Frank Maston picha zake zinanipa shida kuamini ninachokiona

Frank Maston picha zake zinanipa shida kuamini ninachokiona

Huyu Frank Maston Migambire ashajishobosha sana nikamkimbia...namjua vizur sana huyu alijisemeaga yeye hormones za kupelekewa moto ndio zimejaa mwilini mwake so anaona bora awe demu...Anyways naogopa tu kufungua code zingine kuna mdau kule juu kasema anamjua from tusiime, so do i...kama kuna mendez mnataka namba yake niwape 🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

View attachment 2342699
Instagram or something tunaweza kumuona au kufollow kazi zake?
 
Eti jamani 🤔
Sema huyu ata tulipokuwa pale Tusiime alikuwa ni kama dem tu, anavyoongea, anavyotembea, anavyokimbia, marafiki zake, club aliyokuwa ni designing ambayo ni ya madem tu, ata ukimuona kwa mala ya kwanza ni kama unaona dem, walikuwa mbele yetu sana ila alikuwa dem tu tangu mwanzo, naskia hakuwa na mambo ya kishoga ila sahv na hizo picha 'mmmhhhh!!'

Ukisikia Woman trapped in man's body ndo huyu sasa
 

Attachments

  • miga.png
    miga.png
    219.1 KB · Views: 33
Vaa viatu vyao alafu tuambie ungefanyaje? Usitukane mamba kabla hujavuka mto.

Haya mambo ni kuomba tu yasikukute maana ni changamoto kubwa.

JINSI ULIVYO LEO NI KUTOKANA NA JANA YAKO!!!

UKILEA MTOTO KAMA MBWA NA ATAKUWA MBWA
UKILEA MTOTO KAMA MSHINDI, SHUJAA NA ATAKUWA MSHINDI, SHUJAA
UKILE MTOTO KAMA MRENDA NA ATAKUWA MRENDA TU.
MTOTO WA NYOKA NI NYOKA
KWAMBA UNACHOPANDA NDIO UNACHO VUNA!

HIZI MAMBO ZENU ZA MAISHA YA KISASA, KWENDA NA WAKATI MSIACHE KUKABILIANA NA MATOKEO YAKE!
NA WALA MUSIMUHISISHE MUNGU TAFADHARI!(KWANI HANA MSAADA KWENU)

USHOGA SIO UGONJWA WA KURITH KAMA

SICKLE CELL
UALBINO
MAGONJWA YA AKILI
KANSA
KISUKARI
PUMU
KIFAFA
UPOFU
ANGALIA MALEZI YA WATOTO WAKO!
MTOTO UMEMPA JINA LA KIUME, ANAVAA MAGAUNI!!! HALAFU UNATAKA TUWACHEKEE
KUNA SISI WENYE MADUNGU, NA TUTAWADUNGUATU!

EBU NIPENI NAMBA YAKE #FOOL
 
JINSI ULIVYO LEO NI KUTOKANA NA JANA YAKO!!!

UKILEA MTOTO KAMA MBWA NA ATAKUWA MBWA
UKILEA MTOTO KAMA MSHINDI, SHUJAA NA ATAKUWA MSHINDI, SHUJAA
UKILE MTOTO KAMA MRENDA NA ATAKUWA MRENDA TU.
MTOTO WA NYOKA NI NYOKA
KWAMBA UNACHOPANDA NDIO UNACHO VUNA!

HIZI MAMBO ZENU ZA MAISHA YA KISASA, KWENDA NA WAKATI MSIACHE KUKABILIANA NA MATOKEO YAKE!
NA WALA MUSIMUHISISHE MUNGU TAFADHARI!(KWANI HANA MSAADA KWENU)

USHOGA SIO UGONJWA WA KURITH KAMA

SICKLE CELL
UALBINO
MAGONJWA YA AKILI
KANSA
KISUKARI
PUMU
KIFAFA
UPOFU
ANGALIA MALEZI YA WATOTO WAKO!
MTOTO UMEMPA JINA LA KIUME, ANAVAA MAGAUNI!!! HALAFU UNATAKA TUWACHEKEE
KUNA SISI WENYE MADUNGU, NA TUTAWADUNGUATU!

EBU NIPENI NAMBA YAKE #FOOL
We unataka kumla wewe!!
 
Nimeziona baadhi ya picha za mtanzania mwenzetu na mwanaume mwenzetu Frank Maston. Ambae pia ni mwanamuziki.

Picha zake zinanipa shida kubwa sana na sijui how ntarecover na nachokiona. Sikubaliani na hii kitu, wala sitaki pia kuhukumu lakini naamini jamii inaweza kutoa msaada kumtoa huko alipo.

Kuna wanasema suala la hormones, lakini hili si linatibika?

William msanii wa kundi la Black Eyed Peas kwenye moja ya verse zake kwenye wimbo wa "Where is the love" anasema....
"...What's wrong with the world, mama?
People living like they ain't got no mamas
I think the whole world's addicted to the drama
only attracted to things that'll bring you trauma.."

View attachment 2341958View attachment 2341959View attachment 2341960View attachment 2341961
Mwamba huyu niliwahi kusafiri nae SITI zinazokaribiana
 
Yule waziri aliyepiga mkwala kuhusu magroup ta whatsap nk angaalie na hii
Hajuwi kama kuna mapunga wanajinadi hadharani

Ova
 
Back
Top Bottom