Fountain gate dhidi ya simba mechi nzuri yenye kuvutia upinzani wa soka la bongo hii haina uhusianao na singida?

Fountain gate dhidi ya simba mechi nzuri yenye kuvutia upinzani wa soka la bongo hii haina uhusianao na singida?

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
JIoni ya leo tunashuhudia mechi halisi mpira halisi na matokeo halisi yaani fair play yasiyo na chembe ya mashaka fountain gate dhidi ya simba ni mechi ya kukamiwa simba ni aina ya mechi simba anazo zipenda huwapa mazoezi na ukomavu wachezaji wao si mechi za bahasha si ajabu kukuta kibu d au mpnzu na shomari kapombe kuliwa mtama ndani ya boksi wachambuzi wa mchongo wanao pokea bahasha kutoka GSM kupitia Aliy komwe wakibweka wala hutoona goli la mkono wala offiside mzize kumyang'anya kipa mikononi na refa akanyoosha kati,mechi kama hizi za kukamiwa simba hujihisi yupo mashindano ya kimataifa na yupo ugenini maana hapati kamserereko kama ule wa timu bahasha fc aka GSM fc au singida b maana inapewa wachezaji na makocha kwanini isiitwe singida B ni haki kabisa hilo jina linawafaa na ipo siku singida anaweza kujitolea point kuwaisidia watwae ubingwa wakatutie aibu huko kimataifa.....hivyo jioni ya leo walio babati waende uwanjani wakashuhudie soka na walio majumbani na vibanda umiza tv zinawahusu mkashuhudie maestro fundi wa mpira mwenye kuulainisha na kurahisisha kazi Emily mpanzu.....wachezaji bora hutoka simba wakamalizia soka nyuma mwiko.....Chama,mkude,nurdin bakari,Athumani chuji,Hamis gaga,zamoyoni mogela,emanuel okwi,juma kaseja na wengineo....Simba ni timu ya karne!
 
JIoni ya leo tunashuhudia mechi halisi mpira halisi na matokeo halisi yaani fair play yasiyo na chembe ya mashaka fountain gate dhidi ya simba ni mechi ya kukamiwa simba ni aina ya mechi simba anazo zipenda huwapa mazoezi na ukomavu wachezaji wao si mechi za bahasha si ajabu kukuta kibu d au mpnzu na shomari kapombe kuliwa mtama ndani ya boksi wachambuzi wa mchongo wanao pokea bahasha kutoka GSM kupitia Aliy komwe wakibweka wala hutoona goli la mkono wala offiside mzize kumyang'anya kipa mikononi na refa akanyoosha kati,mechi kama hizi za kukamiwa simba hujihisi yupo mashindano ya kimataifa na yupo ugenini maana hapati kamserereko kama ule wa timu bahasha fc aka GSM fc au singida b maana inapewa wachezaji na makocha kwanini isiitwe singida B ni haki kabisa hilo jina linawafaa na ipo siku singida anaweza kujitolea point kuwaisidia watwae ubingwa wakatutie aibu huko kimataifa.....hivyo jioni ya leo walio babati waende uwanjani wakashuhudie soka na walio majumbani na vibanda umiza tv zinawahusu mkashuhudie maestro fundi wa mpira mwenye kuulainisha na kurahisisha kazi Emily mpanzu.....wachezaji bora hutoka simba wakamalizia soka nyuma mwiko.....Chama,mkude,nurdin bakari,Athumani chuji,Hamis gaga,zamoyoni mogela,emanuel okwi,juma kaseja na wengineo....Simba ni timu ya karne!
Kocha wao alishasema yeye ni shabiki wa Simba,akamalizia Simba na Simba wanakutana.
 
Tuache ushabiki, hatuna vilabu vya kuwazuia simba na Yanga kwa Tanzania hii. Ndio maana kimataifa hakuna aliyetuletea kombe zaidi ya Yanga kutuletea medali.

Endapo tungekua na team zenye ushindani, wala tusingebweteka na kujiona bora wakati wote wakati kimafaifa hatuna kikombe hata cha chai
 
Tuache ushabiki, hatuna vilabu vya kuwazuia simba na Yanga kwa Tanzania hii. Ndio maana kimataifa hakuna aliyetuletea kombe zaidi ya Yanga kutuletea medali.

Endapo tungekua na team zenye ushindani, wala tusingebweteka na kujiona bora wakati wote wakati kimafaifa hatuna kikombe hata cha chai
Medali ililetwa na simba kabla hujazaliwa fainal ilipigwa uwanja wa taifa shamba la bibi dhidi ya stella abjani goli zikifungwa na bolizozo, simba alikufa!
 
Medali ililetwa na simba kabla hujazaliwa fainal ilipigwa uwanja wa taifa shamba la bibi dhidi ya stella abjani goli zikifungwa na bolizozo, simba alikufa!
Weka picha au video kama ile ya yanga akivishwa medali vinginevyo watoto wa 2000 hawataelewa coz now days kila kitu kipo kwa Google huko na YouTube waki search hawaoni kolo akivishwa medali je wataamini vp?
 
Medali ililetwa na simba kabla hujazaliwa fainal ilipigwa uwanja wa taifa shamba la bibi dhidi ya stella abjani goli zikifungwa na bolizozo, simba alikufa!
Sasa naanzaje kuzungumzia mambo ambayo sikuyashuhudia?
 
Medali ililetwa na simba kabla hujazaliwa fainal ilipigwa uwanja wa taifa shamba la bibi dhidi ya stella abjani goli zikifungwa na bolizozo, simba alikufa!
Ilikuwa ni michuano gani hiyo? Maana tunazungumzia michuano ya CAF confederation cup ambapo baada ya Yanga kushindwa kuchukua kombe mbele ya USMA, tukashuhudia USMA wakicheza super cup dhidi ya Al Ahly. Sasa tuambie huyo Stella Abjan alicheza super cup dhidi ya nani baada ya kubeba hilo kombe
 
JIoni ya leo tunashuhudia mechi halisi mpira halisi na matokeo halisi yaani fair play yasiyo na chembe ya mashaka fountain gate dhidi ya simba ni mechi ya kukamiwa simba ni aina ya mechi simba anazo zipenda huwapa mazoezi na ukomavu wachezaji wao si mechi za bahasha si ajabu kukuta kibu d au mpnzu na shomari kapombe kuliwa mtama ndani ya boksi wachambuzi wa mchongo wanao pokea bahasha kutoka GSM kupitia Aliy komwe wakibweka wala hutoona goli la mkono wala offiside mzize kumyang'anya kipa mikononi na refa akanyoosha kati,mechi kama hizi za kukamiwa simba hujihisi yupo mashindano ya kimataifa na yupo ugenini maana hapati kamserereko kama ule wa timu bahasha fc aka GSM fc au singida b maana inapewa wachezaji na makocha kwanini isiitwe singida B ni haki kabisa hilo jina linawafaa na ipo siku singida anaweza kujitolea point kuwaisidia watwae ubingwa wakatutie aibu huko kimataifa.....hivyo jioni ya leo walio babati waende uwanjani wakashuhudie soka na walio majumbani na vibanda umiza tv zinawahusu mkashuhudie maestro fundi wa mpira mwenye kuulainisha na kurahisisha kazi Emily mpanzu.....wachezaji bora hutoka simba wakamalizia soka nyuma mwiko.....Chama,mkude,nurdin bakari,Athumani chuji,Hamis gaga,zamoyoni mogela,emanuel okwi,juma kaseja na wengineo....Simba ni timu ya karne!
Mbona unajiwai kujiwekea defence mechanism? Unacheza na fountain gate ambayo ubora na kiwango chake ni duni alafu bado unaweweseka,,timu nyingi zimepewa bahasha ikiwemo Simba yenyewe iliyochapika mechi 4 mfululizo kwaiyo mserereko upo kwa timu zote zilizopo ligi kuu ama zishapokea kipigo cha goli nyingi ama ziko njiani kupokea
 
JIoni ya leo tunashuhudia mechi halisi mpira halisi na matokeo halisi yaani fair play yasiyo na chembe ya mashaka fountain gate dhidi ya simba ni mechi ya kukamiwa simba ni aina ya mechi simba anazo zipenda huwapa mazoezi na ukomavu wachezaji wao si mechi za bahasha si ajabu kukuta kibu d au mpnzu na shomari kapombe kuliwa mtama ndani ya boksi wachambuzi wa mchongo wanao pokea bahasha kutoka GSM kupitia Aliy komwe wakibweka wala hutoona goli la mkono wala offiside mzize kumyang'anya kipa mikononi na refa akanyoosha kati,mechi kama hizi za kukamiwa simba hujihisi yupo mashindano ya kimataifa na yupo ugenini maana hapati kamserereko kama ule wa timu bahasha fc aka GSM fc au singida b maana inapewa wachezaji na makocha kwanini isiitwe singida B ni haki kabisa hilo jina linawafaa na ipo siku singida anaweza kujitolea point kuwaisidia watwae ubingwa wakatutie aibu huko kimataifa.....hivyo jioni ya leo walio babati waende uwanjani wakashuhudie soka na walio majumbani na vibanda umiza tv zinawahusu mkashuhudie maestro fundi wa mpira mwenye kuulainisha na kurahisisha kazi Emily mpanzu.....wachezaji bora hutoka simba wakamalizia soka nyuma mwiko.....Chama,mkude,nurdin bakari,Athumani chuji,Hamis gaga,zamoyoni mogela,emanuel okwi,juma kaseja na wengineo....Simba ni timu ya karne!
Pumba pro max kutoka kwa mbumbumbu wa karne!
 
Mbona unajiwai kujiwekea defence mechanism? Unacheza na fountain gate ambayo ubora na kiwango chake ni duni alafu bado unaweweseka,,timu nyingi zimepewa bahasha ikiwemo Simba yenyewe iliyochapika mechi 4 mfululizo kwaiyo mserereko upo kwa timu zote zilizopo ligi kuu ama zishapokea kipigo cha goli nyingi ama ziko njiani kupokea
Katika watu waliozaliwa 2000 ndio wanaweza kuandika vipigo vinne lakini wale wote wa miaka ya 80 hawezi andika ulichoandika!
 
Ilikuwa ni michuano gani hiyo? Maana tunazungumzia michuano ya CAF confederation cup ambapo baada ya Yanga kushindwa kuchukua kombe mbele ya USMA, tukashuhudia USMA wakicheza super cup dhidi ya Al Ahly. Sasa tuambie huyo Stella Abjan alicheza super cup dhidi ya nani baada ya kubeba hilo kombe
Alicheza na zamalek ulikuwa bado hujazaliwa!
 
Back
Top Bottom