Fountain Gate Academy Tabata rekebisheni Barabara za kuingia Shuleni, mnatesa Watoto

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Jana nimepita mitaa ya Shule ya Moja ya Shule za Fountain Gate iliyopo Tabata Sigara jijini Dar es Salaam, nimekutana na tatizo kubwa sana la Barabara inayoingia katika Shule hiyo, na mbaya zaidi ni Barabara inayotumika na Watoto kufika shuleni hapo cha kushangaza barabara hiyo imekuwa mbovu kwa zaidi ya miaka 5 hainafanyiwi marekebisho yoyote,

Sasa najiuliza hizo fedha zinazolipwa kwenye ada za watoto zinasadia nini kama Shule inashinda kurekebisha njia inayotumiwa na Magari, Wafanyakazi na Watoto wa shule hiyo. Pale kwa haraka tu ni kifusi gari 5 tu pameisha lakini hawajiongezi kufanya hilo.

Hebu wawajibike maana wananyanyasa sana Watoto wadogo wanaotumia njia hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…