Fortunatus Buyobe ni nani na anapata wapi taarifa nyeti?

Fortunatus Buyobe ni nani na anapata wapi taarifa nyeti?

Hiyo ndiyo profile yake ya kwenye mtandao wa X zamani Twitter pia ana akounti Telegram. Mimi ni mfuasi wa makala zake. Kwa nia njema tu najiuliza huyu gwiji yuko smart sana katika kuleta taarifa za matukio ya zamani (mfano kifo cha Billionaire Msuya) na hata yenye utata kama sasa tunapowatafuta akina Deusdedith Soka.

Anatoa taarifa za ndani sana zinazoungaisha Polisi, Mahakama, Magereza na hata TISS. Je, ni nani? Aanapata wapi taarifa? Mbona hasumbuliwi na vyombo vya dola katika kutoa hizi taarifa?

Najua na Buyobe pia yupo hunu JF kwa akaunti nisiyoijua
Mkuu ntaipata wapi taarifa yake kuhusu billionaire Msuya.
 
Hiyo ndiyo profile yake ya kwenye mtandao wa X zamani Twitter pia ana akounti Telegram. Mimi ni mfuasi wa makala zake. Kwa nia njema tu najiuliza huyu gwiji yuko smart sana katika kuleta taarifa za matukio ya zamani (mfano kifo cha Billionaire Msuya) na hata yenye utata kama sasa tunapowatafuta akina Deusdedith Soka.

Anatoa taarifa za ndani sana zinazoungaisha Polisi, Mahakama, Magereza na hata TISS. Je, ni nani? Aanapata wapi taarifa? Mbona hasumbuliwi na vyombo vya dola katika kutoa hizi taarifa?

Najua na Buyobe pia yupo hunu JF kwa akaunti nisiyoijua
Ana account humu JF kama britanicca
 
Buyobe wa kawaida sana. Taarifa alizo nazo za kawaida sana mtu yeyote akiamua anazipata. Pia Buyobe ni bingwa wa kunakili makala za watu. Hana tofauti na Yericko Nyerere alivyokopi makala za watu na kuziunganisha pamoja hadi kupata kitabu cha ujasusi wa kidola. Hana upekee wowote. Ni mchumia tumbo.
 
Buyobe wa kawaida sana. Taarifa alizo nazo za kawaida sana mtu yeyote akiamua anazipata. Pia Buyobe ni bingwa wa kunakili makala za watu. Hana tofauti na Yericko Nyerere alivyokopi makala za watu na kuziunganisha pamoja hadi kupata kitabu cha ujasusi wa kidola. Hana upekee wowote. Ni mchumia tumbo.
Naunga mkono hoja

Ova
 
Buyobe wa kawaida sana. Taarifa alizo nazo za kawaida sana mtu yeyote akiamua anazipata. Pia Buyobe ni bingwa wa kunakili makala za watu. Hana tofauti na Yericko Nyerere alivyokopi makala za watu na kuziunganisha pamoja hadi kupata kitabu cha ujasusi wa kidola. Hana upekee wowote. Ni mchumia tumbo.
Moja kati ya vitu vinavyompa huu umaarufu ni kukopi na kusimuliwa, huwezi kupeleleza information's kimyakimya huna utakachoambulia,
Mtaji uwe na mtaji wa watu wa aina hizi

1.Wanaoongea sana,

Hapa huwa zipo stori nyingi za uongo na ukweli,kazi ni kwako kuchuja,kuwianisha,kuunganisha na kuipa taarifa uthibitisho.

2.Wenye hasira na uchungu

Hawa mara nyingi husema vitu real sana,ikiwemo kuikosoa serikali na taasisi za kijamii nyingi ni wasema ukweli sana.

3.Wajasiriamali wadogowadogo

Hapa Kuna taarifa kibao na mastori ya kufa mtu haswa pale baadhi yao wakikaribia kufilisika wanaropoka mambo mengi sana,

4.Watu waliodata (wasiwe machizi kabisa)

Mtu aliyepoteza ajira,familia au Mali nyingi Kuna namna huhitaji Psychologist ili kuwa sawa,
Sasa Hawa watu nao huwa wanaongea vitu adimu ambapo jamii huwachukulia poa lakini ni watu muhimu haswa kama waliwahi kuwa nafasi nyeti (kwangu Hawa ndiyo Kila kitu)kazi ni kwako kuchuja pumba na mchele.

5.Watumishi waliokaa makazini muda mrefu bila kupandishwa madaraja

Hawa wana taarifa nyingi sana.ukikaa nao utawajua.

6.Wastaafu ambao hawakutumia viinua mgongo vyao vizuri,Hawa maisha huwa yanawapelekesha mno ,Sasa kaa nao,wanalaumu Kila dakika

7.Waliopewa Madaraka makubwa kushinda uwezo wao,Hawa mbona easy tu,kazi ni kumualika maeneo ya starehe tu.

Kingine ili uweze kupata info kibao,jifunze vitu vingi hata kama hukuvisomea.kisha Fanya huku ukionesha upo serious navyo

_Chukua daladala lako endesha mwenyewe kutwa nzima,mpumzishe dereva wako

_bustani zako lima kwa mkono wako usipende kuweka vibarua

_Usichague vyakula vya uswazi usiruhusu kinyaa,wewe piga tu

_Salimia yeyote,shusha vioo vya gari salimia,ulizia hata njia unayoifahamu

_Tengeneza mazingira ili uulizwe maswali, zima hata gari lako Kisha mwambie fundi gari haliwaki.halafu kama kimya sikilizia.

_Kunywa wine halafu nenda mtaa mwingine igiza umelewa haina mfano.

Hebu nisiwachoshe siku yenye mbaya hii jumatatu Gani hii haina hata......
 
Hiyo ndiyo profile yake ya kwenye mtandao wa X zamani Twitter pia ana akounti Telegram. Mimi ni mfuasi wa makala zake. Kwa nia njema tu najiuliza huyu gwiji yuko smart sana katika kuleta taarifa za matukio ya zamani (mfano kifo cha Billionaire Msuya) na hata yenye utata kama sasa tunapowatafuta akina Deusdedith Soka.

Anatoa taarifa za ndani sana zinazoungaisha Polisi, Mahakama, Magereza na hata TISS. Je, ni nani? Aanapata wapi taarifa? Mbona hasumbuliwi na vyombo vya dola katika kutoa hizi taarifa?

Najua na Buyobe pia yupo hunu JF kwa akaunti nisiyoijua
Kwani hilo jina analo tumia huko X siyo jina lake sahihi mkuu 'Stuxnet'? Kwa nini uulize ni nani tena?

Hata kama yumo humu JF kwa jina jingine, mbona ni rahisi kumjuwa kama tayari unajuwa mwandiko wake ulivyo?

Wewe yote hayo unayo msifia umeyaona huko X pekee, au kuna mahala kwingine pia ulipo yaona kayaweka?

Lakini nahofia, isije ikawa huu ndio mwanzo wa mwisho wake, maanake mambo ya siku hizi ukianza kuwekewa alama tu... "Unapotea"; na polisi hawana habari nawe tena.
 
Wengi wamejibu hadi sasa ila hamjawapa nafasi, chukueni hili, vyvyte buyobe alivyo, awe mtu wa aina yyte, polisi, mtu aliyefukuzwa kazi, huyu jamaa ni google user mzuri sana, plus ana taarifa ya nini afanye. Kupata taarifa nyingi, mfano, yeye anaweza sikia jina direct akagoogle, na asipogoogle kapotea, anaonganisha sana maatukio, hana tukio alilowahi kulitoa kama yeye, (nadhani hapa haata mange kimambi kamshinda, first info before event) Huyu laiti kama angepata watu wengi wakumpa info angekua balaa, ni mwamba mzuri wa narration, inakuvuta unamfata hata kwa kulipia, story ya msuya na wengine, wengi wanazifahamu vizuri, story ni nyingi but who will bring it to your mouth,
Buyobe ni storryteller, huyu kama enzi za shigongo though hajamfikia,
Sasa sasahivi anacheza na trend, hapo ndio patamu na anapowaweza wajinga,
Ni kama boniface mayor yule, amejua kushika hisia za watu through storytelling na vijana wa X wanaokotwa kweli kweli.
Ila ni mtu tu wa kawaida na story zale za kaawaida, hana lakumfanya akamatwe, labda akijikanyaga siku.
 
Mzee wa kuunga unga story tu ndio maana watu kumkosoa sana kwenye mabandiko yake akikosea majina ,tarehe,miaka, eneo, hata taarifa za msingi ,nimchumia tumbo tu kama anavyojiita hand to mouth,

Alisema afande yupo msata Kihangaiko baadaye akaja eti yuko Dodoma

USSR
Huyu bwana nlimshusha vyeo alipokua anacopy mpaka nukta story ya ya kijasusi hapa jf afu analipisha watu huko X na telegram.

Jamaa akisimama kupost nae kule anasimama, akiendeleza analipisha watu bukubuku.
 
Buyobe wa kawaida sana. Taarifa alizo nazo za kawaida sana mtu yeyote akiamua anazipata. Pia Buyobe ni bingwa wa kunakili makala za watu. Hana tofauti na Yericko Nyerere alivyokopi makala za watu na kuziunganisha pamoja hadi kupata kitabu cha ujasusi wa kidola. Hana upekee wowote. Ni mchumia tumbo.
Kwanini wewe usiwe na kitu kama hicho? Kwani unadhani hata wale waandishi kwakubwa kama James Hadley Chase walikuwa wanatunga hadithi zao zote wenyewe?

Hata kama tunabeza lakini tayari Fortunatus Buyobe ni brand kubwa. Kama huamini jaribu na wewe uanze kukusanya kama yeye uone kama utapata followers
 
Moja kati ya vitu vinavyompa huu umaarufu ni kukopi na kusimuliwa, huwezi kupeleleza information's kimyakimya huna utakachoambulia,
Mtaji uwe na mtaji wa watu wa aina hizi

1.Wanaoongea sana,

Hapa huwa zipo stori nyingi za uongo na ukweli,kazi ni kwako kuchuja,kuwianisha,kuunganisha na kuipa taarifa uthibitisho.

2.Wenye hasira na uchungu

Hawa mara nyingi husema vitu real sana,ikiwemo kuikosoa serikali na taasisi za kijamii nyingi ni wasema ukweli sana.

3.Wajasiriamali wadogowadogo

Hapa Kuna taarifa kibao na mastori ya kufa mtu haswa pale baadhi yao wakikaribia kufilisika wanaropoka mambo mengi sana,

4.Watu waliodata (wasiwe machizi kabisa)

Mtu aliyepoteza ajira,familia au Mali nyingi Kuna namna huhitaji Psychologist ili kuwa sawa,
Sasa Hawa watu nao huwa wanaongea vitu adimu ambapo jamii huwachukulia poa lakini ni watu muhimu haswa kama waliwahi kuwa nafasi nyeti (kwangu Hawa ndiyo Kila kitu)kazi ni kwako kuchuja pumba na mchele.

5.Watumishi waliokaa makazini muda mrefu bila kupandishwa madaraja

Hawa wana taarifa nyingi sana.ukikaa nao utawajua.

6.Wastaafu ambao hawakutumia viinua mgongo vyao vizuri,Hawa maisha huwa yanawapelekesha mno ,Sasa kaa nao,wanalaumu Kila dakika

7.Waliopewa Madaraka makubwa kushinda uwezo wao,Hawa mbona easy tu,kazi ni kumualika maeneo ya starehe tu.

Kingine ili uweze kupata info kibao,jifunze vitu vingi hata kama hukuvisomea.kisha Fanya huku ukionesha upo serious navyo

_Chukua daladala lako endesha mwenyewe kutwa nzima,mpumzishe dereva wako

_bustani zako lima kwa mkono wako usipende kuweka vibarua

_Usichague vyakula vya uswazi usiruhusu kinyaa,wewe piga tu

_Salimia yeyote,shusha vioo vya gari salimia,ulizia hata njia unayoifahamu

_Tengeneza mazingira ili uulizwe maswali, zima hata gari lako Kisha mwambie fundi gari haliwaki.halafu kama kimya sikilizia.

_Kunywa wine halafu nenda mtaa mwingine igiza umelewa haina mfano.

Hebu nisiwachoshe siku yenye mbaya hii jumatatu Gani hii haina hata......
Asante ndugu, ila ningefurahi kujuwa wewe unaingia kundi gani hapo
 
Hiyo ndiyo profile yake ya kwenye mtandao wa X zamani Twitter pia ana akounti Telegram. Mimi ni mfuasi wa makala zake. Kwa nia njema tu najiuliza huyu gwiji yuko smart sana katika kuleta taarifa za matukio ya zamani (mfano kifo cha Billionaire Msuya) na hata yenye utata kama sasa tunapowatafuta akina Deusdedith Soka.

Anatoa taarifa za ndani sana zinazoungaisha Polisi, Mahakama, Magereza na hata TISS. Je, ni nani? Aanapata wapi taarifa? Mbona hasumbuliwi na vyombo vya dola katika kutoa hizi taarifa?

Najua na Buyobe pia yupo hunu JF kwa akaunti nisiyoijua
Mmoja wa NYOKA wa PAKA angalia morphology, angalia jina lake la Mwisho.

Mzee wa umshirikirano
 
Kwani hilo jina analo tumia huko X siyo jina lake sahihi mkuu 'Stuxnet'? Kwa nini uulize ni nani tena?

Hata kama yumo humu JF kwa jina jingine, mbona ni rahisi kumjuwa kama tayari unajuwa mwandiko wake ulivyo?

Wewe yote hayo unayo msifia umeyaona huko X pekee, au kuna mahala kwingine pia ulipo yaona kayaweka?

Lakini nahofia, isije ikawa huu ndio mwanzo wa mwisho wake, maanake mambo ya siku hizi ukianza kuwekewa alama tu... "Unapotea"; na polisi hawana habari nawe tena.
Hapana Mkuu mimi ni raia mwema ninayekubali kazi zake. Usiwaze vingine
 
Back
Top Bottom