Kazi sana mpaka kupata muunganikoHata ww ukiamua unaweza unafuatilia kesi mahakamani unasoma papers za kesi mahakamani.....pia uwe na watu wanakutumia information za tukio unalotaka hasa kutoka kwenye mitandao...... kisha uwe na uwezo wa kuandika
Alileta yeye na si braza Bony?🤔Yeye ndio aliwaleta awali kuwa ni watekaji kisha akaja kusema taarifa ile alilolipata ililenga kupotosha ,ni muongo muongo tu
USSR
Jaribu kama unaweza halafu uje utuonyeshe na followers utakaokuwa umewapata.Mzee wa kuunga unga story tu ndio maana watu kumkosoa sana kwenye mabandiko yake akikosea majina ,tarehe,miaka, eneo, hata taarifa za msingi ,nimchumia tumbo tu kama anavyojiita hand to mouth,
Alisema afande yupo msata Kihangaiko baadaye akaja eti yuko Dodoma
USSR
Yeye kina Bon minyama wanatoa kwake si ni nyumbu waleAlileta yeye na si braza Bony?🤔
Mkuu Fortunatus Buyobe unaitwa huku. Ila hata kama unaogopa kujibu kwa ID hii tumia hata ile ingine ambayo ni anonymousMbona humu ana account inayojulikana tofauti na ulivyosema ana account yenye pseudo name huyu hapa Fortunatus Buyobe
Unamwacha huko unakuja kuulizia huku?View attachment 3079709View attachment 3079710 Hiyo ndiyo profile yake ya kwenye mtandao wa X zamani Twitter pia ana akounti Telegram. Mimi ni mfuasi wa makala zake. Kwa nia njema tu najiuliza huyu gwiji yuko smart sana katika kuleta taarifa za matukio ya zamani (mfano kifo cha Billionaire Msuya) na hata yenye utata kama sasa tunapowatafuta akina Deusdedith Soka.
Anatoa taarifa za ndani sana zinazoungaisha Polisi, Mahakama, Magereza na hata TISS. Je ni nani? Aanapata wapi taarifa? Mbona hasumbuliwi na vyombo vya dola katika kutoa hizi taarifa?
Najua na Buyobe pia yupo hunu JF kwa akaunti nisiyoijua
Wivu, chuki .. AchaMzee wa kuunga unga story tu ndio maana watu kumkosoa sana kwenye mabandiko yake akikosea majina ,tarehe,miaka, eneo, hata taarifa za msingi ,nimchumia tumbo tu kama anavyojiita hand to mouth,
Alisema afande yupo msata Kihangaiko baadaye akaja eti yuko Dodoma
USSR
unataka ujue maisha ya watu yanini nakwanini ili iweje mwache na ujuzi wakeKama huna cha kukoment tulia
Kumbe wewe hujaanzisha mada sasa kihere here chanini sasaKama huna cha kukoment tulia
Umenikumbusha mbali sana kipindi hicho tunastragle kupata force number...Raia wa kawaida tu wala hana force namba