TANZIA Fr. Privatus Karugendo amefariki dunia

TANZIA Fr. Privatus Karugendo amefariki dunia

Upumbavu n pale hapo ulipo umekaa unaharisha hata barakoa hujavaa wala mikono hunawi halafu unajidai kuwa unaijua korona, upumbavu nipale unapo enda kariakoo tena unebananishwa wenye mwendo Kasi halafu unajidai unaijua korona, upumbavu ni pale unapo hitaji lockdown wakati hapo mfukoni umekunjia ma toilet paper tu, sijui hiyo lock down unayo iita utakula kinyesi Chako?tahadhari gani uliyo nayo ww kuliko Ulaya na bado korona inawamaliza?nilisha sema peleka Bangi za Ngarenaro huko.
Unaona ujinga wako sasa. Nani kasema tunahitaji lockdown? Nani kasema kunawa na kuvaa barakoa siyo muhimu? Ndugu kichwa chako ni kizuri au una tatizo? Kwanini unaingiza vitu ambavyo sijaandika? Wewe unadhani lockdown kwa mazingira ya Tanzania inawezekana? Kwanza unajua hata maana ya lockdown wewe? Upumbavu mwingine bwana!
 
Ina maana kwenye zile maiti zilizokuwa zinaokotwa kwenye ile mifuko ya Sulphate na ya Nyani ilikwepo?? Mbona alikuwa timu JPM kitambo, sidhani angeweza kufanywa vile.

Nyani Ngabu
Wewe umemjua majuzi,fuatilia post za 2015 kurudi chini,,alikua anti establishment huyo,sijasema alitekwa akawekwa kwenye salphet,,,nimesema aliishia kunako salfet,,,figure it out for yourself...🏃🏃🏃
 
Unaona ujinga wako sasa. Nani kasema tunahitaji lockdown? Nani kasema kunawa na kuvaa barakoa siyo muhimu? Ndugu kichwa chako ni kizuri au una tatizo? Kwanini unaingiza vitu ambavyo sijaandika? Wewe unadhani lockdown kwa mazingira ya Tanzania inawezekana? Kwanza unajua hata maana ya lockdown wewe? Upumbavu mwingine bwana!
Sasa nitahadhari ipi unayo chukuwa ww uliye sema eti tunamjaribu Mungu kwamba eti hatuchukui tahadhari, tahadhari ipi ww ambaye humjaribu Mungu unayo ichukua,Mungu anajaribiwa kwa Maombi? Kwamba tulimjaribu kwa kumuomba, Nyumbu ni Nyumbu tu
 
Aisee ...niliona tweet yake akitoa Pole kwa kifo cha Prof Baregu kumbe nae anafata! Mungu ampe pumziko la amani.
 
Uzi wa msiba umegeuka mapambano ya hoja za matusi yote hii ni kwa ajili ya kuupigania ugonjwa wa kichina
 
Unaona ujinga wako sasa. Nani kasema tunahitaji lockdown? Nani kasema kunawa na kuvaa barakoa siyo muhimu? Ndugu kichwa chako ni kizuri au una tatizo? Kwanini unaingiza vitu ambavyo sijaandika? Wewe unadhani lockdown kwa mazingira ya Tanzania inawezekana? Kwanza unajua hata maana ya lockdown wewe? Upumbavu mwingine bwana!
Umesahau kuwa moja ya tahadhari ya korona ni lockdown, ama hujui hata korona ninini ww kilaza? Umesahau kunawa mikono na kuvaa barakoa ni sehemu ya Kinga ya korona?umesahau kuto kushiriki mikusanyiko nisehemu ya Kinga ya korona? Acha kuongea kwa kutumia Kijambio ww.
 
Sasa nitahadhari ipi unayo chukuwa ww uliye sema eti tunamjaribu Mungu kwamba eti hatuchukui tahadhari, tahadhari ipi ww ambaye humjaribu Mungu unayo ichukua,Mungu anajaribiwa kwa Maombi? Kwamba tulimjaribu kwa kumuomba, Nyumbu ni Nyumbu tu
Ungeuliza hivyo sasa kabla ya kuanza kuharisha ujinga wako. Nimeshajua tatizo lako ni ufinyu wa uelewa kuhusu ugonjwa. Na hili ni tatizo la watanzania wengi. Kama unataka nikueleshe omba msamaha kwanza!
 
Umesahau kuwa moja ya tahadhari ya korona ni lockdown, ama hujui hata korona ninini ww kilaza? Umesahau kunawa mikono na kuvaa barakoa ni sehemu ya Kinga ya korona?umesahau kuto kushiriki mikusanyiko nisehemu ya Kinga ya korona? Acha kuongea kwa kutumia Kijambio ww.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣. Nimekuambia tena. Kwa mazingira ya Tanzania hiyo lockdown haiwezekani japo ni moja ya njia. Kuna njia nyingine. Na ungeuliza kwa adabu ningekuelewesha vizuri tu. Lakini hujui lakini unaharisha!
 
Ungeuliza hivyo sasa kabla ya kuanza kuharisha ujinga wako. Nimeshajua tatizo lako ni ufinyu wa uelewa kuhusu ugonjwa. Na hili ni tatizo la watanzania wengi. Kama unataka nikueleshe omba msamaha kwanza!
Msaada gani gani unipe ww, ww mwenyewe hujielewi, busara ya kwanza ya mwanadamu unaiona kwenye kumcha Muumba wake, Sasa Kama ww ndugu yangu humjui hata Mungu ni msaada gani utanipa ww, Kama unaamini kuwa kumlikia Mungu wakati wa shida ni kumjaribu msaada gani utanipa ww, labda Kama unataka kunifundusha kuvuta Bangi,Kama mpaka saaa unaamini upo hapo kwa sababu unajua Sana na si Mungu msaada gani utanipa ww??
 
Tangulia Fr karugendo nakukumbuka kwa makala zako na hata msimsmo wako juu ya condom na kanisa katoliki ,nakumbuka ktk semina tulizokutana
 
Msaada gani gani unipe ww, ww mwenyewe hujielewi, busara ya kwanza ya mwanadamu unaiona kwenye kumcha Muumba wake, Sasa Kama ww ndugu yangu humjui hata Mungu ni msaada gani utanipa ww, Kama unaamini kuwa kumlikia Mungu wakati wa shida ni kumjaribu msaada gani utanipa ww, labda Kama unataka kunifundusha kuvuta Bangi,Kama mpaka saaa unaamini upo hapo kwa sababu unajua Sana na si Mungu msaada gani utanipa ww??
🤣 🤣 🤣 🤣Narudia tena. Wacha upumbavu wa kuweka mambo amabyo sikuandika. Sijasema kuwa watu wasimlilie Mungu. Jaribu kusoma kwa ufahamu. Kuna matatizo ya elimu na watu wengi hawaelewi wanaposoma na wewe ni mmoja wao. Maombi yanaendena na matendo. Kwanza uzoefu unaonyesha watu wanaojifanya kumjua Mungu kama wewe ni wadhambi wakubwa.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Narudia tena. Wacha upumbavu wa kuweka mambo amabyo sikuandika. Sijasema kuwa watu wasimlilie Mungu. Jaribu kusoma kwa ufahamu. Kuna matatizo ya elimu na watu wengi hawaelewi wanaposoma na wewe ni mmoja wao. Maombi yanaendena na matendo. Kwanza uzoefu unaonyesha watu wanaojifanya kumjua Mungu kama wewe ni wadhambi wakubwa.
Sasa kama ww cyo mwehu na mm Nika kuuliza hapo ulipo ni matendo gani ww taahira uliyatekeleza mpaka Sasa hivi una pumua, je ulijifungia ndani? Je ulivaa barakoa mwanzo mwisho? Je huendi sokoni kwenye mikusanyiko?ni yapi matendo uliyo tenda ?? Na kwanza una uwezo wa kuyatenda? Ni elimu ipi uliyo nayo ww ya kukuwezesha kuikwepa korona?? Aliipata waziri mkuu wa UK mwenye elimu na ulinzi wake na tahadhari zote ana timiza leo iwe ww ambaye hata unakunywa hutawazi?? Kama siyo yule Mungu sisi wenye akili tulimuomba ili wehu Kama ww nanyi mpone Sasa hivi ungekuwa wapi, Maana kwa akili zako za huko nyuma inaonyesha wakati sisi tunafunga na kuomba ww ulikuwa Matejoo huko una kunywa gongo
 
Wakuu kwa MUJIBU wa Sheria za kanisa Karugendo anazikwa Kama MPAGANI au Kama Padri???
 
Sasa kama ww cyo mwehu na mm Nika kuuliza hapo ulipo ni matendo gani ww taahira uliyatekeleza mpaka Sasa hivi una pumua, je ulijifungia ndani? Je ulivaa barakoa mwanzo mwisho? Je huendi sokoni kwenye mikusanyiko?ni yapi matendo uliyo tenda ?? Na kwanza una uwezo wa kuyatenda? Ni elimu ipi uliyo nayo ww ya kukuwezesha kuikwepa korona?? Aliipata waziri mkuu wa UK mwenye elimu na ulinzi wake na tahadhari zote ana timiza leo iwe ww ambaye hata unakunywa hutawazi?? Kama siyo yule Mungu sisi wenye akili tulimuomba ili wehu Kama ww nanyi mpone Sasa hivi ungekuwa wapi, Maana kwa akili zako za huko nyuma inaonyesha wakati sisi tunafunga na kuomba ww ulikuwa Matejoo huko una kunywa gongo
Diagnosis: Young IQ malnutrition with cronological malfunction!
 
Back
Top Bottom