Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

so mpaka umeenda kwa broker maaana yake huna uelewa wa forex ni nn bali ulidumbukia tu uko kwa sababu broker aliwaaminisha ivo, when you trade kwa broker hautumii cash unatrade kitu kinaitwa (PERPETUAL CONTRACTS) kwa lugha nyepesi ni broker anakwambia tufanye kama unamiliki izi pesa japo hauna izo pesa alafu ikitokea mtu katrade tafauti tutachukua ela zake tutakupa wewe:

same way na wewe ukienda tafauti pesa zako tutampa mtu mwingine
Duuh, hatuatai kwamba trades zetu hazionekani la hasha na ndo maana kila order ina namba ,ilo suala eti utrade mwingne akilose ndo upewe uo ni uongo, broker yeye anapeleka oda in total sokoni kama ni za buyers or sellers so profit zinakuja wa broker in total or loss inaondoka tokea ktk loosing positions kwenda sokoni, kama broker ataamua kujifanya ye ndo soko sawa ila ni inategemea na type
Thus why ata umade 100ml dollar utalipwa zote
 
Duuh, hatuatai kwamba trades zetu hazionekani la hasha na ndo maana kila order ina namba ,ilo suala eti utrade mwingne akilose ndo upewe uo ni uongo, broker yeye anapeleka oda in total sokoni kama ni za buyers or sellers so profit zinakuja wa broker in total or loss inaondoka tokea ktk loosing positions kwenda sokoni, kama broker ataamua kujifanya ye ndo soko sawa ila ni inategemea na type
Thus why ata umade 100ml dollar utalipwa zote
Mwanangu we komaa na mt4 tu huku kwingine amna unachoelewa, hakunaga kitu kama forex market for retail hio haipo na haiwezi kuwepo, forex inafanyika kwa cash, labda nkusaidie kidogo
 

Attachments

  • 20240331_072553.jpg
    20240331_072553.jpg
    460.6 KB · Views: 45
Duuh, hatuatai kwamba trades zetu hazionekani la hasha na ndo maana kila order ina namba ,ilo suala eti utrade mwingne akilose ndo upewe uo ni uongo, broker yeye anapeleka oda in total sokoni kama ni za buyers or sellers so profit zinakuja wa broker in total or loss inaondoka tokea ktk loosing positions kwenda sokoni, kama broker ataamua kujifanya ye ndo soko sawa ila ni inategemea na type
Thus why ata umade 100ml dollar utalipwa zote
Elewa kwamba hakunaga kitu kama fx market mlidanganywa, hio ni biashara ya mabroker tu ila amnaga kitu kama fx market for retail, Wanaofanya forex kupata faida ni asilimia ndogo sana ya traders wote, 80% ya forex movements ni kwa ajili ya non profit, forex market ipo kwa ajili ya watu wenye hela kubwa sio na ni cash, mnachokosea nyie ni hamuelewi forex ni nn but mnaelezea kama mnaielewa sana, ukweli ni kwamba forex infanyika na asilimia ndogo sana ya watu duniani, wengine wote mnapoteza mda mtu, you can get lucky ila kupata maisha kwa forex ni asilimia ndogo sana na ata kama hupendi huezi fanya forex miaka zaidi ya 5 mfululizo ipo sku utachoka
 
Duuh, hatuatai kwamba trades zetu hazionekani la hasha na ndo maana kila order ina namba ,ilo suala eti utrade mwingne akilose ndo upewe uo ni uongo, broker yeye anapeleka oda in total sokoni kama ni za buyers or sellers so profit zinakuja wa broker in total or loss inaondoka tokea ktk loosing positions kwenda sokoni, kama broker ataamua kujifanya ye ndo soko sawa ila ni inategemea na type
Thus why ata umade 100ml dollar utalipwa zote
sio kila brocker anapeleka order zako kwenye soko anabaki nazo labda ukianza kuwa unamla sana ndio anaweza kukupeleka direct sokoni.
kuna brocker ambao hata deposite yao ni kubwa na direct sokoni
 
Anazungumzia miaka ya tisini
forex haiwezi fanyika digital, forex ni cash kwa cash mfano ukienda pale BOT utakuta kuna EX CHECKERS za dola, IOU za dola alafu utakuta tsh, ikitokea benki za biashara ama wafanya biashara wakubwa wanataka kufanya manunuzi nje basi BOT hana budi zaidi ya kuuza Tsh kwa central bank ingine apewe dola, anaweza kuingia kenya akawapa tsh wakampa dola na ndo rate ya $1 ~ 2800TZS inapotokea, sometimes tsh inaweza kuitajika zaidi ya dola the process goes around, ndo forex inavofanyika, anaything apart from apa unless unamiliki hedge fund basi ni utapeli na huwezi kufanikiwa kwa sababu unatapeliwa, kumbuka BOT alifanya trade bila kutegemea faida ila kiuhalisia tsh lazima iporomoke, kwa kua mmedandia forex basi endeleeni kubet vizuri ila huu mda tumia kufanya shuhuli zingine ambazo kwa miaka ya mbelen utakua umesogea kimaisha
 
Watu Wengi Wamepoteza Pesa Forex Kwa Kukurupuka Na Kutotaka Kupata Elimu Ya Forex.

Wanahisi Ni Biashara Ya Ku-download Pesa Mtandaoni
ivi we unadhan dunia nzima hawafanyi risk management? unadhan ni kitu kipya icho kwa watu wanaotrade? je wewe haufanyi risk management? huoni matokeo ni yale yale, unafanya risk management na unazungusha mtaji wenye mkopo
 
Back
Top Bottom