TANZIA Francis Mtega, Mbunge wa Mbarali afariki dunia kwa ajali ya bodaboda

Siyo mbaya amekufa siku ya birthday yake
 
pole kwa wafiwa hiv yupo kwenye ile listi ya dubai
 
Mbona maelezo ni ya utatanishi? Mara alikuwa anaendesha mwenyewe mara alikuwa anaendeshwa nk nk

Mbona majeruhi wengine wa ajali hawatajwi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…