Forex Trade imeniumiza

Forex Trade imeniumiza

Hasara ya kilimo au biashara nyingine ni tofauti na ya forex. Forex unaunguza mtaji wote wakati wowote lkn biashara nyingine angalau waweza kupata hasara lkn kuna mtaji utasalia.
Utam wa forex utapigwa sn mwanzoni na utakua mpweke sn na unwz karibia kupata nervous break down,lkn cku utakaposimama utarudisha pesa zote ulizowahi kupoteza,la mcng ni kutokata tamaa na kusurvive mpk ufikie malengo
 
Account management kuja inbox minmum deposit 100$ maximum 10000$
Wewe lazima uchome hio hela ya hao watakao kupa

Nina uhakika 100%

Huwa nawachukia sana nyie watu wa akaunti management na wazee wa robot hata wanaofundisha wengi mnatoa fake knowledge tu mambo ya juu juu tu

Usikute hata wewe unafanya acc management kwa trendline na support and resistance [emoji2][emoji1787]au indicator ya MACD Au moving average[emoji1787][emoji1787]

Nyie ndio vinara wa kuichafua FX duniani.

Kiuhalisia Fx haina tabu ila walimwemgu mnatabu sana
 
Wewe lazima uchome hio hela ya hao watakao kupa

Nina uhakika 100%

Huwa nawachukia sana nyie watu wa akaunti management na wazee wa robot hata wanaofundisha wengi mnatoa fake knowledge tu mambo ya juu juu tu

Usikute hata wewe unafanya acc management kwa trendline na support and resistance [emoji2][emoji1787]au indicator ya MACD Au moving average[emoji1787][emoji1787]

Nyie ndio vinara wa kuichafua FX duniani.

Kiuhalisia Fx haina tabu ila walimwemgu mnatabu sana
Akuna kitu kama icho nina exipiriensi na soko kwa miaka minne na ushee, kuchoma ni kawaida ila je umechomaje ,trendline mi za nini ilihali nikitizama chart najua price inelekea wapi,

Najua liquidity areas,supply na demand a situmii indicator yoyote 🔭, yan ukiangalia chart yangu ni nyeupe
 
Akuna kitu kama icho nina exipiriensi na soko kwa miaka minne na ushee, kuchoma ni kawaida ila je umechomaje ,trendline mi za nini ilihali nikitizama chart najua price inelekea wapi,

Najua liquidity areas,supply na demand a situmii indicator yoyote [emoji437], yan ukiangalia chart yangu ni nyeupe
Kupigwa nje nje hapa
 
Akuna kitu kama icho nina exipiriensi na soko kwa miaka minne na ushee, kuchoma ni kawaida ila je umechomaje ,trendline mi za nini ilihali nikitizama chart najua price inelekea wapi,

Najua liquidity areas,supply na demand a situmii indicator yoyote [emoji437], yan ukiangalia chart yangu ni nyeupe
Nani kawambia kutumia trendlines au indicator co trading[emoji38][emoji38].
 
Akuna kitu kama icho nina exipiriensi na soko kwa miaka minne na ushee, kuchoma ni kawaida ila je umechomaje ,trendline mi za nini ilihali nikitizama chart najua price inelekea wapi,

Najua liquidity areas,supply na demand a situmii indicator yoyote [emoji437], yan ukiangalia chart yangu ni nyeupe
Nipe chart yako moja niisome na uniambie una speculate price itakwenda wapi na kwa sababu zipi
 
Screenshot_20220412-161106.png
 
Hahahahahaa ndio maana nikasema wewe ni amateur tu huna maisha maisha marefu sokoni

Watakuchapa soon.

Wewe ni amateur trader [emoji2][emoji1787][emoji3577].
Ili kuwa amature inahitaji miaka mingapi, mi nina avarage miaka 5 sokoni, real acc yangu nimefungua 2017 ,kinachosababisha kuchoma ni possition sizing na kutokujua entry zako na kujuwa soko linaenda wapi kwanza kabla ya wapi,

Mtu una 10000$unatumia 0.20-0.50 unachoma ukitaka total isizid 1.50lot alafu sibahatishi strategy yangu ni very simple h

Screenshot_20220413-153257.png
 
Back
Top Bottom