johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni jambo jemaWe mzee sisi tunajadili bandari!
Wana Darisalama Bandari ndio Shamba letu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jambo jemaWe mzee sisi tunajadili bandari!
Hawajaungana wameuza hisa zote asilimia miaSingida wajanja wameona kwamba kwa sheria za CAF ili kushiriki mashindano ya caf lazima uwe na timu ya wanawake wameamua kuungana
Zanzibar Kuna small Simba.Ila bongo Janka Janja Sana sasa fountain gate ya championship itakuaje??
Moja inakua league juu nyingine championship
Wewe huna Chumba Dubai?Tupo serious na mambo ya bandari, kama umetumwa na akina mama wenzako hatutaki
Tukutajie aliyepokea hela , unacho kifua cha kuhifadhi mambo ?Timu ya soka iliyodaiwa inamilikiwa na Waziri wa Fedha Dr Mwigullu PhD Singida Big Stars Imeuzwa
Hata hovyo Dr Mwigullu PhD alishakanusha bungeni kwamba yeye hamiliki Timu yoyote ni mdau tu wa Michezo
Source Ayo tv
U busy upi?Tupo serious na mambo ya bandari, kama umetumwa na akina mama wenzako hatutaki
Kwa hilo swali tu wewe ni mzandikiTukutajie aliyepokea hela , unacho kifua cha kuhifadhi mambo ?
🤣🤣Tukutajie aliyepokea hela , unacho kifua cha kuhifadhi mambo ?
Mimi ni zaidi ya Mzandiki , mbona unanipunja ?Kwa hilo swali tu wewe ni mzandiki
Nilidhani ulichosema ni sahihi ila nimekuja kukuta siyo kweli. Azam wamesema hawatanunua timu yoyote ya wanawake ila wataingia nayo makubaliano.walishanunua baobao siku nyingi
Ndio maajabu ya Tz hayo[emoji28]Unauza timu kwa asilimia mia halafu unaweka condition kwamba ibaki Singida.
Thread ifungwe nyingine porojo tu!!Singida wajanja wameona kwamba kwa sheria za CAF ili kushiriki mashindano ya caf lazima uwe na timu ya wanawake wameamua kuungana