Issue ya Bilionea Msuya inaanzia Alliance One kwa "nyoka" wa madini, inakwenda gerezani Babati alikofungwa mastermind wa mauaji.Kwa kuwa yumo humu, naamini atapata muda wa kukujibu. Ila suala la bilionea Msuya inaweza kuwa ni ushahidi unaotolewa mahakamani wakati wa kesi.
Ila jamaa ni mahiri sana wa kusimulia kwa maandishi pamoja na kupangilia matukio kwa namna fulani ya kujenga suspense kwa msomaji wake.
Ova
Shigongo alishasema mtu yeyote atakayeweza kufichua anapokopi hadithi zake atapata zawadi nono ya pesa taslimu. Kwanini usiende kuchukua hizo pesa? Buyobe mara ngapi waandishi wamemlalamikia kukopi makala zao?Shigongo ni wa kukopi hadithi za kutunga, huyu Buyobe ana narrate matukio halisi.
Unamkosea sana Buyobe
Nadhan u unataka kuvuHiyo ndiyo profile yake ya kwenye mtandao wa X zamani Twitter pia ana akounti Telegram. Mimi ni mfuasi wa makala zake. Kwa nia njema tu najiuliza huyu gwiji yuko smart sana katika kuleta taarifa za matukio ya zamani (mfano kifo cha Billionaire Msuya) na hata yenye utata kama sasa tunapowatafuta akina Deusdedith Soka.
Anatoa taarifa za ndani sana zinazoungaisha Polisi, Mahakama, Magereza na hata TISS. Je, ni nani? Aanapata wapi taarifa? Mbona hasumbuliwi na vyombo vya dola katika kutoa hizi taarifa?
Najua na Buyobe pia yupo hunu JF kwa akaunti nisiyoijua
We unataka mafail yako yaanuliwe yawekwe hadharan huyu mtu achana naye atakufukunyua mpaka utosiniHiyo ndiyo profile yake ya kwenye mtandao wa X zamani Twitter pia ana akounti Telegram. Mimi ni mfuasi wa makala zake. Kwa nia njema tu najiuliza huyu gwiji yuko smart sana katika kuleta taarifa za matukio ya zamani (mfano kifo cha Billionaire Msuya) na hata yenye utata kama sasa tunapowatafuta akina Deusdedith Soka.
Anatoa taarifa za ndani sana zinazoungaisha Polisi, Mahakama, Magereza na hata TISS. Je, ni nani? Aanapata wapi taarifa? Mbona hasumbuliwi na vyombo vya dola katika kutoa hizi taarifa?
Najua na Buyobe pia yupo hunu JF kwa akaunti nisiyoijua
We ulijua kabla kuwa ni afande? And so far afande alikuwa hapo kihangaiko kabla hajapelekwa dodomaMzee wa kuunga unga story tu ndio maana watu kumkosoa sana kwenye mabandiko yake akikosea majina ,tarehe,miaka, eneo, hata taarifa za msingi ,nimchumia tumbo tu kama anavyojiita hand to mouth,
Alisema afande yupo msata Kihangaiko baadaye akaja eti yuko Dodoma
USSR
Na uwezo wa kinga pia. KujikingaHata ww ukiamua unaweza unafuatilia kesi mahakamani unasoma papers za kesi mahakamani.....pia uwe na watu wanakutumia information za tukio unalotaka hasa kutoka kwenye mitandao...... kisha uwe na uwezo wa kuandika
Self promotion galaHiyo ndiyo profile yake ya kwenye mtandao wa X zamani Twitter pia ana akounti Telegram. Mimi ni mfuasi wa makala zake. Kwa nia njema tu najiuliza huyu gwiji yuko smart sana katika kuleta taarifa za matukio ya zamani (mfano kifo cha Billionaire Msuya) na hata yenye utata kama sasa tunapowatafuta akina Deusdedith Soka.
Anatoa taarifa za ndani sana zinazoungaisha Polisi, Mahakama, Magereza na hata TISS. Je, ni nani? Aanapata wapi taarifa? Mbona hasumbuliwi na vyombo vya dola katika kutoa hizi taarifa?
Najua na Buyobe pia yupo hunu JF kwa akaunti nisiyoijua
Haihitaji nguvu kukanusha wala kukubali.Kwa hiyo unadhani mimi Stuxnet ndiye Fortunatus Buyobe ? Hapana umekosea
teleggram........sogelea telegram
Ukisema hivi ndiyo unawachochea watu kumshangaa zaidi. Angalau watu wasingemshangaa kama ungesema kinyume na kile ulichokisema hapaRaia wa kawaida tu wala hana force namba
Umenikumbusha mbaali 2012 nilisoma kisa cha yule dactar ulimboka aliyetekwa na kina igondwe sasa mbunge nilikuwa nasafir toka ubungo kwenda kibaha niliogopa sana hadi nashuka pale mail mojaEnzi za Mwanahalisi na Mawio