Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
hauwezi kuongea bila matusi?We are in 2019 you idiot, acha kutuletea news za 2018.
Haya tuhamie kwenye mchele sababu kwenye mahindi umeshindwa kuleta ushahidi siku mliuziwa 100kg kwa 680
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hauwezi kuongea bila matusi?We are in 2019 you idiot, acha kutuletea news za 2018.
According to you and your padlocks, sindio?
Hahah ukweli mnapenda kupinga,
Huwa mnajigamba hapa vile nchi yenu ni cheap but Kwa ground vitu ni different,,,
Nchi pekee east Africa with cheap stuffs ya ukweli ni UGANDA,
wengine wote ni waongo despite being LDCs with less salaries
2kg Kenya ni between 100-130 depending na type ya flour,,,
Kwa jirani sahii inaenda kuwa 160!!!!!
hauwezi kuongea bila matusi?
Haya tuhamie kwenye mchele sababu kwenye mahindi umeshindwa kuleta ushahidi siku mliuziwa 100kg kwa 680
Hahah ukweli mnapenda kupinga,
Huwa mnajigamba hapa vile nchi yenu ni cheap but Kwa ground vitu ni different,,,
Nchi pekee east Africa with cheap stuffs ya ukweli ni UGANDA,
wengine wote ni waongo despite being LDCs with less salaries
We are in 2019 you idiot, acha kutuletea news za 2018.
hali halisi ya vyakula Tanzania nzima hii hapaPrice of rice in Kenya depends with type and grade.
Leta picha hapa. Kwani mimi nilikuambia upitie website?
Hilo mbona lipo wazi, wenzako wanajua wewe tu ndiyo huna taarifa. Tafuta info siyo unakaa kubisha bisha tu. Vipi kuhusu unga kutengenezwa Nairobi! Hilo umeamua kulikaushia. Tz vijijini unga ni bei rahisi kuliko Dar siku zote. Kila kijiji kina kiwanda kidogo cha kusaga na kukoboa. Mkulima akipata mazao, anasaga yamatumizi yake then ziada ndiyo anauza. Ndiyo maana ni ngumu sana kukuta vijijini watu wana njaa mpaka wanakufa. Ukisika njaa basi jua mavuno yalikua pungufu so pesa itawapiga chenga ila siyo chakula. Kenya mnamengi ya kujifunza Tanzania.
Hawajui kuwa vijijini watu wanamiliki mashine ndogo ndogo za kusaga nafaka na kukoboa,
Mtu ana magunia yake ya kutosha ndani,
Unga ukiisha anapima zake debe anaenda kusaga zake unga.
hauwezi kuongea bila matusi?
Haya tuhamie kwenye mchele sababu kwenye mahindi umeshindwa kuleta ushahidi siku mliuziwa 100kg kwa 680
Mmepewa video inaonesha matibabu yatolewayo.Hawana kitu hawa...ni mijengo empty, ndp manake anazunguka zunguka tu
Kwan yey huongelea nn.?Tunaongelea current issues...hta mimi nimeshwai nunua mkate ksh 18 na sai ni zaidi
Mmepewa video inaonesha matibabu yatolewayo.
Na km kungekuwa hakuna vifaa bas hayo matibabu yasingetolewa.
TANZANIA is all set to become a hub of advanced cardiovascular treatment in East Africa and Sub- Saharan Africa. This has been possible with the expansion of the Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) at Mloganzila, which is intended to be a centre of excellence in the region.Hawana kitu hawa...ni mijengo empty, ndp manake anazunguka zunguka tu
Kwan si mmeekewa video kule juu!!?Leta picha tuvione hvyo vifaa km vile tunawapa huku sisi
Saivi ni sh ngapi?Tunaongelea current issues...hta mimi nimeshwai nunua mkate ksh 18 na sai ni zaidi
Just because vimashine vyenu uchwara vinasaga unga mchafu wenye taka usidhani kila mahali wanasaga unga mchafu wenye taka kama huko kwenu,Kwn kenya ndio hakuna hzo mashine za kusaga unga...
Mbna mna argue kijinga hvo, unalinganisha unga wa kutoka viwandani km vile taifa unakuja taka ulinganishe na vimashine vya kusaga mahindi vijijini..kheee...
Elimu mhimu jamaa[emoji1787][emoji1787]
Just because vimashine vyenu uchwara vinasaga unga mchafu wenye taka usidhani kila mahali wanasaga unga mchafu wenye taka kama huko kwenu,
Nyie ni wachafu ndio maana vimashine vyenu vinawasagia unga mchafu.
Saivi ni sh ngapi?