawekewa 100000 unawekewa kiwango kilekile ulichodeposit.
Unasema fx ni kubet, basi sawa ni kubet mfano nime buy usdgpy wakati huo kunamwingine kasell pair hiyohiyo kwa lotsize sawa, maanake kuna mtu atagain na mwingine atachezea kichapo kwa maana hiyo blocker hawez kuamua upate au ukose.
Mablocker wako wengi na wote chart zina move sawa kama wao ndo wangekua wanaamua ingebidi kwanza wakubaliane mfano eurousd leo iwe bearish tu siku nzima na wawe na uhakika hakuna aliye sell.
Ni kweli fx inafanyika kwa cash, haimaanishi kwamba hakuna njia nyingine ya kufanyika kwa fx hapo unakuwa unajiwekea wigo we mwenyewe kwenye ufahamu wako. Ile ya cash inafanyika kuwezesha biashara nyingi duniani kufanyika. Huko utakuta usd 1 sawa tsh 2680, hiyo itakaa hivyo kwa muda kidogo kabla haijabadilika inaweza kuwa siku tatu hadi tano ili watu/taasisi/serikali ziweze kufanya biashara.
Lakini huku kwenye digital utakuta saa moja asubuhi usd 1 sawa na 2680 kufika saa nne inawaza kuwa 2711, saa tisa inaweza kuwa 2590 kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo sababu za kisiasa.
Watu wengi wanawaelezea watu sijui fulan kafanyaje, sijui huyu katajirika huyu kafirisika, mimi naongelea upande wangu.
Mwaka 2017 nilianza kutrade fx hasa currency kwa templerfx kiukweli nilikuwa na matumaini makubwa sana na kuona nimewin maisha. Kiukweli mambo hayakua kama nilivyotarajia hadi kufikia mwaka 2019 niliacha kutrade currency zilinishinda zinamambo mengi sana.
Mwaka huo huo nika change blocker nikahamia kwa binary huko nikakuta kuna pair nyingi ambazo kwa templerfx hazipo nikaanza kutrade boom 1000 na 500 na na crash 1000 na 500.
Hizo pair nikazielewa, nikarejesha matumaini tena ya kuwa tajiri, ishu ikawa kucontrol emotion na tamaa huo ndio ukawa mtihani mkubwa sana kwangu.
Market ina move 24hrs lakini huwez kutrade 24hrs na ukawa una make profit kila ukitrade. Mwaka 2022 nikaamua kujiwekea mkakati wangu wa kutrade, nikadeposit usd 1000 natafuta usd 40 tu kwa siku tena kwa lotsize ndogo tu.
Hadi leo nasimamia msimamo huo ninakomake kibongobongo kananitosha nitaongeza malengo nikiongeza capital, lakini kwa sasa naishi humo.
Sijawahi kumshawishi mtu wala sitarajii kufanya hivyo ila akija mtu mwenye idea hizi tunaelekezana. Sasa wewe umekuwa na kelele nyingi hata hujawahi kutrade unasema blocker hawezi kukubali afilisike, kwa mfano umeenda bank na tsh 250,000 unataka kuzibadilisha wakupe usd, bank wakakupa usd 100 kulingana na thamani ya usd kwa wakati huo. Baada ya miezi mitatu ukarudi tena bank na usd 100 ubadilishe wakupe tsh, bank wakakupa tsh 285,000 kulingana na thamani ya usd kwa wakati huo je bank watakua na hasara ya tsh 35,000? Kwanini hawana hasara wakati awali wewe uliwapa tsh 250,000? Basi kama ni hivyo na blocker's hawana hasara.
Punguza ujuaji tafuta taarifa sahihi ondoa negativity uliyojijengea kichwani mwako kuhusu fx.

😂 😂 😂 😂 sema mwanaetu unaadika sema ndo ivo umeandika UJINGA, huezi deal na fx bila broker, vp ushapata broker anaetoa pair UGXTZS AMA KESTSH we unadhan izo rate znatoka wap, na ulivoandika utadhan basi unaelewa unachoandika,
kila kitu unachojua kuhusu forex ulidanganywa na ukifanya mt4 ile sio forex ni betting na hakunaga kitu kama order zmeenda sokoni order znaishia kwa broker mnabetiana umo umo

ulishindwa ata kugoogle ukatoa ujinga kidogo maaana umeandika ujinga
1712059553046.png

kitu kidogo ivi umeshindwa ata kugoogle
 
Ukinipa laki itazaa utapata milioni 3.
Ukileta watu10 utapata milioni10.
Na wao watapata milioni3.

Sasa hapo wewe unakuwa meneja. Kampuni yetu tunaimiliki Manchester city, hivyo nawe unakuwa mmiliki naukuwa mfanya maamuzi ya timu.
Na mtu bado anaamini anaingia kichwa kichwa 😂😂😂
 
Duh, we jamaa unaongea sana na kwa namna unavyojibu hoja ni wazi pasina shaka yoyote na wewe unasimuliwa tu. Kwanza huwez kudeal na fx bila bloker sababu yeye ndio kiunganishi kati ya market ya wewe, kwa hiyo blocker hausiki na faida au hasara unazopata ni kama vile mshahara wa mtumishi unapopitia bank, bank inakuwa ni njia tu ya kupitishia mshahara haihusiki na kupungua au kuongezeka kwa mshahara.
Hakuna blocker ambaye ukideposit usd labda 100 akakuwekea 10000 au usd 1000 ukawekewa 100000 unawekewa kiwango kilekile ulichodeposit.
Unasema fx ni kubet, basi sawa ni kubet mfano nime buy usdgpy wakati huo kunamwingine kasell pair hiyohiyo kwa lotsize sawa, maanake kuna mtu atagain na mwingine atachezea kichapo kwa maana hiyo blocker hawez kuamua upate au ukose.
Mablocker wako wengi na wote chart zina move sawa kama wao ndo wangekua wanaamua ingebidi kwanza wakubaliane mfano eurousd leo iwe bearish tu siku nzima na wawe na uhakika hakuna aliye sell.
Ni kweli fx inafanyika kwa cash, haimaanishi kwamba hakuna njia nyingine ya kufanyika kwa fx hapo unakuwa unajiwekea wigo we mwenyewe kwenye ufahamu wako. Ile ya cash inafanyika kuwezesha biashara nyingi duniani kufanyika. Huko utakuta usd 1 sawa tsh 2680, hiyo itakaa hivyo kwa muda kidogo kabla haijabadilika inaweza kuwa siku tatu hadi tano ili watu/taasisi/serikali ziweze kufanya biashara.
Lakini huku kwenye digital utakuta saa moja asubuhi usd 1 sawa na 2680 kufika saa nne inawaza kuwa 2711, saa tisa inaweza kuwa 2590 kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo sababu za kisiasa.
Watu wengi wanawaelezea watu sijui fulan kafanyaje, sijui huyu katajirika huyu kafirisika, mimi naongelea upande wangu.
Mwaka 2017 nilianza kutrade fx hasa currency kwa templerfx kiukweli nilikuwa na matumaini makubwa sana na kuona nimewin maisha. Kiukweli mambo hayakua kama nilivyotarajia hadi kufikia mwaka 2019 niliacha kutrade currency zilinishinda zinamambo mengi sana.
Mwaka huo huo nika change blocker nikahamia kwa binary huko nikakuta kuna pair nyingi ambazo kwa templerfx hazipo nikaanza kutrade boom 1000 na 500 na na crash 1000 na 500.
Hizo pair nikazielewa, nikarejesha matumaini tena ya kuwa tajiri, ishu ikawa kucontrol emotion na tamaa huo ndio ukawa mtihani mkubwa sana kwangu.
Market ina move 24hrs lakini huwez kutrade 24hrs na ukawa una make profit kila ukitrade. Mwaka 2022 nikaamua kujiwekea mkakati wangu wa kutrade, nikadeposit usd 1000 natafuta usd 40 tu kwa siku tena kwa lotsize ndogo tu.
Hadi leo nasimamia msimamo huo ninakomake kibongobongo kananitosha nitaongeza malengo nikiongeza capital, lakini kwa sasa naishi humo.
Sijawahi kumshawishi mtu wala sitarajii kufanya hivyo ila akija mtu mwenye idea hizi tunaelekezana. Sasa wewe umekuwa na kelele nyingi hata hujawahi kutrade unasema blocker hawezi kukubali afilisike, kwa mfano umeenda bank na tsh 250,000 unataka kuzibadilisha wakupe usd, bank wakakupa usd 100 kulingana na thamani ya usd kwa wakati huo. Baada ya miezi mitatu ukarudi tena bank na usd 100 ubadilishe wakupe tsh, bank wakakupa tsh 285,000 kulingana na thamani ya usd kwa wakati huo je bank watakua na hasara ya tsh 35,000? Kwanini hawana hasara wakati awali wewe uliwapa tsh 250,000? Basi kama ni hivyo na blocker's hawana hasara.
Punguza ujuaji tafuta taarifa sahihi ondoa negativity uliyojijengea kichwani mwako kuhusu fx.
2) nkideposit $100 nkaweka leverage ya 100x maana unaelewa nakua na mtaji kiasi gan? maaana yake sitrade na $100 bali natrade na $10,000, hizi ni pesa bablai na ukipata faida wanakupa ela halali, ila hio pesa uliotumia kwenye leverage ni imaginary in real haipo because pale haununuichochote bali unabet
 
Duh, we jamaa unaongea sana na kwa namna unavyojibu hoja ni wazi pasina shaka yoyote na wewe unasimuliwa tu. Kwanza huwez kudeal na fx bila bloker sababu yeye ndio kiunganishi kati ya market ya wewe, kwa hiyo blocker hausiki na faida au hasara unazopata ni kama vile mshahara wa mtumishi unapopitia bank, bank inakuwa ni njia tu ya kupitishia mshahara haihusiki na kupungua au kuongezeka kwa mshahara.
Hakuna blocker ambaye ukideposit usd labda 100 akakuwekea 10000 au usd 1000 ukawekewa 100000 unawekewa kiwango kilekile ulichodeposit.
Unasema fx ni kubet, basi sawa ni kubet mfano nime buy usdgpy wakati huo kunamwingine kasell pair hiyohiyo kwa lotsize sawa, maanake kuna mtu atagain na mwingine atachezea kichapo kwa maana hiyo blocker hawez kuamua upate au ukose.
Mablocker wako wengi na wote chart zina move sawa kama wao ndo wangekua wanaamua ingebidi kwanza wakubaliane mfano eurousd leo iwe bearish tu siku nzima na wawe na uhakika hakuna aliye sell.
Ni kweli fx inafanyika kwa cash, haimaanishi kwamba hakuna njia nyingine ya kufanyika kwa fx hapo unakuwa unajiwekea wigo we mwenyewe kwenye ufahamu wako. Ile ya cash inafanyika kuwezesha biashara nyingi duniani kufanyika. Huko utakuta usd 1 sawa tsh 2680, hiyo itakaa hivyo kwa muda kidogo kabla haijabadilika inaweza kuwa siku tatu hadi tano ili watu/taasisi/serikali ziweze kufanya biashara.
Lakini huku kwenye digital utakuta saa moja asubuhi usd 1 sawa na 2680 kufika saa nne inawaza kuwa 2711, saa tisa inaweza kuwa 2590 kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo sababu za kisiasa.
Watu wengi wanawaelezea watu sijui fulan kafanyaje, sijui huyu katajirika huyu kafirisika, mimi naongelea upande wangu.
Mwaka 2017 nilianza kutrade fx hasa currency kwa templerfx kiukweli nilikuwa na matumaini makubwa sana na kuona nimewin maisha. Kiukweli mambo hayakua kama nilivyotarajia hadi kufikia mwaka 2019 niliacha kutrade currency zilinishinda zinamambo mengi sana.
Mwaka huo huo nika change blocker nikahamia kwa binary huko nikakuta kuna pair nyingi ambazo kwa templerfx hazipo nikaanza kutrade boom 1000 na 500 na na crash 1000 na 500.
Hizo pair nikazielewa, nikarejesha matumaini tena ya kuwa tajiri, ishu ikawa kucontrol emotion na tamaa huo ndio ukawa mtihani mkubwa sana kwangu.
Market ina move 24hrs lakini huwez kutrade 24hrs na ukawa una make profit kila ukitrade. Mwaka 2022 nikaamua kujiwekea mkakati wangu wa kutrade, nikadeposit usd 1000 natafuta usd 40 tu kwa siku tena kwa lotsize ndogo tu.
Hadi leo nasimamia msimamo huo ninakomake kibongobongo kananitosha nitaongeza malengo nikiongeza capital, lakini kwa sasa naishi humo.
Sijawahi kumshawishi mtu wala sitarajii kufanya hivyo ila akija mtu mwenye idea hizi tunaelekezana. Sasa wewe umekuwa na kelele nyingi hata hujawahi kutrade unasema blocker hawezi kukubali afilisike, kwa mfano umeenda bank na tsh 250,000 unataka kuzibadilisha wakupe usd, bank wakakupa usd 100 kulingana na thamani ya usd kwa wakati huo. Baada ya miezi mitatu ukarudi tena bank na usd 100 ubadilishe wakupe tsh, bank wakakupa tsh 285,000 kulingana na thamani ya usd kwa wakati huo je bank watakua na hasara ya tsh 35,000? Kwanini hawana hasara wakati awali wewe uliwapa tsh 250,000? Basi kama ni hivyo na blocker's hawana hasara.
Punguza ujuaji tafuta taarifa sahihi ondoa negativity uliyojijengea kichwani mwako kuhusu fx.

whether utumie lot size ndogo ama kubwa unapoteza mda kwenye kubet na mt4 because huna elimu halisi ya forex,
elimu uliopata ni ile ya mtaani ambayo ulifundishwa na jamaa aliepauka ambaye na yeye alifundishwa na jamaa mwingine aliepauka, na kwakua na wewe mepauka mda huu utamfundisha mwingine pia aje kupauka

Pairs hazitrade sawa ila kunakua na middle men, mfano dola bongo inauzwa 2800, kenya inauzwa labda ukiconvert ela ya tsh ni kama 2700, kwa kua ni electroniically watu watachukua dola kenya na kwenda kuuza bongo, economically inaitwa ABITRAGE, pia $1 BOT sio sana na $1 bureau de change ama benki rates ni tafaut ila znakua kwa kiasi kidogo ni kwa sababu hakuna kitu kinaitwa FX market FOREX ni kitendo cha kubadilishana sio soko

FOR - FOREIGN EX - EXCHANGE (FOREX) ni kitendo sio soko, bila shaka ushaskia kitu kinaitwa FOREIGN RESERVE, anyway kwaku elimu yako ndo ile ya kupeana mtaani jiandae kua mwalimu mpaka pale utakapojifunza kua serious na kuacha kuongea UJINGA
 
Hapa pia panaongeza maswali kuw fx ya broker n real

Their have confidence kuw majority must fail ,
2) nkideposit $100 nkaweka leverage ya 100x maana unaelewa nakua na mtaji kiasi gan? maaana yake sitrade na $100 bali natrade na $10,000, hizi ni pesa bablai na ukipata faida wanakupa ela halali, ila hio pesa uliotumia kwenye leverage ni imaginary in real haipo because pale haununuichochote bali unabet
 
Ninaposoma hiz comments zenu mnanifanya kbsa nijiondoe kwenye hiz fx za broker ni hold coin tuu🥸[emoji209][emoji1625][emoji3064]
 
whether utumie lot size ndogo ama kubwa unapoteza mda kwenye kubet na mt4 because huna elimu halisi ya forex,
elimu uliopata ni ile ya mtaani ambayo ulifundishwa na jamaa aliepauka ambaye na yeye alifundishwa na jamaa mwingine aliepauka, na kwakua na wewe mepauka mda huu utamfundisha mwingine pia aje kupauka



FOR - FOREIGN EX - EXCHANGE (FOREX) ni kitendo sio soko, bila shaka ushaskia kitu kinaitwa FOREIGN RESERVE, anyway kwaku elimu yako ndo ile ya kupeana mtaani jiandae kua mwalimu mpaka pale utakapojifunza kua serious na kuacha kuongea UJINGA
Umeishiwa hoja umebaki kutukana tu basi sawa. Unasema sio soko ni kitendo, hata kuuza viazi mviringo ni tendo.
 
Zaid unashangaa kuna platform zinatoa firm account , competition account zenye usd 100,000+ unajiulza wanafaidk nn wao wakupe account bure ya usd 100,000+
 
Back
Top Bottom