expedition
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 935
- 2,995
Umewahi tumia kitimoto?Ni heri kuwa na akili kitumwa kuliko kuwa msukule.
DP World Oyeee.
Unaujua utamu wake wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi tumia kitimoto?Ni heri kuwa na akili kitumwa kuliko kuwa msukule.
DP World Oyeee.
Je DP WORLD wanatoa na msaada wa juzuuu Nina shida Nazi kama milioni Moja hiviNawashauri sasa waonane na DP World, huwa wana sponsor sana michezo.
DP World Oyeee.
Wafate tu hata ukihitaji biblia za Kiarabu wanatoa.Je DP WORLD wanatoa na msaada wa juzuuu Nina shida Nazi kama milioni Moja hivi
Wallah tena, siku akijaribu tu kuonja! Hatokuja kuacha kamwe kula huyo mdudu.Umewahi tumia kitimoto?
Unaujua utamu wake wewe?
Kanaweza kakatokea kajamaa ambako hata uwezo tu wa kupata milo mitatu ya uhakika kwa siku hakana, halafu ukaambiwa ndiyo kamiliki!!Nasubiria majibu,hasa hicho kipengere Cha muuzaji!?
huu kama sio utakatishaji pesa wa kina madelu sijui.......Fountain Gate imeinunua klabu ya Singida Big Stars iliyomaliza nafasi ya nne kwenye ligi kuu ya NBC msimu uliomalizika na sasa itaitwa Singida Fountain Gate FC ambapo itashiriki michuano ya kombe la shirikisho Afrika msimu ujao.
View attachment 2657044
AahaaaaaaKanaweza kakatokea kajamaa ambako hata uwezo tu wa kupata milo mitatu ya uhakika kwa siku hakana, halafu ukaambiwa ndiyo kamiliki!! Nchi ngumu sana hii.
walishanunua baobao siku nyingiCAF walizipa timu zisizo na timu za wanawake option ya kuingia makubaliano na timu nyingine ya wanawake ili kukidhi vigezo vyao. Nadhani hilo ndiyo limefanyika hapa.
Hata AZAM siku yoyote tutasikia wamenunua timu ya wanawake maana mchakato wa kuanzisha timu from scratch ni mrefu zaidi.
Festo Santa ndo nani?huu kama sio utakatishaji pesa wa kina madelu sijui.......
ngoja tuangalie viongozi wa fountain watakua kina nani.....
ukiona festo sanga basi ni madelu kaamua kutakatisha pesa za mikopo
Asante Kwa taarifawalishanunua baobao siku nyingi
alikua msaidizi wa mwigulu kuanzia 2012 hvi, kisha baadae akawa mkurugenzi singida united, 2020 aligombea ubunge, kwa sasa naambiwa ni mbunge huko kwao makete (wakinga watanisahihisha kama nimekosea).......Festo Santa ndo nani?
Asante Kwa hili failialikua msaidizi wa mwigulu kuanzia 2012 hvi, kisha baadae akawa mkurugenzi singida united, 2020 aligombea ubunge, kwa sasa naambiwa ni mbunge huko kwao makete (wakinga watanisahihisha kama nimekosea).......
Bado inamilikiwa na wamiliki wa Singida hao waliowekwa ni bosheniNimekusoma,kwahiyo hapo umiliki umekaaje!!?
Kawaida mbona Spain kuna Real Madrid b ipo ligi za chini ligi ya Nederland ndio zime jaa Jong PSV, Jong Ajax , Jong AZ Fayenood
Hiyo Fountain Gate ya Championship na yenyewe tutaambiwa imenunuliwa na Singida Big Stars! Na hivyo itakuwa inaitwa Singida Big Alizeti 🌻 Stars! 😇Ila bongo Janka Janja Sana sasa fountain gate ya championship itakuaje??
Moja inakua league juu nyingine championship
Haya mawazo haya yasikupe tu ndoto za ajabu ajabu.Hii nchi inabidi kuwa makini uza uza imezidi sana.......
Unaweza ukaamka asubuhi ukajikuta una mb*o plain bila p*mbu huku elfu hamsini wameisukumiza ndani ya chup na sms kwenye cm ikisema IYO ELFU HAMSIN ENDELEA KUITUMIA TUSHANUNUA HIZ MBUPU
Hoja yako ya kutakatisha kwa mbaaaaali inaniingia akili...ukisikia kamati tendaji ilioteuliwa kuisimamia timu unamkuta bwana Mn.yet.i mmiliki wa gwambina lounge na gwambina fc...ukiunganisha dot na bwana madelu nae yupo unapata kituSheria ya mashindano ya CAF msimu huu bila kuwa na timu ya wanawake timu haitaruhusiwa kushiriki mashindano hayo.
Labda wameamua kujipachika huko ili wapate ticket.
Lakini pia utakatishaji wa fedha unaweza kuwepo.
Bongo janja janja nyingi sana!