stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
hahaha nmekua mpotoshaji tena na umeleta mpaka screenshots mwenyeweUyo stakehigh ni mpotoshaji dhahiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha nmekua mpotoshaji tena na umeleta mpaka screenshots mwenyeweUyo stakehigh ni mpotoshaji dhahiri
izo zote unazotaja ni vijisababu vya kwann ukifeli unatakiwa utumie hizi sababu, ila unasahau toka mwanzo forex yenyewe ni nn, kiuhalisia kama una ndoto za kutengeneza pesa kwa forex basi we tafuta tu mishe zingine za kufanya mapema hakuna cha risk management wala nnMindset, behavior, beliefs and psychology. How they think when they're in Winning/losing position.
-They're controlled and ruled by fear of losing money/missing the position/making error/leaving money on the table/fear of winning position to turn into losing position.
- Ego - they feel to be special after few winning trades.
-Hope - they hope that losing position will turn out to be winning position or have small losing one.
- Greed - they wanna win more regardless of prevailing condition.
They lack consistent at everything they do .
They lack patience to wait for A set up trading signals.
They lack discipline to adhere to one Trading plan or system whether they win or lose.
They fail to work in probability environment.
They lack risk management.
They lack solid and robust risk management
unaweza deposit mwaka mzima na ukawithdrawal mwezi mmoja, overall lufanikiwa kwenye forex is impossible hakuna alieweza na haiwezi tokea, nkimaanisha forex yenu hii ya mt4Sasa si inaonekana apo juu aewithdrawal kiasi kadhaa
the thing apa ni waelewe hawafanyi trading bali wana bet kwa broker, hizi mitikasi ya kusema sjui forex trading ama soko la forex ni nadharia ambayo haipo ambayo sasa hupelkea wengine ambao hawajui forex wakazamishwa uku wakidhan ni kazi ya maaana kumbe ni bettingNaona watu wanabishana kuonyeshana umwamba Ila Ni kwamba kuna Aina mbili ya hizi Mambo.
TRADING aka cfd hapa una speculate price fluctuation of any underlying assets.
Na broker ameweka hapo ukipata unapata hela ukikosea unapoteza hela. Yeye Ni sawa na kiwanda ama anauza na kununua.
Trading haina physical location Ni just electronically Mana unaweza ukaona hisa za Toyota zikoje so una place bet uka speculate Ila sio betting hii uliyozoea,
Pia unaweza labda mafuta yatapanda Bei like during Russia Ukraine war.
Investment or investing una own real underlying financial assets.
Wewe unamiliki hisa za crdb ama twiga cement kiuhalisia Ni part of the company namie nacheza na Bei naweza nikaona kuwa hapa hii biashara itaporomoka so hisa zitashuka nikauza ama zitapanda nikanunua with leverage
hata akisema mwaka mzima ni ngumu kupata hio ratio45% kwa muda gani mkuu?
una mda gan toka umeanza kutumia hio brokerNimeikosa mkuu, labda kwa vile sijaweka document ya kuprov adress
broker hatoi ela yake mfukonNaona watu wanabishana kuonyeshana umwamba Ila Ni kwamba kuna Aina mbili ya hizi Mambo.
TRADING aka cfd hapa una speculate price fluctuation of any underlying assets.
Na broker ameweka hapo ukipata unapata hela ukikosea unapoteza hela. Yeye Ni sawa na kiwanda ama anauza na kununua.
Trading haina physical location Ni just electronically Mana unaweza ukaona hisa za Toyota zikoje so una place bet uka speculate Ila sio betting hii uliyozoea,
Pia unaweza labda mafuta yatapanda Bei like during Russia Ukraine war.
Investment or investing una own real underlying financial assets.
Wewe unamiliki hisa za crdb ama twiga cement kiuhalisia Ni part of the company namie nacheza na Bei naweza nikaona kuwa hapa hii biashara itaporomoka so hisa zitashuka nikauza ama zitapanda nikanunua with leverage
hakuna broker anatoa pesa yake ya mfukon yeye atamatch orders zako na mtu ambae anaziuza, the same way ukiziuza yupo anaenunua ndo maisha yanaenda ivo hakunaga ela ya mfukon anatoa brokerNaona watu wanabishana kuonyeshana umwamba Ila Ni kwamba kuna Aina mbili ya hizi Mambo.
TRADING aka cfd hapa una speculate price fluctuation of any underlying assets.
Na broker ameweka hapo ukipata unapata hela ukikosea unapoteza hela. Yeye Ni sawa na kiwanda ama anauza na kununua.
Trading haina physical location Ni just electronically Mana unaweza ukaona hisa za Toyota zikoje so una place bet uka speculate Ila sio betting hii uliyozoea,
Pia unaweza labda mafuta yatapanda Bei like during Russia Ukraine war.
Investment or investing una own real underlying financial assets.
Wewe unamiliki hisa za crdb ama twiga cement kiuhalisia Ni part of the company namie nacheza na Bei naweza nikaona kuwa hapa hii biashara itaporomoka so hisa zitashuka nikauza ama zitapanda nikanunua with leverage
Haya sawa hakuna kitu kinaitwa soko la forex! Sasa mbona ukienda bank kwenye tv zao utaona nunua usd labda kwa tsh 2678 uza kwa tsh 2685 kwa nini wanatumia maneno "nunua na uza"?tatizo lenu ni mnakurupuka, na elimu yenu nyie ni ela ya kupeana kutoka kwa mentor na ndo hio hio mnayo mpaka leo, kirefu cha FOREX ni FOREIGN EXCHANGE kile kotendo cha kufanya exchange ndo kinaitwa FOREX hakunaga soko linaitwa forex halipo na haliwezi tokea, na pia wanaopata faida ni watu wanaotrade kwa CASH ama SPOT, anaefanya byuro de change anapata faida kubwa sana kuliko nyie wa mt4 ni basi tu hamjui na wanaoinfluence price ni watu wa cash, nkupe mfano kama ushawahi vuka boda kwenda nchi jiran ushakutana na watu wamebeba ela mkononi wanataka ubadilishe kwao, wale kila.mtu anarate yake kama.ushaenda benki kubadilisha pesa pia wale nao wanarate yao likewise kwa byuro de change na BOT pia wana rate yao, mfano pale binance tsh 1 inauzwa 2800 ila mtaani ni 2700 , nadhan unanielewa sasa kwamba hakumaga soko linaitwa forex
We jamaa una ujuaji mwingi na kila nikisoma reply comments zako naona jinsi ubongo wako ulivo mweupe juu ya fxhakunaga soko la forex wajameni, hiko kitu hakipo
Broker atatoaje hela mfukoni ilhali 99% percent ya traders ni loserbroker hatoi ela yake mfukon
thats my pointBroker atatoaje hela mfukoni ilhali 99% percent ya traders ni loser
hutak skulazimishi nadhan na reference zmeekwa hutak kuelewa skulazimishiWe jamaa una ujuaji mwingi na kila nikisoma reply comments zako naona jinsi ubongo wako ulivo mweupe juu ya fx
Haya sawa hakuna kitu kinaitwa soko la forex! Sasa mbona ukienda bank kwenye tv zao utaona nunua usd labda kwa tsh 2678 uza kwa tsh 2685 kwa nini wanatumia maneno "nunua na uza"?
Broker atatoaje hela mfukoni ilhali 99% percent ya traders ni loser
Sasa mkuu kama retail trader alitakiwa atrade wapi tofauti na kwa broker? Umenipa mashaka na uelewa wako katika tasniakwan ulidhan data zenu ni siri? trades zenu zote zko public na tunajua ni asilimia ngap wanaingiza pesa na asilimia ngap wanaruka ruka! kila broker anatakiwa kukupa ID kwenye akaunti yako hio ID ndo inatumika kukutambulisha kwenye soko, so ukiwa na hio ID positions zote ulizofungua na kufunga znapatikana na obvious lazima utakua kwenye loss kwa sababu mpaka unatrade kwa broker maaana yake huielewi forex ni nn
Ni toka mwaka jana mwezi wa naneuna mda gan toka umeanza kutumia hio broker
Mwaka inawezekena kabisa, au kwa vile ni kubet labda mambo yanaweza kuchange totalhata akisema mwaka mzima ni ngumu kupata hio ratio