sometimesyes
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 360
- 288
Utam wa forex utapigwa sn mwanzoni na utakua mpweke sn na unwz karibia kupata nervous break down,lkn cku utakaposimama utarudisha pesa zote ulizowahi kupoteza,la mcng ni kutokata tamaa na kusurvive mpk ufikie malengoHasara ya kilimo au biashara nyingine ni tofauti na ya forex. Forex unaunguza mtaji wote wakati wowote lkn biashara nyingine angalau waweza kupata hasara lkn kuna mtaji utasalia.
Pm plzTufungue telegram page
Poa poa anzisha chat kisha tu tag majamaaPm plz
Wewe lazima uchome hio hela ya hao watakao kupaAccount management kuja inbox minmum deposit 100$ maximum 10000$
Akuna kitu kama icho nina exipiriensi na soko kwa miaka minne na ushee, kuchoma ni kawaida ila je umechomaje ,trendline mi za nini ilihali nikitizama chart najua price inelekea wapi,Wewe lazima uchome hio hela ya hao watakao kupa
Nina uhakika 100%
Huwa nawachukia sana nyie watu wa akaunti management na wazee wa robot hata wanaofundisha wengi mnatoa fake knowledge tu mambo ya juu juu tu
Usikute hata wewe unafanya acc management kwa trendline na support and resistance [emoji2][emoji1787]au indicator ya MACD Au moving average[emoji1787][emoji1787]
Nyie ndio vinara wa kuichafua FX duniani.
Kiuhalisia Fx haina tabu ila walimwemgu mnatabu sana
Soma ulichoandika mkuuAkuna kitu kama icho nina exipiriane
Kupigwa nje nje hapaAkuna kitu kama icho nina exipiriensi na soko kwa miaka minne na ushee, kuchoma ni kawaida ila je umechomaje ,trendline mi za nini ilihali nikitizama chart najua price inelekea wapi,
Najua liquidity areas,supply na demand a situmii indicator yoyote [emoji437], yan ukiangalia chart yangu ni nyeupe
Nani kawambia kutumia trendlines au indicator co trading[emoji38][emoji38].Akuna kitu kama icho nina exipiriensi na soko kwa miaka minne na ushee, kuchoma ni kawaida ila je umechomaje ,trendline mi za nini ilihali nikitizama chart najua price inelekea wapi,
Najua liquidity areas,supply na demand a situmii indicator yoyote [emoji437], yan ukiangalia chart yangu ni nyeupe
Nipe chart yako moja niisome na uniambie una speculate price itakwenda wapi na kwa sababu zipiAkuna kitu kama icho nina exipiriensi na soko kwa miaka minne na ushee, kuchoma ni kawaida ila je umechomaje ,trendline mi za nini ilihali nikitizama chart najua price inelekea wapi,
Najua liquidity areas,supply na demand a situmii indicator yoyote [emoji437], yan ukiangalia chart yangu ni nyeupe
Ni kupendelea ila s lazima maana kama unaona peaks kwa kuangali tu kuweka n ulemboNani kawambia kutumia trendlines au indicator co trading[emoji38][emoji38].
Yeyote anayetumia makitu hana maisha marefu sokoni atapigwa tu iko sikuNani kawambia kutumia trendlines au indicator co trading[emoji38][emoji38].
Kuandika tu tabu halafu anataka a manage pesa za watu πSoma ulichoandika mkuu
Typing eKuandika tu tabu halafu anataka a manage pesa za watu π
Hahahahahaa ndio maana nikasema wewe ni amateur tu huna maisha maisha marefu sokoni
Ili kuwa amature inahitaji miaka mingapi, mi nina avarage miaka 5 sokoni, real acc yangu nimefungua 2017 ,kinachosababisha kuchoma ni possition sizing na kutokujua entry zako na kujuwa soko linaenda wapi kwanza kabla ya wapi,Hahahahahaa ndio maana nikasema wewe ni amateur tu huna maisha maisha marefu sokoni
Watakuchapa soon.
Wewe ni amateur trader [emoji2][emoji1787][emoji3577].
Achana na hawa waliokaririshwa na mamentor kwamba indicator ni useless ktk fx. Hakuna best strategy kwenye fx kila strategy ina work. Kikubwa ni saikolojia yako tu.Nani kawambia kutumia trendlines au indicator co trading[emoji38][emoji38].
Ikiwa zilikuwa za urisi kwa hiyo aendeleze maombi ili apate misiba zaidi au sio?ushauri wa kwanza kabisa tunaotoa hapa JF kwa matukio kama haya ni kukwambia komaa na shughuli iliyokupatia dola 300 ulioanza nayo
ππ unanisemaa jamaaaWhat happen is
Unasema "daah hapa nimekosea kidogo, ngoja niweke nideposit tena, safari hii nitakua makini"
And you become fucked up again