Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hivi azam nao si hawana timu ya bebez, ngoja tuwasubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
awali walitangaza wamenunua baobao, jana nikashangaa wanasema hawatanunua timu ya wanawake ndio nimeshangaa pia.....Nilidhani ulichosema ni sahihi ila nimekuja kukuta siyo kweli. Azam wamesema hawatanunua timu yoyote ya wanawake ila wataingia nayo makubaliano.
Sawa nimekuelewa. Azam hawana jinsi lazima waje kuwa na timu ya wanawake maana ndiyo sheria mpya za CAF. Hii ya kuingia makubaliano ni suluhisho la muda mfupi tu. Labda wameona sokoni wadau wanataka pesa ndefu kuachia timu wakaona isiwe tabu ngoja waende taratibu.awali walitangaza wamenunua baobao, jana nikashangaa wanasema hawatanunua timu ya wanawake ndio nimeshangaa pia.....
taarifa ya kununua baobao ilitolewa mkuu kama ulikua mfuatiliaji....ngoja niitafute
Kheeeeh kumbe??Singida wajanja wameona kwamba kwa sheria za CAF ili kushiriki mashindano ya caf lazima uwe na timu ya wanawake wameamua kuungana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaahHii nchi inabidi kuwa makini uza uza imezidi sana.......
Unaweza ukaamka asubuhi ukajikuta una mb*o plain bila p*mbu huku elfu hamsini wameisukumiza ndani ya chup na sms kwenye cm ikisema IYO ELFU HAMSIN ENDELEA KUITUMIA TUSHANUNUA HIZ MBUPU
Ila Azam nao, mbna walikua na uwezo wa kuwa na team ya wanawake tangu zamanCAF walizipa timu zisizo na timu za wanawake option ya kuingia makubaliano na timu nyingine ya wanawake ili kukidhi vigezo vyao. Nadhani hilo ndiyo limefanyika hapa.
Hata AZAM siku yoyote tutasikia wamenunua timu ya wanawake maana mchakato wa kuanzisha timu from scratch ni mrefu zaidi.
kwa niniIla Azam nao, mbna walikua na uwezo wa kuwa na team ya wanawake tangu zaman
Pesa, muindo mbinu,vifaa, etckwa nini
kibiashara nafikiri hazina faida zaidi ya mzigoPesa, muindo mbinu,vifaa, etc
Hapo sawaakibiashara nafikiri hazina faida zaidi ya mzigo
Unatoa wallet mfuko wa kshoto unaweka kulia bongo sihami😃😀Uongozi wa Singida Big Stars umefanya maamuzi ya kuiuza timu hiyo kwa wamiliki wa Fountain Gate ambapo sasa timu hiyo imebadilishwa jina na kuwa “Singida Fountain Gate Footbal Club.”
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Singida Big Stars ambaye kwa sasa ni Mjumbe wa Bodi ya Singida Fountain Gate, John Kadutu amesema sababu ya kuiuza timu hiyo kwa Fountain Gate ni kutokana na changamoto mbalimbali za uendeshaji pamoja na nia ya kutaka kuipeleka mbali zaidi timu hiyo.
“Mnafahamu Fountain Gate wana timu nzuri ya Championship, wana timu nzuri ya vijana wa sekondari, ni mabingwa wa Afrika. Kwahiyo tukazungumza na watu ambao wanajua nini kinatakiwa kufanyika, usimtwishe mzigo mtu ambaye hajui shida zake,” amesema.
Aidha, Kadutu amesema moja kati ya masharti makubwa waliyowapa Fountain Gate ni kwa timu hiyo kuendelea kubaki mkoani Singida pamoja na kutumia jina la Singida ili kuwaenzi wote walioisapoti timu hiyo.
Naye, Rais wa Singida Fountain Gate, Japhet Makau amesema Fountain Gate imechukua asilimia 100 ya umiliki wa Singida Big Stars na Fountain Gate FC itaendelea kuwepo pia, huku akieleza kuwa hakuna tatizo lolote kwa timu hiyo kuendelea kubaki Singida kwani ilikuwa ndani ya mpango wao kufanya hivyo.
We jamaa unajichelewesha tu ulitakiwa uwe komedi kwa haya yan unasoma komenti huku nachekaHii nchi inabidi kuwa makini uza uza imezidi sana.......
Unaweza ukaamka asubuhi ukajikuta una mb*o plain bila p*mbu huku elfu hamsini wameisukumiza ndani ya chup na sms kwenye cm ikisema IYO ELFU HAMSIN ENDELEA KUITUMIA TUSHANUNUA HIZ MBUPU
Bandari ni mali asili!! timu siyo mali asili!Hii kuna tofauti gani na kuuza Bandari!? Haha ha ha ... michongo michongo tu nchi hii