Forget about Nairobi's Kenyatta teaching hospital, these are Kenya's county referral hospitals

Forget about Nairobi's Kenyatta teaching hospital, these are Kenya's county referral hospitals

Umeadilisha gear tena...sai imekua mashine tunazo lkn ni zianasaga unga mchafu[emoji1787][emoji1787]

Duh!!bongo mmechanganywa sana na zile show za wanasiasa wenu majukwaani
Hizo viwanda vidogo vidogo kule vijijini wanaita mashine,
Utakuta zimeandikwa mashine ya kusaga na kukoboa,
Afadhali wanasiasa wetu kuliko hao tangatanga wenu.
 
We endelea kutapa tapa tu..ile siku unga utapungua bei rudi hapa upige domo
Hizo viwanda vidogo vidogo kule vijijini wanaita mashine,
Utakuta zimeandikwa mashine ya kusaga na kukoboa,
Afadhali wanasiasa wetu kuliko hao tangatanga wenu.
 
Kwan kule juu video hukuziona.
Yan video inaonesha watu wanaopatiwa matibabu utasemaje vifaa hamna?
Duh asee hii kweli Kenya
Amini vyvyote vile...lkn ukwel inatakiwa unaleta hospitali pamoja na vifaa vyake
 
Kweli kabisa...hawa hapa, wako vizuri sana
Hizo viwanda vidogo vidogo kule vijijini wanaita mashine,
Utakuta zimeandikwa mashine ya kusaga na kukoboa,
Afadhali wanasiasa wetu kuliko hao tangatanga wenu.
FB_IMG_15639614934384323.jpeg
 
Unga gani tz ni 3000 kilo mbona muongo wewe??
Huu uongo umeutolea wap
Heheeee[emoji1787][emoji1787]naona umepata pa kutokea ndio manake unauliza swali haraka haraka ndio tupotezee mada ya unga..

Mada ni unga tz 160
Kenya 130
 
Hyo video imeonyesha vifaa vya hzo hospitali 94...
Sasawa nimekuelewa...vifaa mnavyo vingi tu kumbe
Kwan kule juu video hukuziona.
Yan video inaonesha watu wanaopatiwa matibabu utasemaje vifaa hamna?
Duh asee hii kweli Kenya
 
Basi msifananishe kwenu na kwetu.
Kwetu tuna mashine za kukobolea na kusagia unga ulio safi kwaajili ya matumiz ya binadam.
Usifosi tufanane.
Umeadilisha gear tena...sai imekua mashine tunazo lkn ni zianasaga unga mchafu[emoji1787][emoji1787]

Duh!!bongo mmechanganywa sana na zile show za wanasiasa wenu majukwaani
 
Taita Taveta referral county hospital

ob_545b37_moi-hospital.jpg


CuIKyN7-dNV9XTutduLdiRlafhwGplTGp376ylzWYrRc1mj0qIzkQXZLZ_9pHUvLKrVPLEAPoTgjGPTCanoh2hdqsPvi


moi.jpg


Hawa hu-cross border kuja Kilimanjaro kutibiwa! sishangai kama referral hospitals zipo hivi Kenya! In Tanzania referral hospitals are well respected!
Wewe bado hujaumwa au kuuguliwa na ndugu yako wa karibu kisawasawa. Siku yakikuta atatamani kwenda popote kusaka tiba.

Usiwabeze wakenya wanaovuka mpaka kuja Tanzania kutafuta tiba, ni maisha tu, majirani tupendane na kusaidiana tu. Ndio utu na ubinadamu, leo kwangu, kesho kwako.
 
Gatundu district hospitalView attachment 1251449
Umeona hizo hospitali? Zina hadhi nzuri sasa huku Tzn hospitali za wilaya zina vimajengo kama zahanati au health centre
Kwa nini kusiwe na standard hospitali za ngazi ya wilaya ziwe za ghorofa hadi referral na ngazi ya kata hadi kijiji ziwe za majengo ya chini.tzn inatia aibu,,ukija kwenye ambulance unatafuta kea tochi wakati hizo za kenya unaona majengo na ambulance za kumwaga
 
Hta failed state vitu hvyo vipo..
Basi msifananishe kwenu na kwetu.
Kwetu tuna mashine za kukobolea na kusagia unga ulio safi kwaajili ya matumiz ya binadam.
Usifosi tufanane.
 
Wacha maswali mengi..unga tanzania umepanda sana kw sasa..kilo sai ni tsh 1800, kilo mbili inakuja tsh 3600..
Ksh 160 ni sawia na 3520 kw madafu...

Enhee, umenielewa sasa
160 ksh sawasawa na shingap ya kitanzania???
Nijibu.
 
Back
Top Bottom