Fountain Gate yainunua Singida Big Stars. Klabu hiyo sasa kuitwa Singida Fountain Gate Footbal Club

Fountain Gate yainunua Singida Big Stars. Klabu hiyo sasa kuitwa Singida Fountain Gate Footbal Club

Last Seen

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
229
Reaction score
566
Uongozi wa Singida Big Stars umefanya maamuzi ya kuiuza timu hiyo kwa wamiliki wa Fountain Gate ambapo sasa timu hiyo imebadilishwa jina na kuwa “Singida Fountain Gate Footbal Club.”

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Singida Big Stars ambaye kwa sasa ni Mjumbe wa Bodi ya Singida Fountain Gate, John Kadutu amesema sababu ya kuiuza timu hiyo kwa Fountain Gate ni kutokana na changamoto mbalimbali za uendeshaji pamoja na nia ya kutaka kuipeleka mbali zaidi timu hiyo.

“Mnafahamu Fountain Gate wana timu nzuri ya Championship, wana timu nzuri ya vijana wa sekondari, ni mabingwa wa Afrika. Kwahiyo tukazungumza na watu ambao wanajua nini kinatakiwa kufanyika, usimtwishe mzigo mtu ambaye hajui shida zake,” amesema.

Aidha, Kadutu amesema moja kati ya masharti makubwa waliyowapa Fountain Gate ni kwa timu hiyo kuendelea kubaki mkoani Singida pamoja na kutumia jina la Singida ili kuwaenzi wote walioisapoti timu hiyo.

Naye, Rais wa Singida Fountain Gate, Japhet Makau amesema Fountain Gate imechukua asilimia 100 ya umiliki wa Singida Big Stars na Fountain Gate FC itaendelea kuwepo pia, huku akieleza kuwa hakuna tatizo lolote kwa timu hiyo kuendelea kubaki Singida kwani ilikuwa ndani ya mpango wao kufanya hivyo.
 
Hii nchi inabidi kuwa makini uza uza imezidi sana.......

Unaweza ukaamka asubuhi ukajikuta una mb*o plain bila p*mbu huku elfu hamsini wameisukumiza ndani ya chup na sms kwenye cm ikisema IYO ELFU HAMSIN ENDELEA KUITUMIA TUSHANUNUA HIZ MBUPU
 
Hii nchi inabidi kuwa makini uza uza imezidi sana.......

Unaweza ukaamka asubuhi ukajikuta una mb*o plain bila p*mbu huku elfu hamsini wameisukumiza ndani ya chup na sms kwenye cm ikisema IYO ELFU HAMSIN ENDELEA KUITUMIA TUSHANUNUA HIZ MBUPU
Duuh
 
Hii nchi inabidi kuwa makini uza uza imezidi sana.......

Unaweza ukaamka asubuhi ukajikuta una mb*o plain bila p*mbu huku elfu hamsini wameisukumiza ndani ya chup na sms kwenye cm ikisema IYO ELFU HAMSIN ENDELEA KUITUMIA TUSHANUNUA HIZ MBUPU

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Fountain Gate imeinunua klabu ya Singida Big Stars iliyomaliza nafasi ya nne kwenye ligi kuu ya NBC msimu uliomalizika na sasa itaitwa Singida Fountain Gate FC ambapo itashiriki michuano ya kombe la shirikisho Afrika msimu ujao.
F2F3CCDB-1AEB-46FC-A29D-062C62835C49.jpeg
 
Back
Top Bottom