Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Huyo mmiliki wa Fountain Gate ni nani!?Mpira ni uwekezaji mzuri kama una hela isiyo kauka kuwekeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mmiliki wa Fountain Gate ni nani!?Mpira ni uwekezaji mzuri kama una hela isiyo kauka kuwekeza
😂😅😂Hii nchi inabidi kuwa makini uza uza imezidi sana.......
Unaweza ukaamka asubuhi ukajikuta una mb*o plain bila p*mbu huku elfu hamsini wameisukumiza ndani ya chup na sms kwenye cm ikisema IYO ELFU HAMSIN ENDELEA KUITUMIA TUSHANUNUA HIZ MBUPU
Logo yao inanikumbusha penati za mchezaji bora wa NBC.Fountain Gate imeinunua klabu ya Singida Big Stars iliyomaliza nafasi ya nne kwenye ligi kuu ya NBC msimu uliomalizika na sasa itaitwa Singida Fountain Gate FC ambapo itashiriki michuano ya kombe la shirikisho Afrika msimu ujao.
View attachment 2657044
Sasa hiyo Singida Big Star ni nani aliyekuwa anaimiliki na hivyo kupokea pesa kutoka kwa Fountain Gate Academy?Kituo cha kukuza Vipaji cha Fountain Gate Academy kimefanikiwa kuinunua Singida Big Stars, Na hivyo wataanza kutumia jina la Singida Fountain Gate.
Wewe Kaka 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii nchi inabidi kuwa makini uza uza imezidi sana.......
Unaweza ukaamka asubuhi ukajikuta una mb*o plain bila p*mbu huku elfu hamsini wameisukumiza ndani ya chup na sms kwenye cm ikisema IYO ELFU HAMSIN ENDELEA KUITUMIA TUSHANUNUA HIZ MBUPU
Miye nilijua kuwa ni kweli timu ya MwiguluAisee Fountain gate, naona sasa kaamua kuwekeza zaidi kwenye mpira baada ya kulamba m600 kule bondeni
Nasubiria majibu,hasa hicho kipengere Cha muuzaji!?Imeuzwa kutoka kwa nani kwenda kwa nani?
Nimekusoma,kwahiyo hapo umiliki umekaaje!!?Utaratibu wa CAF timu yoyote inayoshiriki mashindano Yao lazima imiliki timu ya wanawake ya Soka. Sio kweli singida imeuzwa Bali ni kamchezo ka kuhalalisha ushiriki wao wa mashindano ya CAF
Nawashauri sasa waonane na DP World, huwa wana sponsor sana michezo.Fountain Gate imeinunua klabu ya Singida Big Stars iliyomaliza nafasi ya nne kwenye ligi kuu ya NBC msimu uliomalizika na sasa itaitwa Singida Fountain Gate FC ambapo itashiriki michuano ya kombe la shirikisho Afrika msimu ujao.
View attachment 2657044
Akili za kitumwa hizoNawashauri sasa waonane na DP World, huwa wana sponsor sana michezo.
DP World Oyeee.
Na fontain gateFountain gate inamilikiwa na nani?
CAF walizipa timu zisizo na timu za wanawake option ya kuingia makubaliano na timu nyingine ya wanawake ili kukidhi vigezo vyao. Nadhani hilo ndiyo limefanyika hapa.Utaratibu wa CAF timu yoyote inayoshiriki mashindano Yao lazima imiliki timu ya wanawake ya Soka. Sio kweli singida imeuzwa Bali ni kamchezo ka kuhalalisha ushiriki wao wa mashindano ya CAF
Ni heri kuwa na akili kitumwa kuliko kuwa msukule.Akili za kitumwa hizo
AahaaaaaNi heri kuwa na akili kitumwa kuliko kuwa msukule.
DP World Oyeee.