stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
- ukiwa umelog in tafuta id namba ya trading account yako ntumieSijaelewa hiyo id unayotaka, ila mi niko kwa Temler
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
- ukiwa umelog in tafuta id namba ya trading account yako ntumieSijaelewa hiyo id unayotaka, ila mi niko kwa Temler
Aaah, kwahiyo unataka a/c number ya kwenye platiform ya mt4?ok sina uzoefu sana na huyu broker ila kuna id kama hii apa
kama utaweza kuitafuta na kuipata kwa broker wako ntumie, inakuaga inabeba trades zako zote so ni rahisi kujua toka umeanza trading hasara ni kubwa kuliko faida ama vice versa
hapana hizo ni trades zako tu, hua znaonyesha mfululizo wa trades zako ni rahisi kuona PNL yako, kwa mfano naweza kuona mwaka huu uko kwenye negative ama profitAaah, kwahiyo unataka a/c number ya kwenye platiform ya mt4?
Hauwezi kunipiga au kuihack?
Aaah, kwahiyo unataka a/c number ya kwenye platiform ya mt4?
Hauwezi kunipiga au kuihack?
Na aanatrade na anafundisha trading🤣😁🤣😁😁 Sasahivi kahamia kwenye biashara ya mbao
Nimeikosa mkuu, labda kwa vile sijaweka document ya kuprov adresssio mt4, pale pale kwa broker ulipofungulia trading akaunti hio akaunti ina namba yake
Sasa si inaonekana apo juu aewithdrawal kiasi kadhaahapana hizo ni trades zako tu, hua znaonyesha mfululizo wa trades zako ni rahisi kuona PNL yako, kwa mfano naweza kuona mwaka huu uko kwenye negative ama profit
Hamna cha zaidi cha kuprove ndo iyo iyo acc namba anaitaka we mpe,Aaah, kwahiyo unataka a/c number ya kwenye platiform ya mt4?
Hauwezi kunipiga au kuihack?
Unasema kazi ya nini wakati trader yeyote mzuri anatamani kufanya kazi kwenye investment firm yenye unlimited funds.Mi kazi ya nini kama fund zinapatikana investor wanakuona kupitia mfxbook wanaona anaefaa wanampa fund
Mindset, behavior, beliefs and psychology. How they think when they're in Winning/losing position.Reason why people lose money:
- Not following money management;
- Do not know how position sizing works;
- Do not have trading
Broker kupeleka asipeleke Oda zako hiyo sio sababu za wewe kutofanikiwa Ni just a means of escaping responsibilities of your actions and thoughts.Mabroker wengi wamekuwa matapeli sababu hawa wapeleki sokoni hapa unatakiwa kujua ni broker gani kwako.
Nishakuambia kuwa uniunganishe na hizo prop shops Kama unazifahamu.Naomba uniletee trading history yako kama umepata faida asilimia 45 ya trades zako nikupatia kazi Frankfurt
Kuna watu wanatafutwa huku wawe wana good trades at keast 45 percent kwenye portfolio zao.
Kuna win rate and loss rate per total trades done. Na pia Kuna loss vs profit. Unaweza ukawa na winning rate ya 6% na still ukameki mane ,Mana hit rate is nothing but the magnitude of hit rate make difference at the end of timegood trades at keast 45
45% kwa muda gani mkuu?Naomba uniletee trading history yako kama umepata faida asilimia 45 ya trades zako nikupatia kazi Frankfurt
Kuna watu wanatafutwa huku wawe wana good trades at keast 45 percent kwenye portfolio zao.
Akiwa na limited funds lazima aanzie huko Ila Kama anao mtaji na anajua anachokifanya Wala Hana time.Unasema kazi ya nini wakati trader yeyote mzuri anatamani kufanya kazi kwenye investment firm yenye unlimited funds.
Namimi ningechangia, ila bado najitafuta sijawa profitable, hii inaniletea interpersona conflict, ila hii comment yako ipo sahihi mkuu👍Kuna win rate and loss rate per total trades done. Na pia Kuna loss vs profit. Unaweza ukawa na winning rate ya 6% na still ukameki mane ,Mana hit rate is nothing but the magnitude of hit rate make difference at the end of time
ipo mkuu lazima upewe hio namba ni muhimu sana, hua inakua kama 4 digits ama zaidiNimeikosa mkuu, labda kwa vile sijaweka document ya kuprov adress
nmeiona vizuri kabisa na najua kabisa mt4 znaweza kubadilishwa tarakim ndo maaana namuulizia hio nambaSasa si inaonekana apo juu aewithdrawal kiasi kadhaa
sio hio we forex ulifundishwa kichakan tulia huezi elewa io nambaHamna cha zaidi cha kuprove ndo iyo iyo acc namba anaitaka we mpe,