stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
So sehemu ya kutumia spot(cash) ni wapi?
trading ni kazi kabisa mtu anaenda ofisini, sio kama uku mtu amechoka maisha ndo anarukia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So sehemu ya kutumia spot(cash) ni wapi?
Ndo maana watu wanaanza na brokerage kwanzani mpaka uwe na hela ndefu
Ndo maana watu wanaanza na brokerage kwanza
Sawa ndugusasa broker yeye mwenyewe mfanya biashara sio soko lile, ushawahi kuskia msemo unasema UKIITWA KWENYE FURSA WEWE NDO FURSA, basi ndo inapply apa, brokers wanatengeneza pesa kupitia wewe
Anazungumzia miaka ya tisiniSo sehemu ya kutumia spot(cash) ni wapi?
Duuh, hatuatai kwamba trades zetu hazionekani la hasha na ndo maana kila order ina namba ,ilo suala eti utrade mwingne akilose ndo upewe uo ni uongo, broker yeye anapeleka oda in total sokoni kama ni za buyers or sellers so profit zinakuja wa broker in total or loss inaondoka tokea ktk loosing positions kwenda sokoni, kama broker ataamua kujifanya ye ndo soko sawa ila ni inategemea na typeso mpaka umeenda kwa broker maaana yake huna uelewa wa forex ni nn bali ulidumbukia tu uko kwa sababu broker aliwaaminisha ivo, when you trade kwa broker hautumii cash unatrade kitu kinaitwa (PERPETUAL CONTRACTS) kwa lugha nyepesi ni broker anakwambia tufanye kama unamiliki izi pesa japo hauna izo pesa alafu ikitokea mtu katrade tafauti tutachukua ela zake tutakupa wewe:
same way na wewe ukienda tafauti pesa zako tutampa mtu mwingine
NI mpaka asemeBado hujasema
We matako kweli una hela ya kuweka lot size ya 200 wewe acha kutuwekea demo weka real accNimeipata mahala point ni kwamba pesa zipo ukijizatiti
View attachment 2948991
Mwanangu we komaa na mt4 tu huku kwingine amna unachoelewa, hakunaga kitu kama forex market for retail hio haipo na haiwezi kuwepo, forex inafanyika kwa cash, labda nkusaidie kidogoDuuh, hatuatai kwamba trades zetu hazionekani la hasha na ndo maana kila order ina namba ,ilo suala eti utrade mwingne akilose ndo upewe uo ni uongo, broker yeye anapeleka oda in total sokoni kama ni za buyers or sellers so profit zinakuja wa broker in total or loss inaondoka tokea ktk loosing positions kwenda sokoni, kama broker ataamua kujifanya ye ndo soko sawa ila ni inategemea na type
Thus why ata umade 100ml dollar utalipwa zote
Elewa kwamba hakunaga kitu kama fx market mlidanganywa, hio ni biashara ya mabroker tu ila amnaga kitu kama fx market for retail, Wanaofanya forex kupata faida ni asilimia ndogo sana ya traders wote, 80% ya forex movements ni kwa ajili ya non profit, forex market ipo kwa ajili ya watu wenye hela kubwa sio na ni cash, mnachokosea nyie ni hamuelewi forex ni nn but mnaelezea kama mnaielewa sana, ukweli ni kwamba forex infanyika na asilimia ndogo sana ya watu duniani, wengine wote mnapoteza mda mtu, you can get lucky ila kupata maisha kwa forex ni asilimia ndogo sana na ata kama hupendi huezi fanya forex miaka zaidi ya 5 mfululizo ipo sku utachokaDuuh, hatuatai kwamba trades zetu hazionekani la hasha na ndo maana kila order ina namba ,ilo suala eti utrade mwingne akilose ndo upewe uo ni uongo, broker yeye anapeleka oda in total sokoni kama ni za buyers or sellers so profit zinakuja wa broker in total or loss inaondoka tokea ktk loosing positions kwenda sokoni, kama broker ataamua kujifanya ye ndo soko sawa ila ni inategemea na type
Thus why ata umade 100ml dollar utalipwa zote
sio kila brocker anapeleka order zako kwenye soko anabaki nazo labda ukianza kuwa unamla sana ndio anaweza kukupeleka direct sokoni.Duuh, hatuatai kwamba trades zetu hazionekani la hasha na ndo maana kila order ina namba ,ilo suala eti utrade mwingne akilose ndo upewe uo ni uongo, broker yeye anapeleka oda in total sokoni kama ni za buyers or sellers so profit zinakuja wa broker in total or loss inaondoka tokea ktk loosing positions kwenda sokoni, kama broker ataamua kujifanya ye ndo soko sawa ila ni inategemea na type
Thus why ata umade 100ml dollar utalipwa zote
kinacho nichekesha kusoma ni wabishi na wengi risk management hawa fahamuWatu Wengi Wamepoteza Pesa Forex Kwa Kukurupuka Na Kutotaka Kupata Elimu Ya Forex.
Wanahisi Ni Biashara Ya Ku-download Pesa Mtandaoni
forex haiwezi fanyika digital, forex ni cash kwa cash mfano ukienda pale BOT utakuta kuna EX CHECKERS za dola, IOU za dola alafu utakuta tsh, ikitokea benki za biashara ama wafanya biashara wakubwa wanataka kufanya manunuzi nje basi BOT hana budi zaidi ya kuuza Tsh kwa central bank ingine apewe dola, anaweza kuingia kenya akawapa tsh wakampa dola na ndo rate ya $1 ~ 2800TZS inapotokea, sometimes tsh inaweza kuitajika zaidi ya dola the process goes around, ndo forex inavofanyika, anaything apart from apa unless unamiliki hedge fund basi ni utapeli na huwezi kufanikiwa kwa sababu unatapeliwa, kumbuka BOT alifanya trade bila kutegemea faida ila kiuhalisia tsh lazima iporomoke, kwa kua mmedandia forex basi endeleeni kubet vizuri ila huu mda tumia kufanya shuhuli zingine ambazo kwa miaka ya mbelen utakua umesogea kimaishaAnazungumzia miaka ya tisini
ivi we unadhan dunia nzima hawafanyi risk management? unadhan ni kitu kipya icho kwa watu wanaotrade? je wewe haufanyi risk management? huoni matokeo ni yale yale, unafanya risk management na unazungusha mtaji wenye mkopoWatu Wengi Wamepoteza Pesa Forex Kwa Kukurupuka Na Kutotaka Kupata Elimu Ya Forex.
Wanahisi Ni Biashara Ya Ku-download Pesa Mtandaoni
wewe si unaifaham boss, vp gari la ngap umevuta?kinacho nichekesha kusoma ni wabishi na wengi risk management hawa fahamu
kwani gari ni mafanikiowewe si unaifaham boss, vp gari la ngap umevuta?
hakunaga soko la forex wajameni, hiko kitu hakiposio kila brocker anapeleka order zako kwenye soko anabaki nazo labda ukianza kuwa unamla sana ndio anaweza kukupeleka direct sokoni.
kuna brocker ambao hata deposite yao ni kubwa na direct sokoni
jibu swali gari la ngap saahv ama nyumba ya ngap saaahv, yaaani ukishapokea pumba za menta na wewe umebeba ivo ivokwani gari ni mafanikio