TANZIA Fr. Privatus Karugendo amefariki dunia

Aaminiye na kubatizwa ataokoka, "Kama alimuamini YESU kuwa ni Bwana na Mwokozi, na kama "alikuwa ameokoka" na "kama aliomba" sali kwa jina la YESu na si jina lingine maana jina la YEsu ndio tumepewa na kwa hilo tunamfikia Mungu na Si sijui mama gani huko , basi Pepo ni zake.
 
Pneumonia imerudi tena.

Ngoja tuone kama kutakuwa na lockdown.


Alikuwa anatoa tahadhari bila kuchukua tahadhari.
 
Kwaheri karugendo,rafiki yangu
 
Dah pole kw familia, Mzee alipambania sana utu wake, kile anachokiamini mpaka kanisa likamruhusu kuoa.

Tutakukosa tutakosa hoja zako fikirishi
 
3rd seasson imeanza na mtumishi wa Mungu!! RIP father.
 
Wakati naisoma leo, nilikuwa na wazo kama lako. Ila jina lilinitatiza.
 
Ulikuwa unawaza nini kuandika haya Nyani??

Any ways, RIP father 😭😭
Hii account haiko under Nyani control kitambo,Nyani original aliishiaga kwenye mifuko ya salfet,long time ago...
 
MLIDANGANYWA MAOMBI YA SIKU 3 YAMEMALIZA CORONA.

Mambo ya Kinjekitile Ngwale hayooo!
Daaah, aiseeee, hv mtu unaongea utadhani unaishi hapa Duniani kwa dhamana yako binafsi, hv kweli ww kwa akili yako unadhani upo hapo kwa uwezo wako ama Mungu!!, Hv kweli maombi hayaja tusaidia Tanzania,hv kweli unaweza kulinganisha Tanzania na nchi zingine ktk wakati huu wa Kanga la Korona?? Tufanyeni mizaha mingi lakini embu linapi fika suala linalo muhusisha MUNGU tuwekeni Bangi Pembeni jamani,mtu unaongea Kama unaharisha fulani hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…