Fortunatus Buyobe ni nani na anapata wapi taarifa nyeti?

Issue ya Bilionea Msuya inaanzia Alliance One kwa "nyoka" wa madini, inakwenda gerezani Babati alikofungwa mastermind wa mauaji.

Kisha inarudi mtaani kwa muuza vocha na simkad aliyesajili laini ya simu iliyotumika kumleta Msuya kwa muuza madini. Na inatpeleka kwa mmasai mchunga ng'ombe wa KIA aliyeshuhudia risasi zikipigwa
 
Shigongo ni wa kukopi hadithi za kutunga, huyu Buyobe ana narrate matukio halisi.

Unamkosea sana Buyobe
Shigongo alishasema mtu yeyote atakayeweza kufichua anapokopi hadithi zake atapata zawadi nono ya pesa taslimu. Kwanini usiende kuchukua hizo pesa? Buyobe mara ngapi waandishi wamemlalamikia kukopi makala zao?
 
Nadhan u unataka kuvu
We unataka mafail yako yaanuliwe yawekwe hadharan huyu mtu achana naye atakufukunyua mpaka utosini
Anamiliki satelite yake inatwa
Sogelea telegram
 
We ulijua kabla kuwa ni afande? And so far afande alikuwa hapo kihangaiko kabla hajapelekwa dodoma
 
Self promotion gala
 
Anaetaka taarifa za makonda aje analala wap anamichepuko mingap nk njoen pm kutoa taarifa moja milion 5 sina hela saiv acha niwe chawa
 
Anaetaka taarifa za makonda aje analala wap anamichepuko mingap nk njoen pm kutoa taarifa moja milion 5 sina hela saiv acha niwe chawa
Makonda ana michepuko? Kwani anasimamisha? Yule towashi tu
 
Enzi za Mwanahalisi na Mawio
Umenikumbusha mbaali 2012 nilisoma kisa cha yule dactar ulimboka aliyetekwa na kina igondwe sasa mbunge nilikuwa nasafir toka ubungo kwenda kibaha niliogopa sana hadi nashuka pale mail moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…