macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Unaona ujinga wako sasa. Nani kasema tunahitaji lockdown? Nani kasema kunawa na kuvaa barakoa siyo muhimu? Ndugu kichwa chako ni kizuri au una tatizo? Kwanini unaingiza vitu ambavyo sijaandika? Wewe unadhani lockdown kwa mazingira ya Tanzania inawezekana? Kwanza unajua hata maana ya lockdown wewe? Upumbavu mwingine bwana!Upumbavu n pale hapo ulipo umekaa unaharisha hata barakoa hujavaa wala mikono hunawi halafu unajidai kuwa unaijua korona, upumbavu nipale unapo enda kariakoo tena unebananishwa wenye mwendo Kasi halafu unajidai unaijua korona, upumbavu ni pale unapo hitaji lockdown wakati hapo mfukoni umekunjia ma toilet paper tu, sijui hiyo lock down unayo iita utakula kinyesi Chako?tahadhari gani uliyo nayo ww kuliko Ulaya na bado korona inawamaliza?nilisha sema peleka Bangi za Ngarenaro huko.