Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hebu jitazame hapa ulivyo 🤣🤣🤣Sawa Ila alianza shujaa wenu anajifanya hataki barakoa kabetri kakafreeze sijui kalimtandika shoti. Corona ipo ndio uvae barakoa jomba utakufa kama Mungu wenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu jitazame hapa ulivyo 🤣🤣🤣Sawa Ila alianza shujaa wenu anajifanya hataki barakoa kabetri kakafreeze sijui kalimtandika shoti. Corona ipo ndio uvae barakoa jomba utakufa kama Mungu wenu.
Hizi ndio gari zenu 'wazarendo wa kwerikweri'. Wanavitengeneza Kenya hapo kanunue muendeshe wazarendo wanyonge 😃
75% yaweza kuwa kweli.Amefia hospitali gani father, isije ikawa ni yeye aliendika jana hii post ya kutuaga.
Naomba kuwaaga rasmi Wana JF, nikipona tutakuwa pamoja tena
Naam, Mimi ni mwanachama wa muda mrefu hapa kwenye ukurasa wa Siasa. Nimetoa mchango wangu kwa umoja huu kupitia ukurasa huu. Nimerekebisha baadhi ya mambo kutokana na hoja zangu na niseme tu nimekuwa nikifarijika sana pale ninaposhauri au kutoa hoja ikaleta positive impact kwenye jamii...www.jamiiforums.com
Padri aliyejivua utawa kama Dr Slaa,Huyu jamaa ni mchungaji au nani?
Angalao yey hakuw jiwe kweli kweli, ajabu ni jiwe kuliw funza, shenzi typeKumbe nanyi huwa mnakufa [emoji23][emoji23]
Lini funza wataanza kumla huyu? Kesho?
Hii ni comment ya kiwango cha chini sana kutolewa na mtu anayeeheshimika.Hahahaaa!
Naye anaenda kuoza na kuliwa na funza!!
Kumbe na wao huwa wanakufa eh 🤣.
Mmh huyu sio yule aliyetuaga kwenye ile mada? Ana ID ya kike?Baba Privatus #Karugendo amefariki dunia usiku huu.
#RIPFrKarugendo
Baadhi ya maandishi yake kwenye mitandao ya kijamii.
14/6/2021
“Kutafakari na kuhoji ni dalili Za uhai. Maiti haiwezi kutafakari wala kuhoji! Twaweza kuamua kuishi kama maiti au viumbe hai wenye uwezo wa kuutiisha ulimwengu na kujiletea maendeleo! Maendeleo uletwa na watu hai, si maiti”.
18/3/2021
“Mama Samia, pole sana kwa msiba huu mkubwa. Wengi tulikufahamu na kukupenda wakati wa Bunge la katiba. Simamia katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, uzalendo, umoja na mshikamano. Tanzania ni yetu sote”.
19/11/2020
“Hawa wanawake 19 wa Chadema, ninawafahamu vizuri, ninawaheshimu saaaana kwa msimamo wao na uaminifu mkubwa kwa chama chao na taifa lao. Ni kitu gani kimewapata?. Fedha? Hapana! Ubunge? Hapana! Hawa ni wapambanaji, watiifu na wazalendo! Wamejikwaa wapi? Halima! Niambie!”.
19/9/2020
“Mama Samia, ana sifa nyingi, mbali na upole, huruma, umakini na busara hana siasa za chuki na ushabiki, anaiangalia Tanzania, kwa ujumla wake, ni mzalendo wa kweli! Tujifunze kwake! Tanzania ni yetu sote!”.
Unashangilia kifo ni dalili za ushetani hizo...Hahahaaa!
Naye anaenda kuoza na kuliwa na funza!!
Kumbe na wao huwa wanakufa eh [emoji1787].
Mmh huyu sio yule aliyetuaga kwenye ile mada? Ana ID ya kike?
Keshakufa huyo askofu wenu. Harudi ng’oo!!!!!Angalao yey hakuw jiwe kweli kweli, ajabu ni jiwe kuliw funza, shenzi type
Pamoja na upadri wake anaenda kuoza na kuliwa na mchwa, nyungunyungu, sisimizi, na maduduwasha 😂😂😂.Unashangilia kifo ni dalili za ushetani hizo...
Baba Privatus #Karugendo amefariki dunia usiku huu.
#RIPFrKarugendo
Baadhi ya maandishi yake kwenye mitandao ya kijamii.
14/6/2021
“Kutafakari na kuhoji ni dalili Za uhai. Maiti haiwezi kutafakari wala kuhoji! Twaweza kuamua kuishi kama maiti au viumbe hai wenye uwezo wa kuutiisha ulimwengu na kujiletea maendeleo! Maendeleo uletwa na watu hai, si maiti”.
18/3/2021
“Mama Samia, pole sana kwa msiba huu mkubwa. Wengi tulikufahamu na kukupenda wakati wa Bunge la katiba. Simamia katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, uzalendo, umoja na mshikamano. Tanzania ni yetu sote”.
19/11/2020
“Hawa wanawake 19 wa Chadema, ninawafahamu vizuri, ninawaheshimu saaaana kwa msimamo wao na uaminifu mkubwa kwa chama chao na taifa lao. Ni kitu gani kimewapata?. Fedha? Hapana! Ubunge? Hapana! Hawa ni wapambanaji, watiifu na wazalendo! Wamejikwaa wapi? Halima! Niambie!”.
19/9/2020
“Mama Samia, ana sifa nyingi, mbali na upole, huruma, umakini na busara hana siasa za chuki na ushabiki, anaiangalia Tanzania, kwa ujumla wake, ni mzalendo wa kweli! Tujifunze kwake! Tanzania ni yetu sote!”.