Wengi wamejibu hadi sasa ila hamjawapa nafasi, chukueni hili, vyvyte buyobe alivyo, awe mtu wa aina yyte, polisi, mtu aliyefukuzwa kazi, huyu jamaa ni google user mzuri sana, plus ana taarifa ya nini afanye. Kupata taarifa nyingi, mfano, yeye anaweza sikia jina direct akagoogle, na asipogoogle kapotea, anaonganisha sana maatukio, hana tukio alilowahi kulitoa kama yeye, (nadhani hapa haata mange kimambi kamshinda, first info before event) Huyu laiti kama angepata watu wengi wakumpa info angekua balaa, ni mwamba mzuri wa narration, inakuvuta unamfata hata kwa kulipia, story ya msuya na wengine, wengi wanazifahamu vizuri, story ni nyingi but who will bring it to your mouth,
Buyobe ni storryteller, huyu kama enzi za shigongo though hajamfikia,
Sasa sasahivi anacheza na trend, hapo ndio patamu na anapowaweza wajinga,
Ni kama boniface mayor yule, amejua kushika hisia za watu through storytelling na vijana wa X wanaokotwa kweli kweli.
Ila ni mtu tu wa kawaida na story zale za kaawaida, hana lakumfanya akamatwe, labda akijikanyaga siku.