Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Sasa wewe kama umeshindwa kung'amua tu kuwa huo udereva wangu ni code yangu,ndiyo unaweza kweli kujiona unaelimu?Yaani wewe ni mweupe kama walivyo weupe kichwani watumishi wengi wa halmashauri huko pamoja na kujitangaza daily eti wana MAPHD.
MAPHD ni nini? Si unaona ulivyo mtupu kichwani?
 
NAONA wamepandisha majina mawili jukwaani kuwa MMOJA wapo anaandaliwa kuchukua kijiti baada ya mama mtifuano HUO unaweza kuzaa chaguo la tatu ambalo NDIO la Mungu Ili nchi iongozwe kitumishi na Sio kishetani kama ilivozoeleka!! Ngoja Tuone!
Yupo atakaepita katikati ya wote na kwenda kukabidhiwa kiti. Busara itatumika.
 
MAPHD ni nini? Si unaona ulivyo mtupu kichwani?
Mtupu ni wewe unayelialia kila kona dhidi ya serikali baada ya kuishi ndani ya box la madarasa uliyofika.Great Thinkers huwa tunawaza nje ya box na kutengeneza njia mbadala za kutanua uchumi wetu.
Wewe ni miongoni wa wale wanaopenda kujitambulisha kwa level zao za madarasa badala ya ufanisi wao wa kazi.
 
Unamiliki kampuni alafu unaajiriwa kama dereva? Ila mm nimedharau elimu yako kutokana na uwezo wako unaoonyesha.
Wapo wenye elimu ndogo kama yako Ila wapo vizuri upstairs
Mkuu!Umefanya juhudi sana hadi kufahamu kuwa mimi ni Dereva.Lakini shughuli hiyo ulifanya baada ya kuona nilivyo mbali sana kifikra hata ukataka kunifahamu mimi ni nani!.
Sasa ndiyo nakuambia,udereva ni code yangu ya kimafia huku nikifanya makubwa nje ya code hiyo.[emoji16][emoji16][emoji16] Mkuu!Elimu ni ile inayokupa pesa za kutosha,vinginevyo hicho cheti ni uchafu.
 
Ww dereva unaishia nje ya box gani bana, kaa kwa kutulia
 
Hakuna mafia mwenye akili ndogo, piga gear
 
Ikawe sawa sawa na ulivyoandika,Amina.
 
Uzi Huu hauna neno the state mwishoni!!tofauti na hizi mbili za juzi!!!ya kustaafishwa na ile ya kitabu kukamilika!
 
Umeelewa nini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna kete zimeanza kusukumwa polepole mjengoni ,nzito nzito kumjenga FDR wetu wakati ambao wakubwa wamepoteana juu ya nini kifanyike Kwa Habari ya Bei za mafuta.
 
Kuna kete zimeanza kusukumwa polepole mjengoni ,nzito nzito kumjenga FDR wetu wakati ambao wakubwa wamepoteana juu ya nini kifanyike Kwa Habari ya Bei za mafuta.
Ngoja tuone itakuwaje maana mambo ni mengi ambayo ni mafumbo mafumbo tu.
 
kweli kapata hoja mafuta yamebaki bei chini katika eneo lake,juzi kaongeza wafanyakazi 15.6% mishahara kweli deep state wanamtengenezea njia nyeupeee peeee
 
0933; Anayekwenda kukabidhiwa kiti ni ASKOFU GWAJIMA. MUNGU ibariki TANZANIA.Amen.
Mkuu
Nashangazwa na majibu yako tena Sana ina Maana Huyu ndio FDR ambayo the state imemuandaa!!?yaani atawale miaka 12!!?hapo 09/3/2023!
NASUBIRI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…